Balile can you be trusted baada ya kumzunguka Mbowe ?

NK kama una nia njema na Muheshimiwa basi do him a favour kwa kutoleta story kama hizi hapa, you have just added another FAILED MISSION kwenye CV yake machoni mwa wapiga kura, tena mchana kweupeeeee.

nimemwambia huyo aliyeleta mada kwamba hii itamuharibia jamaa wake (Mbowe) akaniona chizi !
 
Sounds as if unataka niseme kile unachotaka kusikia, katika kutumia uhuru wangu wa kucomment hapa- I believe I can say what I want to say as long as simtukani mtu.This is just another piece of poor decision making ya muheshimiwa, wrong investment!

right on ! kweli kabisa ulichosema !
 
PM kumbe na wewe unaendekeza hii tabia ? i didnt know.

Kada kama huna cha kuchangia acha mada iweze ku flow lawama zako mwandikie pebeni we are not interested na lawama zako kwa PM please . Balile alichofanywa mtaani naona aibu kusema kwa sasa.Lakini ndiyo yake hii maana alidhani anaweza aka walk free na ushetani wake .This hana tofauti na Yuda .Ila malipo ni hapa hapa. Najua sasa anasoma kila kitu na anashangaa nyeti hizi zinavyo patikana lakini ajue atafikia kukimbia kivuli chake soon .
 
Kada kama huna cha kuchangia acha mada iweze ku flow lawama zako mwandikie pebeni we are not interested na lawama zako kwa PM please . Balile alichofanywa mtaani naona aibu kusema kwa sasa.Lakini ndiyo yake hii maana alidhani anaweza aka walk free na ushetani wake .This hana tofauti na Yuda .Ila malipo ni hapa hapa. Najua sasa anasoma kila kitu na anashangaa nyeti hizi zinavyo patikana lakini ajue atafikia kukimbia kivuli chake soon .

Wewe ndio PM?, say what you want, however you want it ! Nitasema what i feel like, at any time. You didnt have to tell me what to do. i do what i have to do. Haupo interested, fine... kaa kimya ! Usitake kuvuruga mada hapa !

ungeanza kuonyesha huo mfano kwa kuniandikia pembeni, lakini kwa kuwa na wewe umefanya kosa unalojaribu kunisahihisha, UMECHEMSHA !
 
Binafsi Niliwaheshimu Sana Hawa Jamaa.

Manyerere Nilifanya Kazi Naye Business Times Na Balile Nilisoma Naye Chuo Cha Diplomasia.

Siwezi Kuhahukumu Kwa Hili Kwani Ndio Nalijulia Hapa Ila Lisemwalo Lipo....!!
 
Binafsi Niliwaheshimu Sana Hawa Jamaa.

Manyerere Nilifanya Kazi Naye Business Times Na Balile Nilisoma Naye Chuo Cha Diplomasia.

Siwezi Kuhahukumu Kwa Hili Kwani Ndio Nalijulia Hapa Ila Lisemwalo Lipo....!!

Basi Balile mwenzio alichukua cheti yaani lile gamba pekee akili na utu akamwachia mwalimu huo akawa hayawani ndiyo maisha yake sasa .
 
mzee utaambiwa utoke na usichangie mada, au utaambiwa huyo balile kaka yako au mdogo wako !

KadaMpinzani,

Mimi siwaogopi CHADEMA kama ambavyo siwaogopi CCM. Shibe ya wanangu hata siku moja haitategemea ukaribu wangu na watu wengine, napata shibe kwa kuchakarika mwenyewe na wala sihitaji kubebwa na mtu.

Ni bora kuwa maskini na huru kuliko kuwa kikaragosi cha wanasiasa.

Kuna mtu ameandika Tanzania Daima hakuna interference ya wanasiasa, naona anaishi Kukuland. Mambo yote yanayoandikwa ya Mbowe, lini hilo gazeti waliwahi kuandika scandals za Mbowe?

Tanzania Daima kwa Mbowe haina tofauti na Nipashe kwa Mengi. Tanzania Daima halimo kwenye magazeti ambayo mimi nitayaita huru kwenye masuala ya kisiasa kwa TZ. Nikitaka kusoma habari za CCM, basi nitasoma Tanzania Daima. Kama ni habari za Mbowe au CHADEMA wala sihangaiki kusoma Tanzania Daima. Nitaenda Mwanahalisi, Kulikoni, Thisday, Mwananchi nk. Tanzania Daima halimo kwenye ubora sawa na magazeti niliyoyataja hapo juu kwa mawazo yangu.

