Balozi Lusinde: Lowassa Safi na Anatosha

Balozi Lusinde: Lowassa Safi na Anatosha

Huyu mzee ana akili kama za yule Kibajaji hivyo asikupe shida.

Kati ya wazee wenye heshima kwa sasa moja wao ni Balozi Lusinde..... Ni mbobezi wa miaka mingi na anajua akisemacho na ni mzalendo wa hali ya juu
 
Balozi Lusinde juzi alikua pamoja na Pinda Dodoma wakati akichukua fomu ya urais. Hivyo tunajua tayari Lusinde yupo na Pinda.

Mleta mada njaa zako za kuongwa pesa za kununulia boxer zitakuahibisha sana pindi jina la huyo ATM wenu litakavyo galagazwa.

Wewe uajuajebkama Pinda hayuko na Lowassa, ebu tuondolee umasaburi wako hapa
 
Ni aibu sana kuwa na wazee wa aina hii katika taifa.lakini sishangai hili kabila lao wanafahamika mbele ya njaa wana uwezo wa kufanya lolote.hivyo sitashangaa kama kazungumza hayo.
 
Ni kweli kabisa Lowassa ni mchapa kazi lakin kama hakuhusika na scandal ya Richmond mbona haweki wazi?
 
Hahahaha Makongoro kweli kuna vichaa hapa duniani......

Magufuli ukimuliza hata Mkt wa Ccm mkoa wa Mara hamjui, mtu kama huyo hatuwezi kumpa chama Mkuu

sifa 13 Za wagombea hakuna inayotaja kuwajua wenyeviti ccm mkoa kwa majina
 
Ni kweli kabisa Lowassa ni mchapa kazi lakin kama hakuhusika na scandal ya Richmond mbona haweki wazi?
Mna kiherehere cha nini edo hawezi kuweka hadharani kwa sasa maana dili lilikuwa la baba r sasa itakuwa kumdhalilisha na yeye anawezampeleka mabwe pande.si unajua koleo na bisibisi.
 
Balozi Lusinde juzi alikua pamoja na Pinda Dodoma wakati akichukua fomu ya urais. Hivyo tunajua tayari Lusinde yupo na Pinda.

Mleta mada njaa zako za kuongwa pesa za kununulia boxer zitakuahibisha sana pindi jina la huyo ATM wenu litakavyo galagazwa.

We ni utumbo wa nyoka mleta mada kaweka source wewe unabisha tukuelewe mumeo hajakupa sakramenti usiku au?
 
Nyerere ni mfu, labda kama unazungumzia mizimu

Wote tu hai katika yeye, yafikirini yaliyo juu huko aliko ameketi mkono wa kuume.Usiwe msadukayo katika history usie amini kiama ya wafu. Kumbuka Mosè 'yeye ni Allah wa walio hai sio waliokufa', babu na Bibi zako watakushuhudia kuwa hukufikiria vema au wrong formation. Take care.
 
Mna kiherehere cha nini edo hawezi kuweka hadharani kwa sasa maana dili lilikuwa la baba r sasa itakuwa kumdhalilisha na yeye anawezampeleka mabwe pande.si unajua koleo na bisibisi.

Hahahaaa hayo maneno ya vijiweni tushayazoea kuyasikia.
Remind you interview yake kabla hajafanya mkutano wake wa kutangaza nia arusha alisema atazungumzia hiyo issue what stopped him?
Kama anataka kuwa raisi amilijeshi mkuu then anaogopa kusimamia ukweli hafai.
 
Huyo mzee ni fisadi tu. Alikuwa mwenyekiti wa bodi pale TANAPA ilikuwa kama SACCOS yake
 
Hahahaaa hayo maneno ya vijiweni tushayazoea kuyasikia.
Remind you interview yake kabla hajafanya mkutano wake wa kutangaza nia arusha alisema atazungumzia hiyo issue what stopped him?
Kama anataka kuwa raisi amilijeshi mkuu then anaogopa kusimamia ukweli hafai.

We ni bunyamulenge siasa za tz zinakuhusu nini kuswahili kwako shida eti AMILIJESHI hicho kiswahili cha burudi.tutakurudisha kwenu mkimbizi wewe.
 
Back
Top Bottom