LUSINDE😛ROF MUHONGO NI SAFI.Balozi Job Lusinde ambaye ni miongon mwa waasisi wa chama cha mapinduz ,amesema Prof Muhongo ni mtu safi ,anayefaa kuwa Rais wa nchi hii.Akiongea na Jambo leo ,Balozi huyo mkongwe wa chama cha mapinduz amesema Prof Muhongo ni mchapa kazi na mwadilifu sana .Amesema kuna watu wanapita maeneo mbalimbali wakiwa na lengo la kumchafua ,lakin wameshindwa kuwa na hoja kuwa Muhongo alifanya nn kibaya.Aliongeza kuwa mambo haya ya kuwachafua watu wanaoonekana wahadlilifu yalikuwepo toka siku za nyuma lakin mwishowe ,anakuja kuwa Rais.