zoom me
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 213
- 51
Lowassa ndio chaguo la watanzania kwa sasa...... Bila Lowassa tutaandamwa na umasikini kwa zaidi ya miaka 10 ijayo
ukiniweka na Mimi unachekesha Sana.....mtanzania mpuuzi anaweza kumshadadia el
Lowassa ndio chaguo la watanzania kwa sasa...... Bila Lowassa tutaandamwa na umasikini kwa zaidi ya miaka 10 ijayo
ungetoa sababu nzuri sio hiyo. mtu anajua barabara zote nchini na kilometa zake ndio majina ya makatibu wa ccm!!Hahahaha Makongoro kweli kuna vichaa hapa duniani......
Magufuli ukimuliza hata Mkt wa Ccm mkoa wa Mara hamjui, mtu kama huyo hatuwezi kumpa chama Mkuu
Je waliolipwa kupitia Stanbicbank Tanzania bank unawajua?
ungetoa sababu nzuri sio hiyo. mtu anajua barabara zote nchini na kilometa zake ndio majina ya makatibu wa ccm!!
mkuu achana na mjiga kwani LOWASA anafaamika kwa richimond hakuna kitu kingine ambachi kona zote za nchi hii zinakifaamu na kukiona kwa macho yao lkn MAGUFULI kila kona ya nchi hii inamfaamu kwa kuona aliyoyafanya kwa kila sekta aliyofanya kazi lkn zaidi uwezo wake wa kujiamini kiuongozi sio kutegeme makundi na pesa kuonga.
Wakati wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwania nafasi ya urais ikifika 32, mwasisi wa chama hicho, Balozi Job Lusinde amesema wimbi hilo ni ishara ya kupanuka kwa demokrasia, huku akisema Lowassa ni mtu safi na anayefaa kwa wakati huu...
Akizungumza jana katika mahojiano maalum na gazeti hili, Balozi Lusinde alisema kada huyo wa CCM ni kiongozi mchapakazi na mwadilifu... Alisema watu wanaopita katika maeneo mbalimbali nchini na kuchafua wagombea wengine wanastahili kuchukuliwa hatua kali sana, kwani tabia hiyo si nzuri...
"Ni Lowassa huyu huyu aliyefutilia mbali mkataba wa City Water baada ya kubaini ni wadanganyifu. Richmond ukiulizwa anahusika vipi huwezi kujibu kwa sababu hausiki. Edward Lowassa ni kiongozi mchapakazi kweli kweli na mwadilifu"..
"Lowassa anaadhibiwa kwa ubunifu wake, kwani alikuwa anahangaika kutafuta suluhu ya tatizo, kama Richmond ilikuwa na tatizo mbona tulinunua Dowans na Obama (Rais wa Marekani) akabariki," alisema Balozi Lusinde....
Huu ni muda wa chama kusimama imara, kuwa na umoja na mshikamao na sio kuwaachia baadhi ya wagombea wanaopita katika maeneo mbali mbali nchini na kuchafua makada wenzao.....
Mpaka sasa makada wa CCM ambao wamechukua fomu kuomba kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu hadi kufikia jana ni 32...
Jambo Leo... 14.06.2015...
Lowassa ndio chaguo la watanzania kwa sasa...... Bila Lowassa tutaandamwa na umasikini kwa zaidi ya miaka 10 ijayo
Lete habari inayoeleweka siyo mahaba niue.
ukiniweka na Mimi unachekesha Sana.....mtanzania mpuuzi anaweza kumshadadia el