Balaa la mti huu

madeinmusoma

JF-Expert Member
Jan 7, 2014
322
386
Naambiwa mti huu wa mpangazi uzazi ni hatari sana unapokuwa kwenye mazingira ya nyumbani. Kama kuna mwana JamiiForums anafahamu tafadhari atufafanulie.

FB_IMG_1700478856012.jpg
 
Kuna kipindi wakazi wengi wa Dar waliikata na kuingoa sababu eti miti hii inasababisha mikosi!
 
Panda Mharadari
HUo Uache Kwanza Kama Ule Mtini Usizaa Kwenye Biblia
 
Back
Top Bottom