KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
HAhahaha mtani wangu Kada Mpizani, hebu tusibitishie hili, mimi ninauhakika unalipwa...
hehee, hapana mzee. bila bila ! hamna lolote !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAhahaha mtani wangu Kada Mpizani, hebu tusibitishie hili, mimi ninauhakika unalipwa...
NK kama una nia njema na Muheshimiwa basi do him a favour kwa kutoleta story kama hizi hapa, you have just added another FAILED MISSION kwenye CV yake machoni mwa wapiga kura, tena mchana kweupeeeee.
Sounds as if unataka niseme kile unachotaka kusikia, katika kutumia uhuru wangu wa kucomment hapa- I believe I can say what I want to say as long as simtukani mtu.This is just another piece of poor decision making ya muheshimiwa, wrong investment!
PM kumbe na wewe unaendekeza hii tabia ? i didnt know.
Kada kama huna cha kuchangia acha mada iweze ku flow lawama zako mwandikie pebeni we are not interested na lawama zako kwa PM please . Balile alichofanywa mtaani naona aibu kusema kwa sasa.Lakini ndiyo yake hii maana alidhani anaweza aka walk free na ushetani wake .This hana tofauti na Yuda .Ila malipo ni hapa hapa. Najua sasa anasoma kila kitu na anashangaa nyeti hizi zinavyo patikana lakini ajue atafikia kukimbia kivuli chake soon .
Binafsi Niliwaheshimu Sana Hawa Jamaa.
Manyerere Nilifanya Kazi Naye Business Times Na Balile Nilisoma Naye Chuo Cha Diplomasia.
Siwezi Kuhahukumu Kwa Hili Kwani Ndio Nalijulia Hapa Ila Lisemwalo Lipo....!!
mzee utaambiwa utoke na usichangie mada, au utaambiwa huyo balile kaka yako au mdogo wako !
Wewe ndio PM?, say what you want, however you want it ! Nitasema what i feel like, at any time. You didnt have to tell me what to do. i do what i have to do. Haupo interested, fine... kaa kimya ! Usitake kuvuruga mada hapa !
ungeanza kuonyesha huo mfano kwa kuniandikia pembeni, lakini kwa kuwa na wewe umefanya kosa unalojaribu kunisahihisha, UMECHEMSHA !
KadaMpinzani,
Mimi siwaogopi CHADEMA kama ambavyo siwaogopi CCM. Shibe ya wanangu hata siku moja haitategemea ukaribu wangu na watu wengine, napata shibe kwa kuchakarika mwenyewe na wala sihitaji kubebwa na mtu.
Ni bora kuwa maskini na huru kuliko kuwa kikaragosi cha wanasiasa.
Kuna mtu ameandika Tanzania Daima hakuna interference ya wanasiasa, naona anaishi Kukuland. Mambo yote yanayoandikwa ya Mbowe, lini hilo gazeti waliwahi kuandika scandals za Mbowe?
Tanzania Daima kwa Mbowe haina tofauti na Nipashe kwa Mengi. Tanzania Daima halimo kwenye magazeti ambayo mimi nitayaita huru kwenye masuala ya kisiasa kwa TZ. Nikitaka kusoma habari za CCM, basi nitasoma Tanzania Daima. Kama ni habari za Mbowe au CHADEMA wala sihangaiki kusoma Tanzania Daima. Nitaenda Mwanahalisi, Kulikoni, Thisday, Mwananchi nk. Tanzania Daima halimo kwenye ubora sawa na magazeti niliyoyataja hapo juu kwa mawazo yangu.
Hawa jamaa wa Mbowe, walikuwa wanamtukuza Balile alipokuwa kwao, sasa ghafla wanaleta viroja. Wanafikiri sisi wananchi ni wajinga? Alipokuwa anatumia unafiki wake kuwachafua wengine, walikuwa wanaona sawa, sasa wembe umegeuka kwao, wanaona chungu, hizo ndio siasa wanazotaka tukubaliane nazo?
Mimi simtaki mtu kama Balile hata kama lengo lake ni kunipamba mimi kwa sifa. Sifa au mazuri ya mtu wala hayahitajwi kupambwa kwenye magazeti ya siasa. Fanya uzuri wowote na endelea mbele, bila kusubiri headlines.
MBOWE UNANUKA KAMA MAFISADI WENGINE,WATAKUPAKA RANGI LAKINI UNANUKA.RUDISHA MABILIONI.WW NI FISADI TOKEA ZAMANI,1990. I TRUSTED U,BUT NOW I DONT !PM kumbe na wewe unaendekeza hii tabia ? i didnt know.
