TANZIA Balozi Juma Mwapachu afariki Dunia

TANZIA Balozi Juma Mwapachu afariki Dunia

Mshua alikuwa akija nyumbani akikalia kochi, akiondoka siku nzima kochi linanukia cologne yake.

Akikukuta unasoma Newsweek anakwambia "You get the most from The Economist, not Newsweek or Time Magazine..."
Nilipata kumjua mama yao mzazi....nikiwa mdogo kabisa naye alikuwa ni kikongwe haswa na mwenye kujipenda mno...alikuwa ni half- caste wa kijerumani....
 
Back
Top Bottom