Balile can you be trusted baada ya kumzunguka Mbowe ?

Wakuu ni waandishi wengi sana walioandika this kind of articles na hapa JF tuwakatalia kata kata, SHY akiwa mmojawapo, na tuli-deal na context za article kwanza, as opposed na mwandishi,

Now this article inahusiana nini na Balile kumzunguka Mbowe? Maana kama ni taifa Lowassa alishatoka, sasa hiii article haiwezi kumsaidia anything na hapa JF tulishazikaataa this kind of articles na ndio maana hazijaja tena hapa.

Wakuu,
Nimeisoma ile makala ya mwisho Balille aliyoiandika kuaga Tanzania Daima, nimebaini yafuatayo.

1. Balile aliondoka Tanzania Daima baada ya kuafikiana na mwajiri wake, hivyo hakumzunguka au hakuchoropoka kuelekea huko aliko, hivyo hoja ya kuwa alimgeuka Mbowe kwa kuondoka Tanzania Daima ni dhaifu, labda kama kuna jingine.

2. Balile "hakuokotwa" na Mbowe na kuja kupewa uhariri mkuu kama walivyodai baadhi ya wachangiaji; alikuwa na mawasiliano na Mbowe na pia alimpa ushauri wa kitaalamu katika uanzishwaji wa gazeti hilo. Au labda amedanganya kwenye makala hiyo?

Sasa naomba kuuliza huu usaliti wake na hii habari inayomhusu yeye na Mengi na Rostam na Karamagi mbona siielewi maana yake? Nini kinachoendelea hapa?

Halafu hii habari ya kurekodiana kisirisiri, je ni sawa kisheria ikiwa unayem-rekodi hajui unafanya hivyo au bila ridhaa yake? Ikiwa madai yake aliyoyatoa hapo ni kweli sasa si usalama wake utazidi kuwa mdogo? Kama kuna kitu sielewi hebu niwekeni sawa wakulu!

Kiukweli jamani naungana na mimi kuuliza ni nini hasa tunapaswa kujadili hapa?

Kuikweli nilikuwa mpenzi wa Tanzania Daima kwani nilipenda kusoma upande wa pili wa shilingi na Tanzania Daima lilikuwa linatoa habari ambazo haziibebi serikali kwa upande wowote.

Huyu mtu aliamua kuacha kazi kwa makubaliano na Muajiri wake sasa tatizo hapo liko wapi? any way inaweza kuwa na tofauti kimtazamo lakini nafikiri "...MASUALA YA KAZI SI NDOA YA KIKRISTO AMBAYO INASEMA ALICHOKIUNGANISHA MUNGU BINADAMU ASIKITENGANISHE..."

Kuendelea kumjadili Balile ni kumjenga pasi na sababu!!
Balile msaliti kuondoka Tanzania Daima?
Waandishi ni kama wacheza mpira lilianzishwa Mwananchi walichukua kila mtu toka Majira hadi wapika chai akiwemo Balile leo uliza ni wangapi wamebaki huko mwananchi?

Kalamu ni silaha ukiitumia vizuri au vibaya unaweza kujenga au kubomoa.
 
Kiukweli jamani naungana na mimi kuuliza ni nini hasa tunapaswa kujadili hapa?

Kuikweli nilikuwa mpenzi wa Tanzania Daima kwani nilipenda kusoma upande wa pili wa shilingi na Tanzania Daima lilikuwa linatoa habari ambazo haziibebi serikali kwa upande wowote.

Huyu mtu aliamua kuacha kazi kwa makubaliano na Muajiri wake sasa tatizo hapo liko wapi? any way inaweza kuwa na tofauti kimtazamo lakini nafikiri "...MASUALA YA KAZI SI NDOA YA KIKRISTO AMBAYO INASEMA ALICHOKIUNGANISHA MUNGU BINADAMU ASIKITENGANISHE..."

Kuendelea kumjadili Balile ni kumjenga pasi na sababu!!
Balile msaliti kuondoka Tanzania Daima?
Waandishi ni kama wacheza mpira lilianzishwa Mwananchi walichukua kila mtu toka Majira hadi wapika chai akiwemo Balile leo uliza ni wangapi wamebaki huko mwananchi?

