Andromeda Galaxy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 5,398
- 6,916
Pole Kwa Wana familia na ndugu
Hongera sana mzee maana wazee ni hazinaSio kidogo
Naona timu Msoga inazidi kudunda tu.Timu Lowassa inazidi kupukutika.
Kwa kweli, na ni Neema ya Mungu kuendelea pumuaHongera sana mzee maana wazee ni hazina
Kaka yake Harith Bakari Mwapachu ndiye aliyekuwa Waziri wa mambo ya ndani, Katiba na sheria na kabla ya hapo alikuwa Mkurugenzi Bodi ya Biashara ya Ndani ambayo chini yake ilikuwa na mashirika kadhaa ya uma.Nahisi pia amewahi kuwa Waziri wa katiba na Sheria.
Kumbe tunawazee wa ovyo humu na hatujuiRIP classmate 😭
Ndiye nani huko daslamu
Hapana yule ni kaka yake akiitwa Bakari Mwapachu,alikuwa Mbunge wa Tanga mjiniNahisi pia amewahi kuwa Waziri wa katiba na Sheria.
huyo ni kaka yakeNahisi pia amewahi kuwa Waziri wa katiba na Sheria.
Inasikitisha sana 😎Kumbe tunawazee wa ovyo humu na hatujui
R.I.PBalozi Juma Mwapachu, ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na balozi wa Tanzania nchini Ufaransa, amefariki dunia leo Dar es Salaam.
Mwapachu alijitoa CCM Oktoba 2015 kuunga safari ya matumaini ya Edward Lowassa na kurejea chama hicho mwaka 2016.
HISTORIA FUPI
Juma Volter Mwapachu (alizaliwa tarehe 27 Septemba 1942 huko Mwanza, Tanzania) ni mwanasiasa wa Tanzania na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Aliyachukua nafasi ya Amanya Mushega wa Uganda, ambaye alimaliza muhula wake wa miaka mitano mnamo Machi 24, 2006.
Mwapachu aliteuliwa kwa nafasi hiyo na Rais wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete. Alichaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na Kilele cha Wakuu wa Nchi wa EAC mnamo Aprili 4, 2006. Kabla ya uteuzi huo, Mwapachu alikuwa Balozi wa Heshima na Mjumbe wa Kudumu wa Tanzania katika UNESCO.
Mwapachu ni mhitimu wa sheria kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (alipata shahada yake mnamo 1969). Aidha, ana Stashahada ya Uzamili katika Sheria za Kimataifa, Taasisi za Kimataifa na Diplomasia kutoka Chuo cha Kimataifa cha Sheria na Diplomasia cha India kilichopo New Delhi, India. Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kilimtunuku Shahada ya Udaktari wa Fasihi (Honoris Causa) mnamo 2005. Pia anashikilia Shahada ya Udaktari wa Heshima wa Fasihi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Udaktari wa Sayansi ya Siasa kutoka Chuo Kikuu cha Taifa cha Rwanda.
Balozi Juma V. Mwapachu ni mwanasheria kitaaluma na amewahi kushika nyadhifa mbalimbali katika sekta za benki, maendeleo vijijini, diplomasia, na sekta binafsi.
Baadhi ya nyadhifa alizoshikilia kabla ya kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa EAC ni:
- Kufanya kazi na Wizara ya Serikali za Mitaa na Utawala wa Mikoa katika miaka ya 1970.
- Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa kati ya 2002 - 2006.
- Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania.
- Mwenyekiti wa Bodi za Mashirika ya Umma, ikiwa ni pamoja na Benki ya Uwekezaji Tanzania.
- Kamishna wa Tume ya Rais ya Marekebisho ya Sekta ya Mashirika ya Umma.
- Mwenyekiti wa Shirikisho la Viwanda Tanzania na Baraza la Biashara la Afrika Mashariki.
- Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Biashara ya Nje na Baraza la Usimamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
- Mjumbe wa Baraza la Usimamizi wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kimataifa.
- Mjumbe wa Tume kadhaa za Rais na mmoja wa waandishi wa Dira ya Maendeleo ya Tanzania 2025.
One of the best smart and intelligent Tanzanian….British Tanganyika Legion Club imepoteza member mwingine muhimu. Nakumbuka sana mijadala yenu moto moto na Jenerali Ulimwengu pale Clabuni!Balozi Juma Mwapachu, ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na balozi wa Tanzania nchini Ufaransa, amefariki dunia leo Dar es Salaam.
Mwapachu alijitoa CCM Oktoba 2015 kuunga safari ya matumaini ya Edward Lowassa na kurejea chama hicho mwaka 2016.
HISTORIA FUPI
Juma Volter Mwapachu (alizaliwa tarehe 27 Septemba 1942 huko Mwanza, Tanzania) ni mwanasiasa wa Tanzania na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Aliyachukua nafasi ya Amanya Mushega wa Uganda, ambaye alimaliza muhula wake wa miaka mitano mnamo Machi 24, 2006.
Mwapachu aliteuliwa kwa nafasi hiyo na Rais wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete. Alichaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na Kilele cha Wakuu wa Nchi wa EAC mnamo Aprili 4, 2006. Kabla ya uteuzi huo, Mwapachu alikuwa Balozi wa Heshima na Mjumbe wa Kudumu wa Tanzania katika UNESCO.
