Balile can you be trusted baada ya kumzunguka Mbowe ?

Moderator,
Please Peleka Hii Thread Kwenye Udaku Ili Kulinda Na Kuinusuru Hadhi Ya Jf. Tumechoka Na Umbeya Kula Kukicha.

Punda what makes you think kwamba huu ni udaku ? Hebu kama umeshindwa kuchangia tafadhali pita na waache wenye kujua mambo waseme .We are fighting wapuuzi wa aina hii .
 
Nkandamiza Kibara,

Nikisoma maandiko yako kwa umakini mkubwa, basi unamponza huyo Mbowe sawa kabisa na unavyomsagia Balile.

Habari nzima inaonyesha poor judgement ya Mbowe kama Mwanasiasa. Huwezi
ukamwajiri mtu mnafiki, ukakaa naye na akishaondoka ndio unaanza kumsagia. Ingelikuwa kwa wenzetu wanaotumia akili kuchambua mambo badala ya hasira za kisiasa. Mbowe angepata sticks nyingi sana kwa hili la huyu kijana wake wa zamani.

Kama Balile ni kibaraka na mpenda pesa, anaandika anayoambiwa na mabwana zake, vipi yale yote aliyoyaandika miaka aliyokuwa chini ya Mbowe au gazeti la Mbowe unataka tuyaamini?

Nikisoma mijadala mingine ya siasa, kweli inaonekana wanasiasa wetu wengi ni wachanga mno labda sawa na nchi yetu yenyewe. Siasa nayo ni somo kama physics na mengine. Lazima mtu ukae chini na kuielewa, vinginevyo unaweza kujikuta unajifunga magoli mwenyewe.

Kuna wanasiasa wengi sana wa TZ pamoja na wapambe wao, wanafikiri wanajua siasa kumbe hakuna kitu. Matokeo yake wanajifunga na kamba kila siku na kuwaacha CCM kuja wamalizia wakiwa hoi. Ndio maana CCM itaendelea kuongoza, sio kwasababu CCM wanafaa, hapana, ni kwasababu hata hao wengine kwa macho ya Watanzania walio wengi ni bomu si ajabu kuliko hata hao CCM wenyewe.

Tunahitaji mabadiliko makubwa sana kwenye vyama vyetu vya siasa. Inabidi vijana waachiwe nafasi ya kujaribu kuvirekebisha hivyo vyama ili viendanae na siasa za karne ya 21.

Mtanzania Mbowe alimwajiri Balile kufanya kazi kwene gazeti lake .Mbowe hakuwahi kuingia news room na kusema andika haya ama acha haya .Hil hata leo Balile aje hapa aseme.Ubaya wa Mbowe na kwamba alimwamini sana huyu kijana na hata wajanja waliposema awe naye makini maana alianza kwenda kwenye mtandao na akawa anatumia gazeti lake kuwasemea wana mtandao bado aliamini kwamba ni uhuru wa habari lakini kumbe mwenzake alikuwa kwenye payroll.Now nimesema mengi kwmaba the guy sasa anafanya yale Rostam anayo yasema wazi wazi .Nataka ujue kwamba mimi niko kwenye fani tofauti ila namjua Balile na hata majuzi wana habari wenzake walimkimbia na haya ndiyo wanayo yasema ndiyo maana nikaona kwa kuwa nimeyapata basi nilete hapa na nyie myajue kwamba Balile ni hatari na ananuka .Kumbuka tena kwamba Mbowe na Tanzania Daima haliingilii hata sasa yeye anaamini katika uhuru wa kuandika habari na yeye anaamini katika pure business na wale alio waajiri.Sasa kweli mtu anaweza kukufanyia haya ? Ama ni imani ya na huruma ya kumpa kazi na kumpa Uhariri Mkuu kitu ambacho hata yeye alikuwa muoga sana lakini alipewa moyo na akawa hapo alipo ?
 
NK kama una nia njema na Muheshimiwa basi do him a favour kwa kutoleta story kama hizi hapa, you have just added another FAILED MISSION kwenye CV yake machoni mwa wapiga kura, tena mchana kweupeeeee.
 
