Balozi Kagasheki: TCRA Mnachekesha

Kwa jinsi walivyomlinda yule MWANAHARAKATI HURU [ Musiba] wa Magufuli akitukana watu hovyo kwa kutumia media hiyo hiyo anayotumia Polepole,TCRA hawana moral authority ya kumfutia leseni Polepole !! Hii ni wazi kuwa serikali inatumiwa na ccm kutaka kumthibiti Polepole ; wameisha ona kuwa ccm kumuadhibu kwa hayo wanayoyaita makosa ya uchochezi hayana ushahidi na yanaweza kukiweka chama tawala mahala pabaya. Polepole kama tujuavyo sio mwanachama wa kawaida bali alikuwa kiongozi aliyekijua chama kwa undani akiwa katibu mwenezi hivyo hatua zozote zitakazochukuliwa dhidi yake ni lazima zitafakaliwe kwa kina!!

Polepole hana madhara yoyote hata akichukuliwa hatua ya kufukuzwa chamani

Mbele ya Magufuli waliufyata kina JK, Kinana, Yusuph Makamba Sembuse huyu Polepole mtoto wa juzi tu chamani

CCM ni taasisi, ni chama kikubwa kuliko mtu yoyote na kinaogopeka kwasbb kinahodhi dola na pía Mwenyekiti wake ana mamlaka na madaraka makubwa ktk nchi, hvyo hakuna wakufurukuta
 
Anaandika Balozi Khamis Sued Kagasheki kupitia ukurasa wake wa Twitter na ninamnukuu;

Humphrey siyo rafiki yangu. Pia siyo adui yangu. Sikuwahi kuketi popote na yeye kwa maongezi. Mara moja tu niliongea nae kwa simu kuhusu jambo lililo mhusu mwanachama mwenzetu na Boss wake (Bashiru) alikuwa kalivalia njuga. Inasemekana zipo tuhuma zinazo mkabili na Chama chetu hakijatoa hukumu dhidi yake mpaka kisikie utetezi wake. Kingeweza kumchukulia hatua bila hata kufuata taratibu kama tulivyo ona huko nyuma. Najiuliza, TCRA kabla ya hatua zao dhidi ya Polepole, walimpa fursa ya kujieleza? Alisikilizwa? Alisema nini?

Nimeusikiliza mlolongo wa tuhuma dhidi yake lakini nikazidi kujiuliza ‘na ikawaje akapewa leseni?’ Vitu vingine TCRA ilipaswa ivijue kabla ya kutoa leseni. Pamoja na yote “Darasa” lake halikuwa hewani siku moja au mbili kwa uchache wa siku, kweli TCRA walikuwa bado tu hawajaona kwamba leseni yao haikuwa katika mikono salama? Niwambie tu, TCRA mnachekesha.

Huu uadilifu mnaupata wapi. Awamu ya tano mmetoa leseni kwa so-called wanaharakati huru wakitukana, kudhalilisha Wazee na Wastaafu wa Taifa letu. Mpo kimya. Maongezi ya Watanzania yamedukuliwa na kuwekwa hadharani.Mpo kimya. Leo mnasimamia maadili. Really? Mimi simtetei Humphrey kama Humphrey. Kuna maswala ya msingi ambayo ni zaidi ya mtu. TCRA if you want to be correct so be it. We aren’t interested in half baked, half cooked dishes.
Tena TCRA ni kichekezo Zaidi hata ya Joti
 
CCM ni taasisi, ni chama kikubwa kuliko mtu yoyote na kinaogopeka kwasbb kinahodhi dola na pía Mwenyekiti wake ana mamlaka na madaraka makubwa ktk nchi, hvyo hakuna wakufurukuta

Polepole sio Membe!!
 
Asante Balozi. This's why nampenda mtu mwenye msimamo hata kama yuko wrong

Hii kauli hutumika sana kumtetea mtu fulani. Kama ya kujihami vile na mikingamo (controversies) kibao inayomhusu pia.

Anyway, sidhani kama ni rahisi kumpenda mtu anaposimama kidete kwenye mtazamo mbovu “usioupenda”.
 
TCRA wenyewe ni kama wanasiasa tu wenye kilemba cha profession tofauti, siku zote huendana na midundo ya mtawala aliyeko madarakani ili kumlinda na sio profession yao.

Kuwashangilia uamuzi wao wa leo umekupendeza ni upofu tu, kesho hao TCRA wakikukaanga usinune, kwasababu wakiwaumiza wengine huwa unachekelea.
Tanzania idara, vitengo na taasisi nyingi tu za umma na za binafsi zina dalili za ugonjwa huo wa TCRA. Udhaifu... weaker institutions! Mara zote maamuzi yanafikiwa kumfuraisha mwenye awamu yake!!
 