Mwapachu ni mhitimu wa sheria kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (alipata shahada yake mnamo 1969). Aidha, ana Stashahada ya Uzamili katika Sheria za Kimataifa, Taasisi za Kimataifa na Diplomasia kutoka Chuo cha Kimataifa cha Sheria na Diplomasia cha India kilichopo New Delhi, India. Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kilimtunuku Shahada ya Udaktari wa Fasihi (Honoris Causa) mnamo 2005. Pia anashikilia Shahada ya Udaktari wa Heshima wa Fasihi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Udaktari wa Sayansi ya Siasa kutoka Chuo Kikuu cha Taifa cha Rwanda.
Balozi Juma V. Mwapachu ni mwanasheria kitaaluma na amewahi kushika nyadhifa mbalimbali katika sekta za benki, maendeleo vijijini, diplomasia, na sekta binafsi.
Baadhi ya nyadhifa alizoshikilia kabla ya kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa EAC ni:
- Kufanya kazi na Wizara ya Serikali za Mitaa na Utawala wa Mikoa katika miaka ya 1970.
- Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa kati ya 2002 - 2006.
- Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania.
- Mwenyekiti wa Bodi za Mashirika ya Umma, ikiwa ni pamoja na Benki ya Uwekezaji Tanzania.
- Kamishna wa Tume ya Rais ya Marekebisho ya Sekta ya Mashirika ya Umma.
- Mwenyekiti wa Shirikisho la Viwanda Tanzania na Baraza la Biashara la Afrika Mashariki.
- Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Biashara ya Nje na Baraza la Usimamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
- Mjumbe wa Baraza la Usimamizi wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kimataifa.
- Mjumbe wa Tume kadhaa za Rais na mmoja wa waandishi wa Dira ya Maendeleo ya Tanzania 2025.
Kweli alikua mwanasheria,mchumi hawezi tamani nchi nzima wawe matajiri, sababu haiwezekaniNiliwah kukaa naye na kumsikiliza mawazo yake, kwa hakika alikuwa na matamanio ya kuiona Tanzania iliyo na wananchi matajiri. 😞 R.I.P mzalendo wa kweli. Daima tutakukumbuka na kuyaenzi mema yote uliyoyatenda wakati wa uhai wako.
Mojawapo ya mema yako nnayoyakumbuka ni pale ulipojitolea kusomesha na kutoa mitaji kwa vijana zaidi ya 1000 wa kitanzania. Pumzika shujaa wetu.
Rest in eternal peace kamarada mzee wetu balozi Juma ,amen !Balozi Juma Mwapachu, ambaye amewahi kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na balozi wa Tanzania nchini Ufaransa, amefariki dunia leo Dar es Salaam.
Mwapachu alijitoa CCM Oktoba 2015 kuunga safari ya matumaini ya Edward Lowassa na kurejea chama hicho mwaka 2016.
HISTORIA FUPI
Juma Volter Mwapachu (alizaliwa tarehe 27 Septemba 1942 huko Mwanza, Tanzania) ni mwanasiasa wa Tanzania na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Aliyachukua nafasi ya Amanya Mushega wa Uganda, ambaye alimaliza muhula wake wa miaka mitano mnamo Machi 24, 2006.
Mwapachu aliteuliwa kwa nafasi hiyo na Rais wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete. Alichaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na Kilele cha Wakuu wa Nchi wa EAC mnamo Aprili 4, 2006. Kabla ya uteuzi huo, Mwapachu alikuwa Balozi wa Heshima na Mjumbe wa Kudumu wa Tanzania katika UNESCO.
Mwapachu ni mhitimu wa sheria kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (alipata shahada yake mnamo 1969). Aidha, ana Stashahada ya Uzamili katika Sheria za Kimataifa, Taasisi za Kimataifa na Diplomasia kutoka Chuo cha Kimataifa cha Sheria na Diplomasia cha India kilichopo New Delhi, India. Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kilimtunuku Shahada ya Udaktari wa Fasihi (Honoris Causa) mnamo 2005. Pia anashikilia Shahada ya Udaktari wa Heshima wa Fasihi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Udaktari wa Sayansi ya Siasa kutoka Chuo Kikuu cha Taifa cha Rwanda.
Balozi Juma V. Mwapachu ni mwanasheria kitaaluma na amewahi kushika nyadhifa mbalimbali katika sekta za benki, maendeleo vijijini, diplomasia, na sekta binafsi.
Baadhi ya nyadhifa alizoshikilia kabla ya kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa EAC ni:
- Kufanya kazi na Wizara ya Serikali za Mitaa na Utawala wa Mikoa katika miaka ya 1970.
- Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa kati ya 2002 - 2006.
- Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania.
- Mwenyekiti wa Bodi za Mashirika ya Umma, ikiwa ni pamoja na Benki ya Uwekezaji Tanzania.
- Kamishna wa Tume ya Rais ya Marekebisho ya Sekta ya Mashirika ya Umma.
- Mwenyekiti wa Shirikisho la Viwanda Tanzania na Baraza la Biashara la Afrika Mashariki.
- Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Biashara ya Nje na Baraza la Usimamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
- Mjumbe wa Baraza la Usimamizi wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kimataifa.
- Mjumbe wa Tume kadhaa za Rais na mmoja wa waandishi wa Dira ya Maendeleo ya Tanzania 2025.