Kalamu ni silaha ukiitumia vizuri au vibaya unaweza kujenga au kubomoa.

Issue si Balile kuondoka TZ Daima .Rudia tena soma bandiko la mwanzo la mleta mada .Ni tabia ua ugeugeu na hata kutumia vibaya uaminifu wake akiwa Mhariri mkuu alitumia gaeti za Mbowe kummaliza mwenyewe kama nime elewa vyema .Pia kuna issue ya mtu kuokotwa .Balile aseme alikuwa anafanya kazi na kama aliacha huko .Alifukuzwa kazi kwa kukataa kukubali kuacha kwenda safari na Lowasa iko katika rekodi hii iko wazi kule Mwananchi na si zaidi ya hapo .Kwa kujuana na Mbowe kumuona ona ndiyo akasema njoo nina nia ya kuanza kitu .

Hapa it is all about trust na wala kwa maoni yangu hajengwi mtu hapa wala kubomolewa ila wanauliza kwa tabia za Balile za kuwa mla pesa na kuandika yale wayatakayo wanao mtuma can he be trusted? Kuacha kazi TZ Daima hili liko wazi .Ilibidi Mbowe amwachie kwa kuwa alikuwa kesha kula pesa za Rostam hadi UK na alipewa ruhusa no dispute about that .
 
Sasa jamani kama alishaanza kummaliza Mbowe wakati akiwa bado ni mauajiriwa wa Mbowe ni vipi akaachiwa au alimuandika vibaya mara moja tuu?
Nakumbuka Tedy Tuner alisema hata kama kuna ambalo linajulikana kuhusu yeye na linafaa kuwa News basi litumike!!!
Siko upande wowote ila najaribu kuipima hoja na kuitenganisha na utashi wa kisiasa zaidi.

Je alimuua Mbowe kwa hoja gani? hoja ya kweli ama ya uongo? je hiyo hoja haiwezi kuukanushwa kwa hoja ya ukweli ili naye aonekane ni Muongo?
 
Nakubaliana na ushahidi wote uliotolewa wa hoja zinazohoji usaliti wa Balile ni nini? Kama kuna kitu nyuma ya kile kilichoko hadharani basi Balile na Mbowe wanajua zaidi kuliko mtu mwingine yoyote na ni makosa makubwa wengine kuamua kuwa fulani kamsaliti fulani.

Hata hivyo nadhani, mjadala wa Balile ulikuwa uhusu role nzima ya waandishi wa habari na hasa kama ni kweli alitumiwa na wanasiasa kuwasafisha kwa kutumia kalamu yake akifanya hivyo kwa ahadi ya fedha au fadhila fulani na hivyo kwa kutumia elimu yake kuanza kuutengeneza Ukweli.

Nadhani kama ni usaliti basi usaliti wake (kama upo) ni dhidi ya ukweli na weledi yake. Sasa kama hilo ni kweli basi Balile anazungumzika in large context ya waandishi wa habari na jinsi gani wako influenced kwa fedha au fadhila na watu mbalimbali kuwaandika vizuri au kuwaandika vibaya.

Sasa, kama Balile alipokuwa TD hakuweza kumuandika vibaya Mbowe lakini alipoenda kule Habari ndiko ameanza kuandika mambo ya Mbowe kwa namna ya kupindisha ukweli ili kuwafurahisha waajiri wake wa sasa.

Hivyo basi utaona kuwa usaliti wake ambao unadaiwa hauhusiana na ajira yake (kwamba amehama kumoja ameenda kwingine kwani hiyo ni haki yake hata kama angeamua kuondoka bila kuaga!).

Kama taarifa ya "Mbowe aifilisi NSSF" iliandikwa na Balile na mada nyingine ni kama hivyo, na kama kilichonaswa kwa sauti yake yeye mwenyewe akiapa kuwachafua watu kadhaa serikali na nje (na ushahidi yeye mwenyewe akaoneshwa mbele ya mabosi wake) basi usaliti wake nadhani unauma zaidi na unalingana na ule usaliti wa Yuda.

