Nakandamiza Kibara
Senior Member
- Jul 17, 2007
- 143
- 10
Balile mimi nimeamua kukutaka uje hapa uyapinge baada ya kuona mijadala mingi inazuka na huku Rostam anasema mtaani kwamba ni matunda ya kijana wake ambaye alimpeleka UK kusoma .Una haki ya kuandika habari hata kama si sahihi ili uujue ukweli lakini unajidhalilisha kwa habari zako za uongo kukidhin madhitaji ya bwana wako Rostam na wana mtandao.Mimi nataka kukumbusha machache tu na uone kama kweli hata Rostam na mtandao wanaweza kukuamini ama utakuwa muhuni kama ulivyo sasa?
Balile uliamua kuka kwa Mbowe na kula kwa wanamtandao lakini Mbowe trusted you kama Mhariri na huwezi kusimama hapa na kusema kwamba alikuwa anakuingilia na Mbowe haingii News Room kama Rostam usema hii poa na hii si poa ondoa.Kumbuka ulikuwa umefukuzwa kazi toka Mwananchi ambako ulikiwa mwandishi tu.Kilam ulikaidi amri ya kukataliwa ruhusa ya kwenda Cairo na Lowasa .Wana habari walialikwa nawe ukiwa mmojawapo unanyimwa ruhusa uliporudi ukafukuzwa kazi .
Mbowe alikuokota una sota na akakutaka muanze kazi wote na kukufanya Mhariri . Ni mbowe huyu huyu aliye kujengea confidence kwa kukuamini mimi na kazi na mali zake ukawa mtu lakini ulitumia gazeti lake kummaliza wakati anagombea mwaka 2005 na bado yeye haujali .Kama unabisha juu ya wewe kufutwa kazi njoo useme haya .
Ni Mbowe alikupeleka Veta kujifunza kuendesha gari na akakupa gari ili uchape kazi lakini kwa kuwa akili yako haina akili ulikuwa una muuza lakini pamoja na watu kumwambia Mbowe hakuamini kama wewe ulikuwa nyoka mmbaya .
Kwa haya machache nakuuliza wewe Balile na kuwajulisha hao akina Rostam wewe ni mtu wa aina gani na kwa kuwa wee utu si kitu bali pesa je siku wataishiwa ama akaja mtu na dau akakununua is utajivua akili kama ambayo tuna shuhudia sasa kwanza kwa Lowasa na sasa Mbowe na wana habari wenzio wanakukumbia .Unakumbuka tukio la juzi walivyo kuacha baada ya wewe kuingia ?
Balile ama wapambe waje wajibu nizidi kumwaga nondo hapa .
Balile uliamua kuka kwa Mbowe na kula kwa wanamtandao lakini Mbowe trusted you kama Mhariri na huwezi kusimama hapa na kusema kwamba alikuwa anakuingilia na Mbowe haingii News Room kama Rostam usema hii poa na hii si poa ondoa.Kumbuka ulikuwa umefukuzwa kazi toka Mwananchi ambako ulikiwa mwandishi tu.Kilam ulikaidi amri ya kukataliwa ruhusa ya kwenda Cairo na Lowasa .Wana habari walialikwa nawe ukiwa mmojawapo unanyimwa ruhusa uliporudi ukafukuzwa kazi .
Mbowe alikuokota una sota na akakutaka muanze kazi wote na kukufanya Mhariri . Ni mbowe huyu huyu aliye kujengea confidence kwa kukuamini mimi na kazi na mali zake ukawa mtu lakini ulitumia gazeti lake kummaliza wakati anagombea mwaka 2005 na bado yeye haujali .Kama unabisha juu ya wewe kufutwa kazi njoo useme haya .
Ni Mbowe alikupeleka Veta kujifunza kuendesha gari na akakupa gari ili uchape kazi lakini kwa kuwa akili yako haina akili ulikuwa una muuza lakini pamoja na watu kumwambia Mbowe hakuamini kama wewe ulikuwa nyoka mmbaya .
Kwa haya machache nakuuliza wewe Balile na kuwajulisha hao akina Rostam wewe ni mtu wa aina gani na kwa kuwa wee utu si kitu bali pesa je siku wataishiwa ama akaja mtu na dau akakununua is utajivua akili kama ambayo tuna shuhudia sasa kwanza kwa Lowasa na sasa Mbowe na wana habari wenzio wanakukumbia .Unakumbuka tukio la juzi walivyo kuacha baada ya wewe kuingia ?
Balile ama wapambe waje wajibu nizidi kumwaga nondo hapa .