Anaweza kuwa hana upande wowote, sijakataa, ila kitendo cha yeye kuita dini zingine majina ya ajabu katika maandishi yake kunamfanya kuwa mmoja wa wale ambao hawajapevuka.Ndio maana nimekuambia umem-quote kumbe hilujamuelewa....Ungerudia kusoma kwa makini ungegindua wala alikuwa hana upande wowote wa dini...
Jinga kabisa..
Si hii nchi haina dini kabisa?
Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?
Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?
Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....
Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?
Hiko kitu ni nini hasa?
Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?
Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?
Nani muathirika wa haya yoote?
Jifunzeni kutofautisha kati ya rushwa na takrima jamani..
Jee anapokwenda kanisani na brief kama hiyo na akatoa mchango inakuwaje????Si hii nchi haina dini kabisa?
Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?
Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?
Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....
Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?
Hiko kitu ni nini hasa?
Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?
Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?
Nani muathirika wa haya yoote?
BAKWATA ni taasisi ya chama tawala kinachoongoza SerikaliSi hii nchi haina dini kabisa?
Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?
Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?
Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....
Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?
Hiko kitu ni nini hasa?
Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?
Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?
Nani muathirika wa haya yoote?
Mahakama kadhi katengeneze Nchi yako then uanzishe sio hapa Tanzania..Sisi tunataka MAHAKAMA UA KADHI. Ghorofa hatutakiiiiiiiiiiiiii
Mkuu bakwata ni taasisi ya serikali mbona inaeleweka tangu siku nyingi,ila kwa sasa ndio wameamua kuweka wazi kabisaaSi hii nchi haina dini kabisa?
Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?
Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?
Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....
Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?
Hiko kitu ni nini hasa?
Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?
Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?
Nani muathirika wa haya yoote?
Hata Mimi natoa mahaba yangu kwa bakwata kuanzia leoAcha ajenge, after all most moselems huwa hawana uswahiba na hiyo
Mkuu mimi sio midini, ndio maana nikiona mtu, kundi au jamii fulani wanajiona wao ni bora kuliko wengine, hawaheshimu na kuthamini wenzao, hawapendi wenzao, wanaita wenzao majina ya ajabu, hawatoi fursa sawa kwa wote n.k kwa sababu tu ya tofauti ya kidini huwa naona ni udumavu wa fikra.Kwa namna ulivomalizia na wewe ni mdini namba moja, eti raisi "mdini", kweli???
Hawa bajeti yao huenda ikawa ni 2 B lakini haiwezi patikana,na hapo mkulu anawahiza watu wafyatue watoto wa kutoshaView attachment 382553 View attachment 382554 View attachment 382555 View attachment 382556
Tanzania zaidi ya uijuavyo
nasikia na mashoga nayo yanaendaga huko huko kujitangaza.siku hizi naona clouds ndo imekua ya taifa kila kiongozi anaitumia sijui kwann
Misikiti aliyojenga lowassa ni mali ya lowassa au ya Chadema? Au nayo ni matawi ya Chadema?Hiyo barabara itakuwa mali ya kanisa au mali ya watz wote?? Na vipi kuhusu hilo jengo la Bakwata unadhani litakuwa mali ya watz wote au ya waislam watiifu kwa bakwata.
Kujenga barabara ni jukum la serikali mkuu.
Mfano angeahidi kuwapelekea maji umeme nk isingekuwa ishu ila kuwajengea hiyo inadhihirisha yale malalamiko ya siku nyingi waislam kwamba Bakwata ni tawi la sisiem kwa maslahi ya sisiem
yaani aibu sana mkuunasikia na mashoga nayo yanaendaga huko huko kujitangaza.
chama tawala kinachoongoza Serikali