Balaa la mti huu

Balaa la mti huu

madeinmusoma

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
326
Reaction score
391
Naambiwa mti huu wa mpangazi uzazi ni hatari sana unapokuwa kwenye mazingira ya nyumbani. Kama kuna mwana JamiiForums anafahamu tafadhari atufafanulie.

FB_IMG_1700478856012.jpg
 
Kuna kipindi wakazi wengi wa Dar waliikata na kuingoa sababu eti miti hii inasababisha mikosi!
 
Panda Mharadari
HUo Uache Kwanza Kama Ule Mtini Usizaa Kwenye Biblia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom