TANZIA Balozi Juma Mwapachu afariki Dunia

TANZIA Balozi Juma Mwapachu afariki Dunia

Attachments

  • 20250329_083730.jpg
    20250329_083730.jpg
    295.6 KB · Views: 11
Na kamvua haka Acha nipige kahawa kdg huku nayajenga mzee
Kimara huko shida usafiri jana watu wamehaha sana usafiri

Ova
Njia ilikuwepo wavivu kufikir tu unaoanda gar za makumbusho ukifaka pale unaoanda gar za mbezi zinazopitia goba pia kuna magar ya kariako ya mbezi yanayo pitia buguruni
 
Njia ilikuwepo wavivu kufikir tu unaoanda gar za makumbusho ukifaka pale unaoanda gar za mbezi zinazopitia goba pia kuna magar ya kariako ya mbezi yanayo pitia buguruni
Pale makumbusho kunakuwaga na abiria wengi gombania goli
Pale abiria labda wangekuwa wanapanda magari kwa kukaa foleni ila wanapanda kama mangombe ustaarabu zero

Ova
 
Nilipokuwa Mwanza,mara kwa mara nilikuwa naenda kwa marehemu Juma Mzungu,aliekuwa anaishi Nera,alikuwa akinipa darasa la historia ya nchi hii na watu wake.Alinipa full history ya ukoo wa Mwapachu baba yao na marehemu.Pia alinipa full history ya Bomani.Nilifaidika sana sana ya historia ya nchi hii na watu mashuhuri
 
Hakuna cha muda gani.

Tofautisha mada za cerebrities na vichekesho, wewe umeambiwa ni msiba, halafu eti unajidai ''ni nani huko daslamu''

Inaonyesha huna hekima wala busara.

Jifunze dogo, usiwe unakomenti tu ilimradi ulishawahi kuona wanakomenti, soma kwanza mada inahusu nini.
Mbona swali la kawaida sana.
Pole kwa msiba.
 
Back
Top Bottom