Ndio maana yule Mwanamikakati wa chama cha Demokrat James Carville amesema Gav. Richardson kumuunga mkono Obama ni sawa na usaliti wa Yuda na amesimamia maneno yake akimaanisha kuwa ni jambo moja kutofautiana kimtazamo, lakini ni jambo jingine kujaribu kumuangamiza aliyekuwa rafiki yako kwa "vipande thelathini" vya fedha.

Kimsingi, kama ni kweli Balile anatumia jukwaa alilonalo sasa kuangamiza watu kisiasa kwa habari za uongo kama ile iliyokataliwa wiki iliyopita, basi siyo tu kwamba yeye ni mtu hatari lakini pia hawezi kuaminika kwa sababu huwezi kujua kesho akiondoka habari na kwenda kwa Shigongo atasema nini juu ya kina Rostam na Karamagi.
 
Nakubaliana na ushahidi wote uliotolewa wa hoja zinazohoji usaliti wa Balile ni nini? Kama kuna kitu nyuma ya kile kilichoko hadharani basi Balile na Mbowe wanajua zaidi kuliko mtu mwingine yoyote na ni makosa makubwa wengine kuamua kuwa fulani kamsaliti fulani.

Hata hivyo nadhani, mjadala wa Balile ulikuwa uhusu role nzima ya waandishi wa habari na hasa kama ni kweli alitumiwa na wanasiasa kuwasafisha kwa kutumia kalamu yake akifanya hivyo kwa ahadi ya fedha au fadhila fulani na hivyo kwa kutumia elimu yake kuanza kuutengeneza Ukweli.

Nadhani kama ni usaliti basi usaliti wake (kama upo) ni dhidi ya ukweli na weledi yake. Sasa kama hilo ni kweli basi Balile anazungumzika in large context ya waandishi wa habari na jinsi gani wako influenced kwa fedha au fadhila na watu mbalimbali kuwaandika vizuri au kuwaandika vibaya.

Sasa, kama Balile alipokuwa TD hakuweza kumuandika vibaya Mbowe lakini alipoenda kule Habari ndiko ameanza kuandika mambo ya Mbowe kwa namna ya kupindisha ukweli ili kuwafurahisha waajiri wake wa sasa.

Hivyo basi utaona kuwa usaliti wake ambao unadaiwa hauhusiana na ajira yake (kwamba amehama kumoja ameenda kwingine kwani hiyo ni haki yake hata kama angeamua kuondoka bila kuaga!).

Kama taarifa ya "Mbowe aifilisi NSSF" iliandikwa na Balile na mada nyingine ni kama hivyo, na kama kilichonaswa kwa sauti yake yeye mwenyewe akiapa kuwachafua watu kadhaa serikali na nje (na ushahidi yeye mwenyewe akaoneshwa mbele ya mabosi wake) basi usaliti wake nadhani unauma zaidi na unalingana na ule usaliti wa Yuda.

Ndio maana yule Mwanamikakati wa chama cha Demokrat James Carville amesema Gav. Richardson kumuunga mkono Obama ni sawa na usaliti wa Yuda na amesimamia maneno yake akimaanisha kuwa ni jambo moja kutofautiana kimtazamo, lakini ni jambo jingine kujaribu kumuangamiza aliyekuwa rafiki yako kwa "vipande thelathini" vya fedha.

Kimsingi, kama ni kweli Balile anatumia jukwaa alilonalo sasa kuangamiza watu kisiasa kwa habari za uongo kama ile iliyokataliwa wiki iliyopita, basi siyo tu kwamba yeye ni mtu hatari lakini pia hawezi kuaminika kwa sababu huwezi kujua kesho akiondoka habari na kwenda kwa Shigongo atasema nini juu ya kina Rostam na Karamagi.


Na haya ndiyo wengi hawakutaka kuelewa ama waliyelewa ila hawakutaka kuyakubali na sasa umeweka sawa zaidi nadhani sasa tuta dwell kwenye hoja .
 
Nakubaliana na ushahidi wote uliotolewa wa hoja zinazohoji usaliti wa Balile ni nini? Kama kuna kitu nyuma ya kile kilichoko hadharani basi Balile na Mbowe wanajua zaidi kuliko mtu mwingine yoyote na ni makosa makubwa wengine kuamua kuwa fulani kamsaliti fulani.