NK kama una nia njema na Muheshimiwa basi do him a favour kwa kutoleta story kama hizi hapa, you have just added another FAILED MISSION kwenye CV yake machoni mwa wapiga kura, tena mchana kweupeeeee.

Wewe ni Anti jamaa so this is clear .Haya ni mawazo yake jamaa na si mawazo ama Mbowe kumtuma niivyo elewa jambo hili .Sasa ama comment kutokana na jambo lilivyo hapa ama acha kuandika soma pita lakini nadhani sasa tujenge tabia ya kujibu hoja na si kuweka mambo ambayo hayaendani na hoja au unasemaje ?
 
Nkandamiza Kibara,

Kama Balile ni kibaraka na mpenda pesa, anaandika anayoambiwa na mabwana zake, vipi yale yote aliyoyaandika miaka aliyokuwa chini ya Mbowe au gazeti la Mbowe unataka tuyaamini?

.

Mtanzania,

Najua kwamba wewe uko UK, una upande wako katika siasa za kikanda za CCM, na 'mtu wako' hakuweza kupita katika kinyang'anyiro cha urais ndani ya CCMm licha ya kwamba alikuwa na uwezo na upeo kuliko JK. Sababu iliyomfanya yeye na wengine wenye maana wakose ni mbinu chafu cha wanamtandao hawa hawa na vibaraka wao ambao Nakandamiza Kibara ameamua kuanza kuwaanika pole pole hapa.

Kwa sababu hiyo, natarajia kwamba unajua kuwa kwa muda mrefu ambao balile alifanya kazi kwa Mbowe hakuwa anaadika habari za kumjenga Mbowe bali za kuwajenga JK, EL na wanamtandao wengine. Sisi tunaosoma magazeti haya tangu yalipanzishwa tunaweza kuthibitisha hilo maana nakala zake tunazo zote.

Kwa hiyo, hata leo baada ya kumkimbia mbowe, jamaa anaendelea kuandika tu habari za hao uliowaita 'mwabwana zake.' Tofauti ni kwamba hapo awali alikuwa anatumia investment ya mbowe kuwapamba washindani wake. Sasa tukirejea kwenye swali lako, tumwamini na tuyaamini aliyoandika wakati ule?
 
Sasa ama comment kutokana na jambo lilivyo hapa ama acha kuandika soma pita

Sounds as if unataka niseme kile unachotaka kusikia, katika kutumia uhuru wangu wa kucomment hapa- I believe I can say what I want to say as long as simtukani mtu.This is just another piece of poor decision making ya muheshimiwa, wrong investment!
 
Hatujadili poor investment wala better investment.Suala la msingi ni kuwa Balile anaweza kuaminika baada ya Kumkengeuka Mboye.

Sina uhakika na haya yaliyoandikwa,kama ni kweli basi Mbowe ni mkomavu kisiasa na kibiashara kwani atatumia ile tunaita let the managers manage pasipo kuingilia.Wahariri wanapewa uhuru wa kufanya mambo yao bila ata kuwaingilia.

Suala la maslahi ni la kawaida na kila mtu anatafuta maslahi.Lamsingi ni kujali utu na kuhakikisha tunapata haya maslahi ktk njia iliyo sahihi na halali.Marekani wanasema hawana Urafiki wa kudumu ila maslahi ndiyo yatakuwa mbele hivyo basi kama Balile aliweka maslahi na akasahau UTU ni jambo la kawaidaa kwa Wanadamu.

Lamsingi ni Tugange yajayo kwa kuwa makini sana na watu kama Balile ambao kesho au keshokutwa wanaweza kukengeuka kama ni kweli kilichosemwa ni sahihi.

Naomba Balile aweze kanusha kama si sahihi ili tusije mchafua ili hali hastahiki hili.
 
Nyie hamjui tu yaliyomkuta huyo Balile na handlers wake siku chache zilizopita... hana hamu na somo ambalo hakujifunza UK amelazimishwa kujifunza TZ... thats all for now..!
 
