Hili ndilo jambo pekee lililobaki; na wao CCM wanataka hivyo wakifikiri hiyo dola itakuwa kwao milele.Katiba ni vigumu kuiondoa CCM madarakani kwa njia za kistaarabu.
Jambo la kushangaza ni kuwa hawa majambazi wanaitaka sana hali hiyo ya kuwasukuma kwa nguvu; kuwa ndiyo itakayozidi kuwaimarisha kuendelea kukaa madarakani kwa mabavu.