Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,467
- 7,259
Fisadi tu...
Huyu mzee naye kazeeka vibaya sana, sasa kama Lowasa aliweza kuvunja mkataba wa city water alishindwa vipi kuvunja mkataba wa kitapeli uliokuwa uchi kabisa wa richmond?
wewe uliiona ripoti ya Mwakyembe?Kama haikuwekwa wazi unawezaje kusema haya ya Lusinde kipindi kile?1. Wazee wamechoka. . . . .. Wakati anajiengua mbona hakusema??!!!
2. Hayo ya Dowans angeyasema lini kama Lowassa asingegombea? ?!!
3. Amemueleza mwenyekiti wake kuwa alipokubali huyu candidate kujiengua uwaziri mkuu alifanya kosa??!!
Kama kweli ni mzalendo mbona hasemi kwa uwazi akaeleweka juu ya hiyo Richmond??!!!
Vibaka wameteka ccm by Mako
tumbo linamsumbua.Lowasa ni jambazi tutaanza kumpiga mawe au tutamchoma moto huyu kibaka
Hahahaha Makongoro kweli kuna vichaa hapa duniani......
Magufuli ukimuliza hata Mkt wa Ccm mkoa wa Mara hamjui, mtu kama huyo hatuwezi kumpa chama Mkuu
Karibia wazee wote wa CCM wanamuunga mkono Lowassa, ni wazi kumzuia huyu mtu haiwezekani..... Asante Balozi Lusinde kwa kuungana na wananchi katika safari yao ya matumaini
Ukiwaona wana CCM wengi humu wanashabikia vibaka hiyo ni dalili ya wazi ya yale aliyoyasema Makongoro Nyerer kuwa kuna vibaka wamevamia chama cha Mapinduzi, wengine wao ndio hawa wanashabikia vibaka wenzao humu.
Namuunga mkono Makongoro juu ya onyo lake la "enyi vibaka waachie chama chao, wakulima na wafanyakazi". Kwa jadi vibaka sehemu yao haikuwahi kuwa CCM, wamevamia tu na sasa wanataka kujimilikisha!!
Namshukuru Lusinde mdogo hakubaki nyuma.Nakubaliana na Lusinde mdogo
.............................................................................................................................................................................
Livingstone Lusinde
22 hrs ·
Nchi inaangamia kwa kukosa maarifa, mimi kama mwana CCM katu siwezi kusimama jukwaani au vikao vya ndani ya chama kumpigia upatu mtu mwenye matope matope, mtu ambae si msafi, mtu ambae yahitaji nguvu kubwa kumsafisha ili awe MWEUPE mbele ya Umma wa Watanzania. Na endapo mtu huyo atasimamishwa na chama changu nitakuwa mstari wa Mbele kuwashawishi wananchi wa Jimbo langu na kokote nitakapopita wasimpigie KURA.
Hatuwezi kuendelea kuitwa Wana CCM huku hatuishi kwenye misingi ya ki CCM.
............................................................................................................................................................................
Agwambo,Karibia wazee wote wa CCM wanamuunga mkono Lowassa, ni wazi kumzuia huyu mtu haiwezekani..... Asante Balozi Lusinde kwa kuungana na wananchi katika safari yao ya matumaini
Karibia wazee wote wa CCM wanamuunga mkono Lowassa, ni wazi kumzuia huyu mtu haiwezekani..... Asante Balozi Lusinde kwa kuungana na wananchi katika safari yao ya matumaini
Job Lusinde alikuwepo kwenye msafara wa Pinda akichukua form, Source Habari leo 14.06.2015, inawezekana amuunge mkono Lowasa halafu amsindikize mgombea mwingine?!
Mleta mada unauhakika na source yako?