"Mlengo", point ya Balozi ni kwamba TCRA ni wanafiki, Awamu ya 5 waliachia maovu makubwa yafanyike kuliko haya anayofanya leo Polepole
Mie nadhani ngoma droo. Awamu ya tano Magufuli alitukanwa kila mahali. Si Kimambi, ni wengi tu tuliona. Upande wa serikali nako kulikuwa na Msiba akijibu mashambulizi. Japo alijiita mwanaharakati huru. Hapa hakuna alieonewa ilikuwa kujibizana.
Kulikuwa na akina Maria Sarungi, Shangazi, na wengi waliojipachika majina.
Awamu ya 5 iliacha watu watukanane nayo ikawa inakingiwa kifua na msiba.
Hapa sijaona tusi toka kwa Polepole. Yeye anajenga hoja za msingi tu. Ambazo zilihitajika kujibiwa.
 
Mie nadhani ngoma droo. Awamu ya tano Magufuli alitukanwa kila mahali. Si Kimambi, ni wengi tu tuliona. Upande wa serikali nako kulikuwa na Msiba akijibu mashambulizi. Japo alijiita mwanaharakati huru. Hapa hakuna alieonewa ilikuwa kujibizana.
Kulikuwa na akina Maria Sarungi, Shangazi, na wengi waliojipachika majina.
Awamu ya 5 iliacha watu watukanane nayo ikawa inakingiwa kifua na msiba.
Hapa sijaona tusi toka kwa Polepole. Yeye anajenga hoja za msingi tu. Ambazo zilihitajika kujibiwa.
Taja hoja moja kubwa ya Polepole aliyojenga ambayo inahitaji kujibiwa na Serikali
 
We mburula kwa akili yako unafikiri wamemuacha tu!!! Pole pole hayuko peke yake, humo kwenye chama ana ufuasi na enablers wengi!!
CCM hawanaga ufuasi wa kudumu kwa mtu, wenyewe kikubwa wanachoangalia maslahi yao, na kwa sasa wengi wao akili yao ipo kwenye uchaguzi mwakani, huyo Polepole likimpata lolote hutosikia mwanaCCM yeyote akiinua mdomo kumtetea!
 
Polepole hana madhara yoyote hata akichukuliwa hatua ya kufukuzwa chamani

Mbele ya Magufuli waliufyata kina JK, Kinana, Yusuph Makamba Sembuse huyu Polepole mtoto wa juzi tu chamani

CCM ni taasisi, ni chama kikubwa kuliko mtu yoyote na kinaogopeka kwasbb kinahodhi dola na pía Mwenyekiti wake ana mamlaka na madaraka makubwa ktk nchi, hvyo hakuna wakufurukuta
Jidanganye Polepole ni mkubwa sana hao unaosema wakubwa ni wakubwa kwa ufisadi!
 
Anaandika Balozi Khamis Sued Kagasheki kupitia ukurasa wake wa Twitter na ninamnukuu;

Humphrey siyo rafiki yangu. Pia siyo adui yangu. Sikuwahi kuketi popote na yeye kwa maongezi. Mara moja tu niliongea nae kwa simu kuhusu jambo lililo mhusu mwanachama mwenzetu na Boss wake (Bashiru) alikuwa kalivalia njuga. Inasemekana zipo tuhuma zinazo mkabili na Chama chetu hakijatoa hukumu dhidi yake mpaka kisikie utetezi wake. Kingeweza kumchukulia hatua bila hata kufuata taratibu kama tulivyo ona huko nyuma. Najiuliza, TCRA kabla ya hatua zao dhidi ya Polepole, walimpa fursa ya kujieleza? Alisikilizwa? Alisema nini?

Nimeusikiliza mlolongo wa tuhuma dhidi yake lakini nikazidi kujiuliza ‘na ikawaje akapewa leseni?’ Vitu vingine TCRA ilipaswa ivijue kabla ya kutoa leseni. Pamoja na yote “Darasa” lake halikuwa hewani siku moja au mbili kwa uchache wa siku, kweli TCRA walikuwa bado tu hawajaona kwamba leseni yao haikuwa katika mikono salama? Niwambie tu, TCRA mnachekesha.

Huu uadilifu mnaupata wapi. Awamu ya tano mmetoa leseni kwa so-called wanaharakati huru wakitukana, kudhalilisha Wazee na Wastaafu wa Taifa letu. Mpo kimya. Maongezi ya Watanzania yamedukuliwa na kuwekwa hadharani.Mpo kimya. Leo mnasimamia maadili. Really? Mimi simtetei Humphrey kama Humphrey. Kuna maswala ya msingi ambayo ni zaidi ya mtu. TCRA if you want to be correct so be it. We aren’t interested in half baked, half cooked dishes.
Nimeusikiliza mlolongo wa tuhuma dhidi yake lakini nikazidi kujiuliza ‘na ikawaje akapewa leseni?’ Vitu vingine TCRA ilipaswa ivijue kabla ya kutoa leseni. Pamoja na yote “Darasa” lake halikuwa hewani siku moja au mbili kwa uchache wa siku, kweli TCRA walikuwa bado tu hawajaona kwamba leseni yao haikuwa katika mikono salama? Niwambie tu, TCRA mnachekesha.
 
Huu uadilifu mnaupata wapi. Awamu ya tano mmetoa leseni kwa so-called wanaharakati huru wakitukana, kudhalilisha Wazee na Wastaafu wa Taifa letu. Mpo kimya. Maongezi ya Watanzania yamedukuliwa na kuwekwa hadharani.Mpo kimya. Leo mnasimamia maadili. Really? Mimi simtetei Humphrey kama Humphrey. Kuna maswala ya msingi ambayo ni zaidi ya mtu. TCRA if you want to be correct so be it. We aren’t interested in half baked, half cooked dishes.
 
Anaandika Balozi Khamis Sued Kagasheki kupitia ukurasa wake wa Twitter na ninamnukuu;

Humphrey siyo rafiki yangu. Pia siyo adui yangu. Sikuwahi kuketi popote na yeye kwa maongezi. Mara moja tu niliongea nae kwa simu kuhusu jambo lililo mhusu mwanachama mwenzetu na Boss wake (Bashiru) alikuwa kalivalia njuga. Inasemekana zipo tuhuma zinazo mkabili na Chama chetu hakijatoa hukumu dhidi yake mpaka kisikie utetezi wake. Kingeweza kumchukulia hatua bila hata kufuata taratibu kama tulivyo ona huko nyuma. Najiuliza, TCRA kabla ya hatua zao dhidi ya Polepole, walimpa fursa ya kujieleza? Alisikilizwa? Alisema nini?

Nimeusikiliza mlolongo wa tuhuma dhidi yake lakini nikazidi kujiuliza ‘na ikawaje akapewa leseni?’ Vitu vingine TCRA ilipaswa ivijue kabla ya kutoa leseni. Pamoja na yote “Darasa” lake halikuwa hewani siku moja au mbili kwa uchache wa siku, kweli TCRA walikuwa bado tu hawajaona kwamba leseni yao haikuwa katika mikono salama? Niwambie tu, TCRA mnachekesha.

Huu uadilifu mnaupata wapi. Awamu ya tano mmetoa leseni kwa so-called wanaharakati huru wakitukana, kudhalilisha Wazee na Wastaafu wa Taifa letu. Mpo kimya. Maongezi ya Watanzania yamedukuliwa na kuwekwa hadharani.Mpo kimya. Leo mnasimamia maadili. Really? Mimi simtetei Humphrey kama Humphrey. Kuna maswala ya msingi ambayo ni zaidi ya mtu. TCRA if you want to be correct so be it. We aren’t interested in half baked, half cooked dishes.
Hoja zenye mashiko kama hizi za Balozi Kagasheki zilitakiwa zifikishwe TACRA na "Press" ili majibu yapatikane, na Umma uhabarishwe.
Waandishi wa Habari wa Tanzania wako wapi!
Balozi Kagasheki ameisha watafunia, kazi iliyobaki ni kumeza tu, mnasubiri nini?
Fikeni TCRA na mlete majibu kwa nini Cyprian Musiba hakuwahi kuitwa, kwa miaka 5 yote aliyotukana na kuwadhalilisha watu mbalimbali, lakini Humphrey Polepole kaitwa.
Tanzania Press, where are you?
 
TCRA wenyewe ni kama wanasiasa tu wenye kilemba cha profession tofauti, siku zote huendana na midundo ya mtawala aliyeko madarakani ili kumlinda na sio profession yao.

