mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,040
Kama ni rahisi na wewe Fanya!Acha upuuzi hata kibwetere alikuwa na wafuasi tena watiifu.
Kama ni rahisi na wewe Fanya!Acha upuuzi hata kibwetere alikuwa na wafuasi tena watiifu.
Watakuwa wameshinikizwa na BashiteNyie BAKWATA vepee? Hii barua mbona haina kichwa cha habari?
ExactlyGSM wamewatisha kuwapokonya ule msikiti imebidi tu waje kuwakana masheikh wao.
utuvu= utulivu
anyway vyovyote vile! sioni kama kulikuwa na umuhimu wa kukanusha!
kama ninavyojua bakwata ni waislamu tu kama wengine
kama wale sio bakwata!Wamekanusha nini? Mbona umekazania kukanusha?
Kuna wasomi wa dini ya kiislam moja wale wazee waliosoma katika level ya kusoma hitma na wale waliosomea vyuo vya asia uarabuni huwa wako tofauti kabisa na wale waliosomea Misri maana wasomi wa Misri wamechimba shule kwa ndani sana ni wasomi haswa wa Elimu ya dini ya Kiislam.Course yao ni miaka sita mfululizo na kama unafeli feli unaweza enda enda mpka miaka kumi siyo mchezo wanaelewa sana.Hawajitambui hawa! Ni aya ipi iliyoandika kwenda kanisani ni dhambi!?
kama wale sio bakwata!
relax kwanza
Ila barua haijasema kama hao masheikh wamefanya dhambi.
c bora yeye msanii anaongea na akili kubwa zinamuelewa wew hata inzi hakusikiliziGwajima msanii tu kama wasanii wengine....
Kama aliweza kuwakusanya Masheikh Uchwara na Wachungaji Uchwara kwenda kumuomba Lowasa achukue fomu ya kugombea Urais kule Dodoma ndani ya CCM ...
Sidhani kama hili lingemshinda..!