Tanzania banna...tatizo sio fund.....hiyo tasisi ni tasisi muhimu sana inatakiwa iwe huru! Zaidi ya teuzi za rais 75% zimeegemea upande wake unafikiri BAKWATA wanaweza tia neno? Kesho rais akijenga makanisa na kutoa kipaumbele kwa upande wake bakwata watatoa neno wakati wamepewa office?Relax tuu hata JK kuna makanisa na Taasis kibao kazipa Fund sana
Jengo la 5 billion sio kweli Kiki hyo anatafuta MakondaHakuna tatizo kuchangia ...tunaishi KWA Upendo wapo waislamu wanachangia kadi ZA makanisa NA wakiristo Miskiti lakini sio mtu mmoja ambaye mshahar wake Milioni 3 kusema ANAJENGA jengo la bilioni 5 ...wale wamasheria aliosema anawalipa mihsahara KWA Kiki wako wangapi...?
Amani,Unaielewa vizuri mahakama ya Kadhi? Unaijua tofauti ya mahakama ya Kadhi na BAKWATA?
Waislam wanajengaje wenyewe wakati siyo chombo chao?hiyo ni jumuia ya CHAMA CHA MAPINDUZI,mbona UVCCM,UWT,TAPA na JUWATA zote zinajengwa na CCM?Maswali muhimu;
1. Makonda anajenga kama muumini, mfadhili au mkuu wa mkoa?
2. Waislamu wanaweza kujenga wenyewe?
Binafsi ndio naelewa kwanini waislam wengi wanailaumu Bakwata kuwa ni Kisemeo cha CCMSi hii nchi haina dini kabisa?
Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?
Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?
Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....
Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?
Hiko kitu ni nini hasa?
Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?
Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?
Nani muathirika wa haya yoote?
Mahakama..na..Ofisi ni sawa?Si mlikuwa mnalilia Mahakama ya Kadhi ianzishwe na Serikali, tofauti iko wapi Serikali ikijenga Ofisi ya BAKWATA?
Taja kwa uchacheRelax tuu hata JK kuna makanisa na Taasis kibao kazipa Fund sana
[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Taasisi ya ccm
Hiyo bajeti ilipitishwa wapi na bunge lipi, no wonder tunataka kujenga airport Chato wakati Huduma za kijamii zimekwama, hadi wanafunzi wa field mnawakopa?? this is shameSi hii nchi haina dini kabisa?
Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?
Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?
Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....
Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?
Hiko kitu ni nini hasa?
Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?
Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?
Nani muathirika wa haya yoote?
Mkuu kinachofanyika hapo ni SIASA...Serikali inajitangulizia Moira...kwaajili yakurubuni Waislam...kwenye Chaguzi uzuri Waislam waliowengi wanaojitambua...hawaungi mkono hiyo Tawi ya cccmWhatever the essence might be kwa hiki kitu alichofanya, Mkoa bado unakabiliwa na changamoto nyingi sana za msingi.
Kwanza ni upuuzi wa karne kuijengea Bakwata jengo la Billion 5 wakati Mkoa hauna dawa za kutosha kwenye hospital zake; WASH services bado ni hohehahe; Waste disposal & sewage systems bado Dar inanuka; barabara nyingi za mitaa ndani ya Dar bado vumbi/mashimo; n.k. Otherwise labda kama hiyo 'support' ameitoa mfukoni kwake on personal basis, ama from individual wahisani under his mobilization.
Africa tutaendelea kuwa bara lenye 'giza' kwa karne nyingi sana walahi.
-Kaveli-
Hata kama nikweli hii ndio Kipaumbele kwa Mkuu wa MKOA? kama alikuwa na uwezo wakupata maPESA yakujenga Ofisi kwanini walikuwa wanasumbua watu kununua Madawati...vipi .kuhusu Vitabu mashuleni....Wenye akili tunajua hii inaitwa NAKUKUNA MGUUNI nami UNIKUNE KWENYE MIKONO...wajinga hawataelewa kilichofanyika...Sikiliza Bakwata watakavyokuwa wakali kutetea Watawala!Mkuu nikufafanulie tu,hiyo pesa haitoki serikalini,Makonda amehamasisha upatikanaji wa hiyo pesa,inatoka kwa akina Mengi hata TEC wamechangia na mufti kasema bi halali kupokea hela ya mchango wa asiekuwa mkristo akasema hata mtume Muhammad (SaW) aliwahi kupokea,
Mkuu nikufafanulie tu,hiyo pesa haitoki serikalini,Makonda amehamasisha upatikanaji wa hiyo pesa,inatoka kwa akina Mengi hata TEC wamechangia na mufti kasema bi halali kupokea hela ya mchango wa asiekuwa mkristo akasema hata mtume Muhammad (SaW) aliwahi kupokea,
kwani hujuwi kama BAkwata ni taasisi ya Serikali ya CCM kwa ajili ya kuwadhibiti waislamuSi hii nchi haina dini kabisa?
Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?
Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?
Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....
Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?
Hiko kitu ni nini hasa?
Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?
Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?
Nani muathirika wa haya yoote?
Wewe ndo jinga kabisa..Nimekufuatilia muda mrefu nikidhani labda utajirekebisha kwa kuwa kujua mantiki ya uliyem-quote,Sikiliza we kiumbe, tatizo lako unaongozwa na elimu ya madrasa kuliko elimu ya kukukomboa kifikra. Matokeo yake unaanika ukilaza wako humu.
Udini wako unasababisha unatokwa povu jingi kukashifu na kukebehi dini za wengine bila sababu za msingi. Eti 'deen ya haki'!!! Hata mtoto wa darasa la saba akikusoma atashangaa ulivyo mtupu kichwani. Uwezo wako wa kufikiri bado ni mdogo sana.
Siku ukianza kujiona wewe ndani ya wengine ndipo utakapokuwa na fikra pevu.