Kuwashangilia uamuzi wao wa leo umekupendeza ni upofu tu, kesho hao TCRA wakikukaanga usinune, kwasababu wakiwaumiza wengine huwa unachekelea.
Si wao pekee, taasisi zote za serekali za ccm hutumika kuonea, kunyanyasa, kudhulumu, kuua, kupoteza,............hapa TCRA imetumika kumdhibiti mbaya wa watawala kwani baadhi ya shughuli zake zinawahusu. Usalama wa taifa hutumika, polisi hutumika x nyingi sana, uhamiaji hutumika, TRA hutumika, nk,nk,........ Kiujumla hatujastaarabika kiasi cha kutembelea kwenye prescriptions tulizojiandikia wenyewe...kutofautiana mtazamo na mtawala ni sababu tosha kumwondolea mtu uhai! na hiki ndo jioni cha unafiki wetu kama taifa.
 
Anaandika Balozi Khamis Sued Kagasheki kupitia ukurasa wake wa Twitter na ninamnukuu;

Humphrey siyo rafiki yangu. Pia siyo adui yangu. Sikuwahi kuketi popote na yeye kwa maongezi. Mara moja tu niliongea nae kwa simu kuhusu jambo lililo mhusu mwanachama mwenzetu na Boss wake (Bashiru) alikuwa kalivalia njuga. Inasemekana zipo tuhuma zinazo mkabili na Chama chetu hakijatoa hukumu dhidi yake mpaka kisikie utetezi wake. Kingeweza kumchukulia hatua bila hata kufuata taratibu kama tulivyo ona huko nyuma. Najiuliza, TCRA kabla ya hatua zao dhidi ya Polepole, walimpa fursa ya kujieleza? Alisikilizwa? Alisema nini?

Nimeusikiliza mlolongo wa tuhuma dhidi yake lakini nikazidi kujiuliza ‘na ikawaje akapewa leseni?’ Vitu vingine TCRA ilipaswa ivijue kabla ya kutoa leseni. Pamoja na yote “Darasa” lake halikuwa hewani siku moja au mbili kwa uchache wa siku, kweli TCRA walikuwa bado tu hawajaona kwamba leseni yao haikuwa katika mikono salama? Niwambie tu, TCRA mnachekesha.

Huu uadilifu mnaupata wapi. Awamu ya tano mmetoa leseni kwa so-called wanaharakati huru wakitukana, kudhalilisha Wazee na Wastaafu wa Taifa letu. Mpo kimya. Maongezi ya Watanzania yamedukuliwa na kuwekwa hadharani.Mpo kimya. Leo mnasimamia maadili. Really? Mimi simtetei Humphrey kama Humphrey. Kuna maswala ya msingi ambayo ni zaidi ya mtu. TCRA if you want to be correct so be it. We aren’t interested in half baked, half cooked dishes.
Mkuu Naipendatz , asante sana kwa uzi huu, kwa ruhusa yako naomba niutumie kama mbolea kurutubisha bandiko langu hili
P
 
Mkuu Naipendatz , asante sana kwa uzi huu, kwa ruhusa yako naomba niutumie kama mbolea kurutubisha bandiko langu hili
P
Sawa kabisa Mkuu Pascal
 
Hoja zenye mashiko kama hizi za Balozi Kagasheki zilitakiwa zifikishwe TACRA na "Press" ili majibu yapatikane, na Umma uhabarishwe.
Waandishi wa Habari wa Tanzania wako wapi!
Balozi Kagasheki ameisha watafunia, kazi iliyobaki ni kumeza tu, mnasubiri nini?
Fikeni TCRA na mlete majibu kwa nini Cyprian Musiba hakuwahi kuitwa, kwa miaka 5 yote aliyotukana na kuwadhalilisha watu mbalimbali, lakini Humphrey Polepole kaitwa.
Tanzania Press, where are you?
Swali zuri sana, Press yetu ni kama wapo kwenye usingizi wa Pono
 
Hoja zenye mashiko kama hizi za Balozi Kagasheki zilitakiwa zifikishwe TACRA na "Press" ili majibu yapatikane, na Umma uhabarishwe.
Waandishi wa Habari wa Tanzania wako wapi!
Balozi Kagasheki ameisha watafunia, kazi iliyobaki ni kumeza tu, mnasubiri nini?
Fikeni TCRA na mlete majibu kwa nini Cyprian Musiba hakuwahi kuitwa, kwa miaka 5 yote aliyotukana na kuwadhalilisha watu mbalimbali, lakini Humphrey Polepole kaitwa.
Tanzania Press, where are you?
Press yetu tupo, tunasubiria kuitwa ndipo tuende. Press ukiitwa mahali kuchukua habari, ndio pia unawezeshwa na tule tu little brown nanilius, lakini ukienda mwenyewe kwa kujipeleka kutafuta habari, unakuwa hupewi !, ndio maana kwenye media zetu hatuna stories za investigative Journalism, kwasababu nani atakupa tule tu little brown nanilius ?.
P
 
Back
Top Bottom