Mkjj unamaaanisha Mla huliwa? haya tupe lau kiduchu maana wengine tupo mbali kijijini

Katika tukio moja la wiki hii, mfanyabiashara mmoja maarufu na mmiliki wa vyombo vya habari ambaye baadhi ya magazeti yake yalikuwa mstari wa mbele kuendesha vita dhidi ya mafisadi, alilazimika kutumia ‘mbinu za kijasusi’ kuzima mkakati maalumu wa kundi hilo la mafisadi kutumia chombo kimoja cha habari kumchafua.
Habari ambazo Tanzania Daima Jumapili linazo zinaeleza kuwa, mfanyabiashara huyo alilazimika kunasa mawasiliano ya wanaharakati wa kundi hilo waliokuwa wakijadili mikakati waliyokuwa wamejiwekea ili kufanikisha lengo la kumchafua wakitumia gazeti moja la Kiswahili linalochapishwa kila wiki.
Mara baada ya kunasa mawasiliano hayo, mfanyabiashara huyo aliitisha mkutano maalumu ukiwajumuisha watu waliokuwa wakitajwa kuhusika katika njama hizo za kumchafua huku akitumia sauti alizonasa katika mkanda wa kaseti zilizokuwa zikiainisha hoja na mbinu ambazo zingetumika kumpaka matope.
Chanzo cha kuaminika cha habari hizi, kimelieleza Tanzania Daima Jumapili, mbinu za mfanyabiashara huyo kunasa mawasiliano hayo ndiyo ambazo kwa kiwango kikubwa zilifanikisha kukwama kwa mpango wa kumchafua, ambao ulikuwa utekelezwe kupitia katika chombo hicho cha habari.

Pamoja na kumfanyika hayo mambo yaliyodokezwa na Tanzania Daima hapo juu Ballile balo yuko safi na anajipanga kumwaga mambo zaidi.

Hofu yake tu ni asije akageuzwa

PM
 
Katika tukio moja la wiki hii, mfanyabiashara mmoja maarufu na mmiliki wa vyombo vya habari ambaye baadhi ya magazeti yake yalikuwa mstari wa mbele kuendesha vita dhidi ya mafisadi, alilazimika kutumia ‘mbinu za kijasusi’ kuzima mkakati maalumu wa kundi hilo la mafisadi kutumia chombo kimoja cha habari kumchafua.
Habari ambazo Tanzania Daima Jumapili linazo zinaeleza kuwa, mfanyabiashara huyo alilazimika kunasa mawasiliano ya wanaharakati wa kundi hilo waliokuwa wakijadili mikakati waliyokuwa wamejiwekea ili kufanikisha lengo la kumchafua wakitumia gazeti moja la Kiswahili linalochapishwa kila wiki.
Mara baada ya kunasa mawasiliano hayo, mfanyabiashara huyo aliitisha mkutano maalumu ukiwajumuisha watu waliokuwa wakitajwa kuhusika katika njama hizo za kumchafua huku akitumia sauti alizonasa katika mkanda wa kaseti zilizokuwa zikiainisha hoja na mbinu ambazo zingetumika kumpaka matope.
Chanzo cha kuaminika cha habari hizi, kimelieleza Tanzania Daima Jumapili, mbinu za mfanyabiashara huyo kunasa mawasiliano hayo ndiyo ambazo kwa kiwango kikubwa zilifanikisha kukwama kwa mpango wa kumchafua, ambao ulikuwa utekelezwe kupitia katika chombo hicho cha habari.

Pamoja na kumfanyika hayo mambo yaliyodokezwa na Tanzania Daima hapo juu Ballile balo yuko safi na anajipanga kumwaga mambo zaidi.

Hofu yake tu ni asije akageuzwa

PM

mtama umemwagwa.....!
 
Katika tukio moja la wiki hii, mfanyabiashara mmoja maarufu na mmiliki wa vyombo vya habari ambaye baadhi ya magazeti yake yalikuwa mstari wa mbele kuendesha vita dhidi ya mafisadi, alilazimika kutumia ‘mbinu za kijasusi’ kuzima mkakati maalumu wa kundi hilo la mafisadi kutumia chombo kimoja cha habari kumchafua.
Habari ambazo Tanzania Daima Jumapili linazo zinaeleza kuwa, mfanyabiashara huyo alilazimika kunasa mawasiliano ya wanaharakati wa kundi hilo waliokuwa wakijadili mikakati waliyokuwa wamejiwekea ili kufanikisha lengo la kumchafua wakitumia gazeti moja la Kiswahili linalochapishwa kila wiki.
Mara baada ya kunasa mawasiliano hayo, mfanyabiashara huyo aliitisha mkutano maalumu ukiwajumuisha watu waliokuwa wakitajwa kuhusika katika njama hizo za kumchafua huku akitumia sauti alizonasa katika mkanda wa kaseti zilizokuwa zikiainisha hoja na mbinu ambazo zingetumika kumpaka matope.
Chanzo cha kuaminika cha habari hizi, kimelieleza Tanzania Daima Jumapili, mbinu za mfanyabiashara huyo kunasa mawasiliano hayo ndiyo ambazo kwa kiwango kikubwa zilifanikisha kukwama kwa mpango wa kumchafua, ambao ulikuwa utekelezwe kupitia katika chombo hicho cha habari.

Pamoja na kumfanyika hayo mambo yaliyodokezwa na Tanzania Daima hapo juu Ballile balo yuko safi na anajipanga kumwaga mambo zaidi.

Hofu yake tu ni asije akageuzwa

PM

Haabri zangu sasa ambazo watu walisema ni udaku naona zinakuwa nyuzi sasa .Habari kamili ni kwamba Mtego huo ulikuwa wa Rostam mwenyewe na wamewekewa ushahidi wote wa ujinga ambao walikuwa wanaupanga .Walibisha wakapewa ushahidi wa kumwaga Balile akalewa na kunywea.Balile anajua kabisa kwamba siku Rostam anamfuta kazi wakiwa na Manyerere Jakton hawatakuwa na maisha tena maana kila chombo kinawajua na hasa Balile wanavyo nuka .

Balile ulitaka kujisafisha eti kuna mpango wa kuawa na Wabunge 2 wa CCM ili ujiokoe na huu uozo wako . Majina ninayo na mbinu hizi ilikuwa unataka kumpakazia boss wako wako sasa .Ndipo hapa narudi kuuliza kwamba , Can Balile be trusted ? Maana alianza na Mbowe akala akapelekwa Egypt na UK sasa karudi TZ anageuzwa kesha geuka na anataka kumgeuka tena anayempa kula nan sasa mjanja wa mjini kesha kushitukia .Pole zake kijana nilisema mkasema udaku haya sasa nakupeni kidogo yaani naunga maneno PM hapo na ngoma sasa ni nzito .

Kila muosha maiti huoshwa na wewe sasa ngoje siku zako ni chache sana zimebakia utaona matunda ya uongo na uzandiki .Huwezi kuandika na kuzia fikra za watu zaidi ya 36m kwa talanta.
 
mtama umemwagwa.....!

Mi nilisema hapa Rostam Aziz fisadi mmiliki wa Habari Corruption alimtumia Ballile kupitia RA Interanational(RAI) kumchafua mbowe kuhamisha mjadala mkasema ooohhhh Asha wa nini sijui, sasa oneni ukweli. Walau Mengi amempatia. Karamagi naye alikuwepo?

Na kuna lingine Ballile amefanyiwe na wajanja, mwanamke mi siwezi kulisema bila ashakumu si matusi. Weledi njooni mtujuze

Asha
 
Mi nilisema hapa Rostam Aziz fisadi mmiliki wa Habari Corruption alimtumia Ballile kupitia RA Interanational(RAI) kumchafua mbowe kuhamisha mjadala mkasema ooohhhh Asha wa nini sijui, sasa oneni ukweli. Walau Mengi amempatia. Karamagi naye alikuwepo?

Na kuna lingine Ballile amefanyiwe na wajanja, mwanamke mi siwezi kulisema bila ashakumu si matusi. Weledi njooni mtujuze

Asha

Nasikia Karamagi, Rostam na Jakton Manyerere wote walikuwepo wanapewa mkanda wao wa mbinu chafu .Wame chooka .Yaani Balile alitaka kukata mti akiwa ameukalia jamani .Kuna watetezi wa Balile hapa mbona hawasemi nanie tumwage ya ndani zaidi ?
 
Nasikia Karamagi, Rostam na Jakton Manyerere wote walikuwepo wanapewa mkanda wao wa mbinu chafu .Wame chooka .Yaani Balile alitaka kukata mti akiwa ameukalia jamani .Kuna watetezi wa Balile hapa mbona hawasemi nanie tumwage ya ndani zaidi ?

ooohh oooohhhh, hiyo ilikuwa tamu kama movie vile. Kwanini Mengi asirushe huo mkanda ITV fisadi Rostam na Habari Corruption wazimie kabisa?

Unajua Ballile wahuni wamemfanya nini mtaani kwake? Mi nafumba macho tu.

Asha
 
kada acha mbinu ya kuharibu attention kwa ku divert centre ya mada ya mwenzako...ukweli ni kuwa "ukiona mtu mwenye akili timamu..ukamshauri amsaliti mtu naye akakubali..basi ujue siku akiambiwa na mtu mwingine akusaliti ,atakusaliti na wewe...'" ..msaliti huendelea kuwa msaliti ..msaliti hafikirii kwa kichwa bali hufikiria kwa tumbo.....

mwisho wa maisha ya msaliti ni kuuwawa...just imagine if you are an intelligence and you have scooped someone to desert..once uko naye na ukisharidhika kuwa ana siri zako amabazo anaweza kuziuza wakati wowote...na kwa tabia yake ya usaliti huwezi kumzuia ..you have no option akishakutumikia inabidi umuuwe.....

kwa kada mshauri mdogo wako au kaka yako balile kuwa usaliti asilani si sifa nzuri mtu mwenye akili timamu kuitwa ...ni bora aje hapa ajisafishe!!!!

PM kumbe na wewe unaendekeza hii tabia ? i didnt know.
 
Nkandamiza Kibara,

Nikisoma maandiko yako kwa umakini mkubwa, basi unamponza huyo Mbowe sawa kabisa na unavyomsagia Balile.

Habari nzima inaonyesha poor judgement ya Mbowe kama Mwanasiasa. Huwezi
ukamwajiri mtu mnafiki, ukakaa naye na akishaondoka ndio unaanza kumsagia. Ingelikuwa kwa wenzetu wanaotumia akili kuchambua mambo badala ya hasira za kisiasa. Mbowe angepata sticks nyingi sana kwa hili la huyu kijana wake wa zamani.

Kama Balile ni kibaraka na mpenda pesa, anaandika anayoambiwa na mabwana zake, vipi yale yote aliyoyaandika miaka aliyokuwa chini ya Mbowe au gazeti la Mbowe unataka tuyaamini?

Nikisoma mijadala mingine ya siasa, kweli inaonekana wanasiasa wetu wengi ni wachanga mno labda sawa na nchi yetu yenyewe. Siasa nayo ni somo kama physics na mengine. Lazima mtu ukae chini na kuielewa, vinginevyo unaweza kujikuta unajifunga magoli mwenyewe.

Kuna wanasiasa wengi sana wa TZ pamoja na wapambe wao, wanafikiri wanajua siasa kumbe hakuna kitu. Matokeo yake wanajifunga na kamba kila siku na kuwaacha CCM kuja wamalizia wakiwa hoi. Ndio maana CCM itaendelea kuongoza, sio kwasababu CCM wanafaa, hapana, ni kwasababu hata hao wengine kwa macho ya Watanzania walio wengi ni bomu si ajabu kuliko hata hao CCM wenyewe.

Tunahitaji mabadiliko makubwa sana kwenye vyama vyetu vya siasa. Inabidi vijana waachiwe nafasi ya kujaribu kuvirekebisha hivyo vyama ili viendanae na siasa za karne ya 21.

mzee utaambiwa utoke na usichangie mada, au utaambiwa huyo balile kaka yako au mdogo wako !
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom