nyembela
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 412
- 523
Nini kifanyike mkuu?
Press yetu tupo, tunasubiria kuitwa ndipo tuende. Press ukiitwa mahali kuchukua habari, ndio pia unawezeshwa na tule tu little brown nanilius, lakini ukienda mwenyewe kwa kujipeleka kutafuta habari, unakuwa hupewi !, ndio maana kwenye media zetu hatuna stories za investigative Journalism, kwasababu nani atakupa tule tu little brown nanilius ?.
P