Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 9,468
- 8,276
Hakika.....Miezi kadhaa nyuma nlibahatika kuhudhuria birthday day yake
Ilifanyika hapo hekima mikocheni
Pumzika mzee mwapachu
Ova
Tutamkumbuka pale tawini kwetu CCM kontena.....
Hakika.....Miezi kadhaa nyuma nlibahatika kuhudhuria birthday day yake
Ilifanyika hapo hekima mikocheni
Pumzika mzee mwapachu
Ova
Uboya huo...Ndiye nani huko daslamu🚶♂️🚶♂️
Daah....Niliwah kukaa naye na kumsikiliza mawazo yake, kwa hakika alikuwa na matamanio ya kuiona Tanzania iliyo na wananchi matajiri. 😞 R.I.P mzalendo wa kweli. Daima tutakukumbuka na kuyaenzi mema yote uliyoyatenda wakati wa uhai wako.
Mojawapo ya mema yako nnayoyakumbuka ni pale ulipojitolea kusomesha na kutoa mitaji kwa vijana zaidi ya 1000 wa kitanzania. Pumzika shujaa wetu.
Nahisi pia amewahi kuwa Waziri wa katiba na Sheria.
Fasaha wa mdomo....Poleni sana..
Mwansiasa na Mwanadiplomasia very eloquent kwa wakati wake..
Pumziko la Milele Umpe ee Bwana.
HakikaKaka yake Bakari ndiye alikuwa waziri wa Sheria na Katiba...
Amen!
....nyuma yake kulikuwa na jitihada nyingi....Hizo ndizo koo zilizokula mema ya nchi kabla ya uhuru na baada ya uhuru
Daah umenikumbusha G.Habash kaka yake Aaron ...Salamu za pole kwa familia ya Mwapachu, moja ya familia yenye nyota njema kwa wana Tanga na Chumbageni/Changa...
Watu maarufu wa maeneo yale naona wengi wamerudi kwa muumba Bakari, Gadner Habash na sasa Juma, sijui kama mzee Mukebezi atakuwa naye hai?
RIP Mwapachu.Salamu za pole kwa familia ya Mwapachu, moja ya familia yenye nyota njema kwa wana Tanga na Chumbageni/Changa...
Watu maarufu wa maeneo yale naona wengi wamerudi kwa muumba Bakari, Gadner Habash na sasa Juma, sijui kama mzee Mukebezi atakuwa naye hai?
Siyo kwamba wapo wawili hawa kina Mwapachu, tena wote ni viBopar Serikalini?Nahisi pia amewahi kuwa Waziri wa katiba na Sheria.
RIP Mwapachu.
JUuma Mwapachu "alitoka" Mwanza.
Nilitania tu; sijui asili yake ni wapi kwani majina ya Mwapachu unaweza kukuta ni ya Mbeya; ila Juma alizaliwa Mwanza. Sasa sijui wazazi wake walitokea wapi.Miaka yote nimekuwa nikiamini ni mdogo wa Bakari, maana mji wa kina Mwapachu uliachwa ukiwa na mama Mwapachu ambaye naye ni marehemu...
Rangi ya Juma inafanana na ushombeshombe wa marehemu mama Mwapachu, hivyo nilikuwa naamini ana undugu na Bakari marehemu...
Nilitania tu; sijui asili yake ni wapi kwani majina ya Mwapachu unaweza kukuta ni ya Mbeya; ila Juma alizaliwa Mwanza. Sasa sijui wazazi wake walitokea wapi.
Asante na tumwombee Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake pema peponi. Alitoa mchango mkubwa sana kwenye maendeleo ya nchi yetu ambapo hakuna aliyebaki kwenye system anaweza kufikia rekodi yake.Mwapachu ni jina la Kidigo (Tanga) siyo Mbeya wala Iringa au Njombe ambapo huwa na majina ya Mwa...