Hata hivyo nadhani, mjadala wa Balile ulikuwa uhusu role nzima ya waandishi wa habari na hasa kama ni kweli alitumiwa na wanasiasa kuwasafisha kwa kutumia kalamu yake akifanya hivyo kwa ahadi ya fedha au fadhila fulani na hivyo kwa kutumia elimu yake kuanza kuutengeneza Ukweli.

Nadhani kama ni usaliti basi usaliti wake (kama upo) ni dhidi ya ukweli na weledi yake. Sasa kama hilo ni kweli basi Balile anazungumzika in large context ya waandishi wa habari na jinsi gani wako influenced kwa fedha au fadhila na watu mbalimbali kuwaandika vizuri au kuwaandika vibaya.

Sasa, kama Balile alipokuwa TD hakuweza kumuandika vibaya Mbowe lakini alipoenda kule Habari ndiko ameanza kuandika mambo ya Mbowe kwa namna ya kupindisha ukweli ili kuwafurahisha waajiri wake wa sasa.

Hivyo basi utaona kuwa usaliti wake ambao unadaiwa hauhusiana na ajira yake (kwamba amehama kumoja ameenda kwingine kwani hiyo ni haki yake hata kama angeamua kuondoka bila kuaga!).

Kama taarifa ya "Mbowe aifilisi NSSF" iliandikwa na Balile na mada nyingine ni kama hivyo, na kama kilichonaswa kwa sauti yake yeye mwenyewe akiapa kuwachafua watu kadhaa serikali na nje (na ushahidi yeye mwenyewe akaoneshwa mbele ya mabosi wake) basi usaliti wake nadhani unauma zaidi na unalingana na ule usaliti wa Yuda.

Ndio maana yule Mwanamikakati wa chama cha Demokrat James Carville amesema Gav. Richardson kumuunga mkono Obama ni sawa na usaliti wa Yuda na amesimamia maneno yake akimaanisha kuwa ni jambo moja kutofautiana kimtazamo, lakini ni jambo jingine kujaribu kumuangamiza aliyekuwa rafiki yako kwa "vipande thelathini" vya fedha.

Kimsingi, kama ni kweli Balile anatumia jukwaa alilonalo sasa kuangamiza watu kisiasa kwa habari za uongo kama ile iliyokataliwa wiki iliyopita, basi siyo tu kwamba yeye ni mtu hatari lakini pia hawezi kuaminika kwa sababu huwezi kujua kesho akiondoka habari na kwenda kwa Shigongo atasema nini juu ya kina Rostam na Karamagi.
Nakubaliana na mtizamo wako kwenye issue isipokuwa kuhusu hili la Bill Richardson na comparison ya Yuda Iskariote.Ni wazi kuwa Richardson bado anatambua kuwa uwezekano wa Clinton kushinda bado upo!Hivyo basi kuondoa uwezekano wa yeye kufuatilia vipande thelathini vya fedha.It would've made sense more if Sen.Obama actually had confirmed his nomination.Alikiri wazi kuguswa na hotuba ya Obama kuhusu race na haki za minorities..huku akiwa na strong coalition of whites,blacks,hispanics and Asians..na yeye kama one of the minorities aliguswa na message na kuwaeleza waspanish kwa kispanish kuwa "This is the man who will respect you!"
 
Nakubaliana na ushahidi wote uliotolewa wa hoja zinazohoji usaliti wa Balile ni nini? Kama kuna kitu nyuma ya kile kilichoko hadharani basi Balile na Mbowe wanajua zaidi kuliko mtu mwingine yoyote na ni makosa makubwa wengine kuamua kuwa fulani kamsaliti fulani.

Hata hivyo nadhani, mjadala wa Balile ulikuwa uhusu role nzima ya waandishi wa habari na hasa kama ni kweli alitumiwa na wanasiasa kuwasafisha kwa kutumia kalamu yake akifanya hivyo kwa ahadi ya fedha au fadhila fulani na hivyo kwa kutumia elimu yake kuanza kuutengeneza Ukweli.