Hawa jamaa wa Mbowe, walikuwa wanamtukuza Balile alipokuwa kwao, sasa ghafla wanaleta viroja. Wanafikiri sisi wananchi ni wajinga? Alipokuwa anatumia unafiki wake kuwachafua wengine, walikuwa wanaona sawa, sasa wembe umegeuka kwao, wanaona chungu, hizo ndio siasa wanazotaka tukubaliane nazo?

Mimi simtaki mtu kama Balile hata kama lengo lake ni kunipamba mimi kwa sifa. Sifa au mazuri ya mtu wala hayahitajwi kupambwa kwenye magazeti ya siasa. Fanya uzuri wowote na endelea mbele, bila kusubiri headlines.
 
Wewe ndio PM?, say what you want, however you want it ! Nitasema what i feel like, at any time. You didnt have to tell me what to do. i do what i have to do. Haupo interested, fine... kaa kimya ! Usitake kuvuruga mada hapa !

ungeanza kuonyesha huo mfano kwa kuniandikia pembeni, lakini kwa kuwa na wewe umefanya kosa unalojaribu kunisahihisha, UMECHEMSHA !

Nimependa kiingereza chako.Kwi kwikwikwikwikwikwi.
 
KadaMpinzani,

Mimi siwaogopi CHADEMA kama ambavyo siwaogopi CCM. Shibe ya wanangu hata siku moja haitategemea ukaribu wangu na watu wengine, napata shibe kwa kuchakarika mwenyewe na wala sihitaji kubebwa na mtu.

Ni bora kuwa maskini na huru kuliko kuwa kikaragosi cha wanasiasa.

Kuna mtu ameandika Tanzania Daima hakuna interference ya wanasiasa, naona anaishi Kukuland. Mambo yote yanayoandikwa ya Mbowe, lini hilo gazeti waliwahi kuandika scandals za Mbowe?

Tanzania Daima kwa Mbowe haina tofauti na Nipashe kwa Mengi. Tanzania Daima halimo kwenye magazeti ambayo mimi nitayaita huru kwenye masuala ya kisiasa kwa TZ. Nikitaka kusoma habari za CCM, basi nitasoma Tanzania Daima. Kama ni habari za Mbowe au CHADEMA wala sihangaiki kusoma Tanzania Daima. Nitaenda Mwanahalisi, Kulikoni, Thisday, Mwananchi nk. Tanzania Daima halimo kwenye ubora sawa na magazeti niliyoyataja hapo juu kwa mawazo yangu.

Hawa jamaa wa Mbowe, walikuwa wanamtukuza Balile alipokuwa kwao, sasa ghafla wanaleta viroja. Wanafikiri sisi wananchi ni wajinga? Alipokuwa anatumia unafiki wake kuwachafua wengine, walikuwa wanaona sawa, sasa wembe umegeuka kwao, wanaona chungu, hizo ndio siasa wanazotaka tukubaliane nazo?

Mimi simtaki mtu kama Balile hata kama lengo lake ni kunipamba mimi kwa sifa. Sifa au mazuri ya mtu wala hayahitajwi kupambwa kwenye magazeti ya siasa. Fanya uzuri wowote na endelea mbele, bila kusubiri headlines.

Mkuu Mtanzania .Unaweza kusema wapi Mbowe ama Tanzania Daima wamewahi kumtukuza Balile ? Balile wakati anaokotwa kwa mujibu wa watoa habari alikuwa nothing na kwa mapenzi makubwa akapewa kazi kubwa ambayo hakuwahi kufikiria.La kumtukuza sijaona ushahidi wake hebu niweke sawa maana isije ikawa mie nakosa hoja ama zinanipita.Tanzania Daima haijasema habari za Balile in details ila naona ni individuals wanakuja na habari hizi .

Skandali la Mbowe ni lipi unalo ongelea maana sijaona skandali angalau kusema ni hili .Ukweli wa NSSF uko wazi kwamba wameleta uhuni na ameshalipa 75m badala ya 15m .Au mie nakosea kuelewa ?
 
Balile anajuana mwenyewe zaidi na mbowe wake, na hapa sielewi wapambe "wa mbowe" au "wa balile" inawahusu nini. Kama favors zao, ni wao wenyewe, thats personal between the two selves. HAITUHUSU ! walipokuwa wanafanyiana hizo favors (sijui fulani kampeleka veta kuendesha gari) walikubaliana wenyewe, tena sio kwenye akadamnasi, let the two solve it by themselves like men !

Naona watu wanataka kudivert attention toka huku na kuipeleka kule, suala la Balile na Mbowe (favors zao) halina uhusiano wowote na deni la mbowe ! Msitake kuchanganya madawa !
 
PM kumbe na wewe unaendekeza hii tabia ? i didnt know.
MBOWE UNANUKA KAMA MAFISADI WENGINE,WATAKUPAKA RANGI LAKINI UNANUKA.RUDISHA MABILIONI.WW NI FISADI TOKEA ZAMANI,1990. I TRUSTED U,BUT NOW I DONT !
KADA ACHA UNAFIKI NA MALUWE LUWE YAKO!HII QUOTE YAKO UNADAI ETI YOU TRUSTED WHO?KADA SIASA ZAKO ZINAJULIKANA NA HII QUOTE YAKO INA CONTRADICT MWLEKEO WAKO TUNAOUFAHAMU..THERE WAS NO TIME WHEN YOU CONTRIBUTED HAPA JF AMBAPO UMEONEKANA KUWA UPANDE WA UKWELI USIOFUNGAMANA NA UPANDE WOWOTE NA THERE WAS NO ANYTIME THAT YOU TRUSTED ANYONE WHO SPEAKS AGAINST THE TRUE FISADIS! TO BE SPECIFIC HAUJAWAHI KUWA UPANDE WA WANAOPINGA UFISADI KWA NGUVU ZOTE!BADALA YAKE UMEELEKE KWENYE USHABIKI NA UPOTOSHAJI!HUKU UKIJARIBU KUTUAMINISHA KUWA MAFISADI WA EPA NAO WALICHUKUA PESA ZILE KAMA MIKOPO?!KAMA WALIKOPA THEN MBOWE NAE NI FISADI?!NI WAZI NI TWO ISSUES AMBAZO HAZIWEZI KUWA LINKED AMA COMPARED TO..NI SAWA NA KUFANANISHA KAZI HALALI NA UJAMBAZI BILA AIBU!SHAME ON YOU KADA!
 
Balile anajuana mwenyewe zaidi na mbowe wake, na hapa sielewi wapambe "wa mbowe" au "wa balile" inawahusu nini. Kama favors zao, ni wao wenyewe, thats personal between the two selves. HAITUHUSU ! walipokuwa wanafanyiana hizo favors (sijui fulani kampeleka veta kuendesha gari) walikubaliana wenyewe, tena sio kwenye akadamnasi, let the two solve it by themselves like men !

Naona watu wanataka kudivert attention toka huku na kuipeleka kule, suala la Balile na Mbowe (favors zao) halina uhusiano wowote na deni la mbowe ! Msitake kuchanganya madawa !
KADA;"MTU NI UTU, NA UTU NI MTU..MTU PASIPO UTU SI MTU!"Huyo jamaa yangu Ballile kama hana utu basi si mtu na anstahili masahibu yote kwani mambo anayoyafanya ni hatari kwa siasa zetu kama kweli we are to go forward and change our country hence prosperity!
 
kijana unajua mimi silipwi, so i have nothing to loose. Kama kibarua kuota nyasi nadhani you hit the wrong target ngedere wee !

Unalipwa mp***i wewe nadhani wanakulipa kwa kila post unayochangia ndio maana unajitahidi kuweka post nyingi hata kama ni utumbo. FISADI MKUBWA
 
Unalipwa mp***i wewe nadhani wanakulipa kwa kila post unayochangia ndio maana unajitahidi kuweka post nyingi hata kama ni utumbo. FISADI MKUBWA

hahaaaa....nilinuna. naona unanichekesha ! leo nitakesha hapa kama mtaendelea kunichekesha kwa namna hii !
 
MBOWE UNANUKA KAMA MAFISADI WENGINE,WATAKUPAKA RANGI LAKINI UNANUKA.RUDISHA MABILIONI.WW NI FISADI TOKEA ZAMANI,1990. I TRUSTED U,BUT NOW I DONT !
KADA ACHA UNAFIKI NA MALUWE LUWE YAKO!HII QUOTE YAKO UNADAI ETI YOU TRUSTED WHO?KADA SIASA ZAKO ZINAJULIKANA NA HII QUOTE YAKO INA CONTRADICT MWLEKEO WAKO TUNAOUFAHAMU..THERE WAS NO TIME WHEN YOU CONTRIBUTED HAPA JF AMBAPO UMEONEKANA KUWA UPANDE WA UKWELI USIOFUNGAMANA NA UPANDE WOWOTE NA THERE WAS NO ANYTIME THAT YOU TRUSTED ANYONE WHO SPEAKS AGAINST THE TRUE FISADIS! TO BE SPECIFIC HAUJAWAHI KUWA UPANDE WA WANAOPINGA UFISADI KWA NGUVU ZOTE!BADALA YAKE UMEELEKE KWENYE USHABIKI NA UPOTOSHAJI!HUKU UKIJARIBU KUTUAMINISHA KUWA MAFISADI WA EPA NAO WALICHUKUA PESA ZILE KAMA MIKOPO?!KAMA WALIKOPA THEN MBOWE NAE NI FISADI?!NI WAZI NI TWO ISSUES AMBAZO HAZIWEZI KUWA LINKED AMA COMPARED TO..NI SAWA NA KUFANANISHA KAZI HALALI NA UJAMBAZI BILA AIBU!SHAME ON YOU KADA!


umekuwa hillary clinton ?? hahaaaaaaaaaa....acha nicheke mie ! naona tokea jana watu wameamua KUMTOLEA UVIVU KADA.... hahaaaaaaaaaa ! ebu mpo wangapi vile, 1,2,3,4,5.............22 upto now !
 
Hii mada ilikuwa ni kuhusu balile na mbowe na sasa naona imegeuka kuwa Kadampinzani Vs. Mbowe ! Jamani mie sio balile, mbowe hakunifanyia favors zozote !

Kama tuna migongano kimawazo, hilo ni jambo la kueleweka na sio kutumia lugha isiyofaa, maana chukulia mfano wewe unatumia lugha mbovu, mwingine tena nae afanye hivyo hivyo, mimi pia nitumie lugha mbovu, jamani atakataa mtu kweli kwenye hii forum ????

Mnaweza mkawa mnasema mumkomoe kada, lakini vile vile mkawa mnaharibu forum, sasa angalieni tena kabla forum haijapoteza hadhi yake na hiyo mitusi baadhi yenu mnayomwaga ! Na msisema nani anaongea lugha mbovu, maana mnajielewa wenyewe ! Nasema lugha mbovu haifai kwa manufaa ya forum, lakini kama mna matusi au lugha zenu mbovu, nitumieni kwenye PM na sio hapa sehemu ya wazi ! I REALLY CAN (NAWEZA) TAKE SH*T FROM ANYONE, SO FEEL FREE TO PM ME ili msiharibu hii forum !
 
umekuwa hillary clinton ?? hahaaaaaaaaaa....acha nicheke mie ! naona tokea jana watu wameamua KUMTOLEA UVIVU KADA.... hahaaaaaaaaaa ! ebu mpo wangapi vile, 1,2,3,4,5.............22 upto now !

ulidhani watu wanakuogopa. Sasa umeanza kuona moto ili uamini kuwa hapa Jamboforum haogopwi mtu hata akiwa anaitwa kada mpinzani!
 
ulidhani watu wanakuogopa. Sasa umeanza kuona moto ili uamini kuwa hapa Jamboforum haogopwi mtu hata akiwa anaitwa kada mpinzani!

waniogope mie nani ? na sidhani kama kuna sehemu yoyote hapa palipoandikwa, MUOGOPENI KADA ! kama ipo nionyeshe !

Nishasema jambo ambalo litasaidia hii forum, na wanaotaka kuibomoa wanaendeleza mambo yao ! Sasa am free ! Bomoeni wana ! Halafu mbona unataka kunifanya mie ni babukubwa mzee ? eti nadhani watu waniogope, nimekuwa nani ? mie ni member tu wa kawaida kama alivyo any other member ! DONT GET IT TWISTED !

hahaaaa, eti haogopwi mtu hata akiitwa kadampinzani, hahaaaaaaa ! Unajigopesha mwenyewe !

Nipo hapa muda tu, and trust me, for the long i have been here, kama huo moto ulishawahi kutokea before (hata hujawa member) then better recognise am used to it ! i still stand still !
 
waniogope mie nani ? na sidhani kama kuna sehemu yoyote hapa palipoandikwa, MUOGOPENI KADA ! kama ipo nionyeshe !

Nishasema jambo ambalo litasaidia hii forum, na wanaotaka kuibomoa wanaendeleza mambo yao ! Sasa am free ! Bomoeni wana ! Halafu mbona unataka kunifanya mie ni babukubwa mzee ? eti nadhani watu waniogope, nimekuwa nani ? mie ni member tu wa kawaida kama alivyo any other member ! DONT GET IT TWISTED !

hahaaaa, eti haogopwi mtu hata akiitwa kadampinzani, hahaaaaaaa ! Unajigopesha mwenyewe !

Nipo hapa muda tu, and trust me, for the long i have been here, kama huo moto ulishawahi kutokea before (hata hujawa member) then better recognise am used to it ! i still stand still !

Folks please do not entertain this guy na mambo yake anapoteza mwlekeo wa mada kila mahali .Naomba turudi kumjua Balile ni mtu wa aina gani na madhara yake kwa jamii .
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom