wise samura
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 515
- 297
Bakwata imeundwa Nahao wajuu wa serikali ndio maana waislam wanaoelewa mambo wala hawakubaliani nao
WendiowalewaleMnaoanza majungu nina mashaka na thinking capacity yetu.
Kwahiyo ofisi ya BAKWATA ndio mahakama ya kadhi?Si mlikuwa mnalilia Mahakama ya Kadhi ianzishwe na Serikali, tofauti iko wapi Serikali ikijenga Ofisi ya BAKWATA?
Watazidi kujazwa serekalini kupitia teuzi mbalimbaliWaislamu wanapunguzwa nguvu kidogo kwa lugha nyingine watakuwa wanapewa maagizo na serikali maana kama vile bunge, mahakama, na tahasisi zingine bado sasa wakristo sijui wataongwa nini
Kwanini huo mchango asinunulie madawati anayoomba tumchangie?Makonda kama mwanamchi wa kawaida atasaidia kupatikana kwa kiasi husika kujenga hilo jengo...!
Ninge shangaa kama Bawacha na roho za husda lingewapita hili..
Ndio, inategemea matokeo ya uchaguzi. Inweza kuongoza kwa wingi wa viti lakini viakuwa havitoshi kuunda serikali bila kuungana na vyama vingine.duniani kuna chama tawala ambacho hakiongozi serikali?
Si hii nchi haina dini kabisa?
Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?
Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?
Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....
Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?
Hiko kitu ni nini hasa?
Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?
Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?
Nani muathirika wa haya yoote?
Si hii nchi haina dini kabisa?
Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?
Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?
Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....
Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?
Hiko kitu ni nini hasa?
Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?
Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?
Nani muathirika wa haya yoote?
Hao Bakwata walishatekwa siku nyingi.
Ni lini ulishawahi kusikia wakiikemea serikali zaidi ya kuwasifu na kuwaombea dua?
Kumbuka yule mbunge aliyesema bakwata ni tawi la CCM,hakukosea, ndio maana wenzako wanapewa' viburungutu' vya hela.
Weee..!!?? Hapo ndio umewafikishaaa....Na ubwabwa pia Patience123
Wee mchanganishi wa siasa za udini salaamAmani,
Mahakama ya Kadhi ilikuwapo toka nyakati za ukoloni.
Zilikuja kufungwa mwaka wa 1963 na serikali huru ya
Tanganyika.
BAKWATA ilianzishwa na serikali baada ya ''mgogoro''
wa EAMWS wa mwaka 1968.
Unaweza kuupata mkasa wote hapo chini:
Mohamed Said: BAKWATA SEHEMU YA KWANZA
Hizo ni series unaweza ukajifunza mengi...
Duu, Kiswahili kigumu namna hii?
Makubaliano yanaweza kufikiwa na kumfanya mtu kutoka chama kidogo akaweza hata kuunda serikali. Mfano mzuri yae yaliotokea anzibar. ZPPP chama kidogo kilitoa Waziri mkuu, Moh'd Shamte baada ya kukabiliana na chama kikubwa ZNP
Nakubali kuwa kiswahili ni kigumu. Bado hujaelewa kamaa 1+1=2. NImekutolea mfano ZNP ndio chama kiliokuwa tawala serikali ilikuwa inaongozwa na ZPPPDuu, Kiswahili kigumu namna hii?
Si hii nchi haina dini kabisa?
Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?
Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?
Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....
Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?
Hiko kitu ni nini hasa?
Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?
Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?
Nani muathirika wa haya yoote?