KADA;"MTU NI UTU, NA UTU NI MTU..MTU PASIPO UTU SI MTU!"Huyo jamaa yangu Ballile kama hana utu basi si mtu na anstahili masahibu yote kwani mambo anayoyafanya ni hatari kwa siasa zetu kama kweli we are to go forward and change our country hence prosperity!Balile anajuana mwenyewe zaidi na mbowe wake, na hapa sielewi wapambe "wa mbowe" au "wa balile" inawahusu nini. Kama favors zao, ni wao wenyewe, thats personal between the two selves. HAITUHUSU ! walipokuwa wanafanyiana hizo favors (sijui fulani kampeleka veta kuendesha gari) walikubaliana wenyewe, tena sio kwenye akadamnasi, let the two solve it by themselves like men !
Naona watu wanataka kudivert attention toka huku na kuipeleka kule, suala la Balile na Mbowe (favors zao) halina uhusiano wowote na deni la mbowe ! Msitake kuchanganya madawa !
kijana unajua mimi silipwi, so i have nothing to loose. Kama kibarua kuota nyasi nadhani you hit the wrong target ngedere wee !
Unalipwa mp***i wewe nadhani wanakulipa kwa kila post unayochangia ndio maana unajitahidi kuweka post nyingi hata kama ni utumbo. FISADI MKUBWA
MBOWE UNANUKA KAMA MAFISADI WENGINE,WATAKUPAKA RANGI LAKINI UNANUKA.RUDISHA MABILIONI.WW NI FISADI TOKEA ZAMANI,1990. I TRUSTED U,BUT NOW I DONT !
KADA ACHA UNAFIKI NA MALUWE LUWE YAKO!HII QUOTE YAKO UNADAI ETI YOU TRUSTED WHO?KADA SIASA ZAKO ZINAJULIKANA NA HII QUOTE YAKO INA CONTRADICT MWLEKEO WAKO TUNAOUFAHAMU..THERE WAS NO TIME WHEN YOU CONTRIBUTED HAPA JF AMBAPO UMEONEKANA KUWA UPANDE WA UKWELI USIOFUNGAMANA NA UPANDE WOWOTE NA THERE WAS NO ANYTIME THAT YOU TRUSTED ANYONE WHO SPEAKS AGAINST THE TRUE FISADIS! TO BE SPECIFIC HAUJAWAHI KUWA UPANDE WA WANAOPINGA UFISADI KWA NGUVU ZOTE!BADALA YAKE UMEELEKE KWENYE USHABIKI NA UPOTOSHAJI!HUKU UKIJARIBU KUTUAMINISHA KUWA MAFISADI WA EPA NAO WALICHUKUA PESA ZILE KAMA MIKOPO?!KAMA WALIKOPA THEN MBOWE NAE NI FISADI?!NI WAZI NI TWO ISSUES AMBAZO HAZIWEZI KUWA LINKED AMA COMPARED TO..NI SAWA NA KUFANANISHA KAZI HALALI NA UJAMBAZI BILA AIBU!SHAME ON YOU KADA!
umekuwa hillary clinton ?? hahaaaaaaaaaa....acha nicheke mie ! naona tokea jana watu wameamua KUMTOLEA UVIVU KADA.... hahaaaaaaaaaa ! ebu mpo wangapi vile, 1,2,3,4,5.............22 upto now !
ulidhani watu wanakuogopa. Sasa umeanza kuona moto ili uamini kuwa hapa Jamboforum haogopwi mtu hata akiwa anaitwa kada mpinzani!
waniogope mie nani ? na sidhani kama kuna sehemu yoyote hapa palipoandikwa, MUOGOPENI KADA ! kama ipo nionyeshe !
Nishasema jambo ambalo litasaidia hii forum, na wanaotaka kuibomoa wanaendeleza mambo yao ! Sasa am free ! Bomoeni wana ! Halafu mbona unataka kunifanya mie ni babukubwa mzee ? eti nadhani watu waniogope, nimekuwa nani ? mie ni member tu wa kawaida kama alivyo any other member ! DONT GET IT TWISTED !
hahaaaa, eti haogopwi mtu hata akiitwa kadampinzani, hahaaaaaaa ! Unajigopesha mwenyewe !
Nipo hapa muda tu, and trust me, for the long i have been here, kama huo moto ulishawahi kutokea before (hata hujawa member) then better recognise am used to it ! i still stand still !