Nadhani kama ni usaliti basi usaliti wake (kama upo) ni dhidi ya ukweli na weledi yake. Sasa kama hilo ni kweli basi Balile anazungumzika in large context ya waandishi wa habari na jinsi gani wako influenced kwa fedha au fadhila na watu mbalimbali kuwaandika vizuri au kuwaandika vibaya.

Sasa, kama Balile alipokuwa TD hakuweza kumuandika vibaya Mbowe lakini alipoenda kule Habari ndiko ameanza kuandika mambo ya Mbowe kwa namna ya kupindisha ukweli ili kuwafurahisha waajiri wake wa sasa.

Hivyo basi utaona kuwa usaliti wake ambao unadaiwa hauhusiana na ajira yake (kwamba amehama kumoja ameenda kwingine kwani hiyo ni haki yake hata kama angeamua kuondoka bila kuaga!).

Kama taarifa ya "Mbowe aifilisi NSSF" iliandikwa na Balile na mada nyingine ni kama hivyo, na kama kilichonaswa kwa sauti yake yeye mwenyewe akiapa kuwachafua watu kadhaa serikali na nje (na ushahidi yeye mwenyewe akaoneshwa mbele ya mabosi wake) basi usaliti wake nadhani unauma zaidi na unalingana na ule usaliti wa Yuda.

Ndio maana yule Mwanamikakati wa chama cha Demokrat James Carville amesema Gav. Richardson kumuunga mkono Obama ni sawa na usaliti wa Yuda na amesimamia maneno yake akimaanisha kuwa ni jambo moja kutofautiana kimtazamo, lakini ni jambo jingine kujaribu kumuangamiza aliyekuwa rafiki yako kwa "vipande thelathini" vya fedha.

Kimsingi, kama ni kweli Balile anatumia jukwaa alilonalo sasa kuangamiza watu kisiasa kwa habari za uongo kama ile iliyokataliwa wiki iliyopita, basi siyo tu kwamba yeye ni mtu hatari lakini pia hawezi kuaminika kwa sababu huwezi kujua kesho akiondoka habari na kwenda kwa Shigongo atasema nini juu ya kina Rostam na Karamagi.

Mwanakijiji,

Hivi hapo juu umeandika nini? Yaani nimesoma mara 20 lakini bado sipati hiyo hoja ya usaliti inajengwa vipi.

Naomba walioelewa wanielemishe!
 
Mimi naona hapa tunashindwa kuelewana vizuri humu ndani kwa sababu hii habari inawekwa ki-udaku udaku, huenda wenye data sijui wanaogopa "kumkoma nyani giladi" au hawana uhakika na data zao, maana vitu vinawekwa kiduchu kiduchu mpaka ukurasa wa 10 sasa, usaliti wa Balile haujaonekana wala kudhihirishwa, hisia tu kwa wingi na punje punje za data. Mara sauti imenaswa, Mengi kasema, Karamagi na Rostam walikuwepo?? Halafu kelele za msaliti, msaliti...
Ninachoomba ni hiki: Mwenye kujua kilichojiri au/na mwenye ujasiri wa kusema nini kimetokea wapi, nani alikuwepo na kwanini, atumwagie humu ndani, siyo kufumbia fumbo juu ya fumbo, kumbukeni hapa "we dare talk openly"
 
Mimi naona hapa tunashindwa kuelewana vizuri humu ndani kwa sababu hii habari inawekwa ki-udaku udaku, huenda wenye data sijui wanaogopa "kumkoma nyani giladi" au hawana uhakika na data zao, maana vitu vinawekwa kiduchu kiduchu mpaka ukurasa wa 10 sasa, usaliti wa Balile haujaonekana wala kudhihirishwa, hisia tu kwa wingi na punje punje za data. Mara sauti imenaswa, Mengi kasema, Karamagi na Rostam walikuwepo?? Halafu kelele za msaliti, msaliti...
Ninachoomba ni hiki: Mwenye kujua kilichojiri au/na mwenye ujasiri wa kusema nini kimetokea wapi, nani alikuwepo na kwanini, atumwagie humu ndani, siyo kufumbia fumbo juu ya fumbo, kumbukeni hapa "we dare talk openly"

Kaka heshima mbele kwa kuliweka hili sawa, bado hatujachelewa kuanza kusimamia ustaarabu hapa JF.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom