BAKWATA ni taasisi ya Serikali?

BAKWATA ni taasisi ya Serikali?

Mwenye picha ya ofisi za bakwata za sasa na officially ofisi ya Mufti kwa sasa aiweke tunaweza kupata jibu kwa nn wanajengewa.
 
Wasomaji wa ilani ya ccm wangejibu hili huwenda ipo kwenye ilani ya ccm, kwa kuwa makamba alidai kila kinachofanywa na magufuli kipo kwenye Ilana.
 
Ndio maana nimekuambia umem-quote kumbe hilujamuelewa....Ungerudia kusoma kwa makini ungegindua wala alikuwa hana upande wowote wa dini...

Jinga kabisa..
Anaweza kuwa hana upande wowote, sijakataa, ila kitendo cha yeye kuita dini zingine majina ya ajabu katika maandishi yake kunamfanya kuwa mmoja wa wale ambao hawajapevuka.

Ana hoja nzuri na anaeleweka, lakini alishindwaje kufikisha hoja zake bila kuita wengine 'makafiri' na 'wapagani' ?? na kuita dini nyingine kuwa ni 'deen ya haki'??

Walimu wana kazi sana kuelewesha 'slow learners' kama wewe.
 
Si hii nchi haina dini kabisa?

Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?

Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?

Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....

Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?

Hiko kitu ni nini hasa?

Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?

Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?

Nani muathirika wa haya yoote?

Haya mambo hayajaanza leo. Ndio maana kuna baadhi ya waislamu hawaridhishwi na BAKWATA, wanakiona ni kama chombo cha serikali. Na hasa kipindi hiki ambacho wapinzani wanaonekana kuwa na nguvu tutaiona hiyo "misaada" kwa wingi zaidi.
 
Mimi kwanza ningehoji hii tabia ya viongozi wetu kuchangia au kusaidia mamilioni au bilioni za shilingi pasipo kusema wamezitoa wapi? Sijapata kusikia rais wa nchi zilizoendelea akichangia jambo kwa kiasi zaidi ya mshahara wake!

Hili la Bakwata kwa kweli halijakaa sawa maana LINAACHA MASWALI MENGI na linagawa waislam kwa waislam na wakristo kwa waislam. Tunarudi pale pale, kiongozi ni nani na mtu binafsi ni nani? Makonda kama kiongozi wa serikali isiyo na dini anashiriki vipi ujenzi wa jengo la taasisi ya kidini? Waislam kwa muda mwingi wamekuwa na mtazamo tofauti juu ya Bakwata, je ujenzi wake unahaashiria nini kwenye mahusiano yao wao kwa wao na mahusiano ya baadhi yao kwa serikali? Waislam wasio na imani na Bakwata wananufaikaje na ujenzi wa jengo hili?

Je wakristo ambao wapo katika madhehebu mengi tofauti wakidai ujenzi wa kitu chochote watapata ushirikiano na serikali? Wapagani? Wahindi au wahindu? Je kwa hili la Bakwata hivi ni kweli serikali haina dini?

Ngumu kwa wananchi wakawaida kujuwa ni nani anajenga jengo hili na ushiriki wa Makonda kama serikali unaanza wapi na unaishia wapi?
 
Rejea mkataba kati ya serikali na umoja wa makanisa. Serikali hutoa ruzuku na mishahara kwenye taasisi za makanisa. Serikali ilitaifisha shule wakawarejeshea madhehebu ya kikistu huku zile za waarabu hazikurejeshwa kwa waislam. Acha tu nchii itafika mda tutafahamiana tu.
 
Si hii nchi haina dini kabisa?

Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?

Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?

Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....

Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?

Hiko kitu ni nini hasa?

Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?

Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?

Nani muathirika wa haya yoote?
Jee anapokwenda kanisani na brief kama hiyo na akatoa mchango inakuwaje????
 
Si hii nchi haina dini kabisa?

Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?

Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?

Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....

Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?

Hiko kitu ni nini hasa?

Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?

Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?

Nani muathirika wa haya yoote?
BAKWATA ni taasisi ya chama tawala kinachoongoza Serikali
 
Bakwata, Tec na CCT ni taasisi zenye msingi wa kiserikali na hii ilifanywa kwa NIA njema kabisa na hata TAG ina msingi huohuo.Zenyewe hazipewi ruzuku kama vyama vya siasa lakini inkind vinabenefit kupitia misamaha ya kodi.Ndio maana tuna Amani hata sasa fikiria kama hao wote wangeachwa kama siye mitume na manabii sijui kama pangetosha,so Makonda kuwafadhili Bakwata kama ana uwezo HUO halitakuwa jambo JIPYA
 
upload_2016-8-16_12-30-37.jpeg
upload_2016-8-16_12-30-55.jpeg
upload_2016-8-16_12-31-15.jpeg
upload_2016-8-16_12-31-25.jpeg


Tanzania zaidi ya uijuavyo
 
Si hii nchi haina dini kabisa?

Na vyombo vya dini vinatakiwa kuwa huru kabisa?

Sasa Rais anakwenda kwenye baraza la Iddi anatoa briefcase yenye pesa taslimu...why? kuna nini?

Sasa mkuu wa mkoa anakuja na mradi wa kujenga makao makuu ya BAKWATA.Mradi wa bilioni 5.....

Je, haya yote yanafanyika kwa mapenzi mema au kuna kitu?

Hiko kitu ni nini hasa?

Serikali inajaribu ku achieve nini kwa 'kuisaidia huku' BAKWATA?

Uhuru wa BAKWATA kuikosoa na kuikemea serikali kama zilivyo taasisi zingine za dini ndo 'umeshakwenda'?

Nani muathirika wa haya yoote?
Mkuu bakwata ni taasisi ya serikali mbona inaeleweka tangu siku nyingi,ila kwa sasa ndio wameamua kuweka wazi kabisaa
 
Kwa namna ulivomalizia na wewe ni mdini namba moja, eti raisi "mdini", kweli???
Mkuu mimi sio midini, ndio maana nikiona mtu, kundi au jamii fulani wanajiona wao ni bora kuliko wengine, hawaheshimu na kuthamini wenzao, hawapendi wenzao, wanaita wenzao majina ya ajabu, hawatoi fursa sawa kwa wote n.k kwa sababu tu ya tofauti ya kidini huwa naona ni udumavu wa fikra.
 
Hiyo barabara itakuwa mali ya kanisa au mali ya watz wote?? Na vipi kuhusu hilo jengo la Bakwata unadhani litakuwa mali ya watz wote au ya waislam watiifu kwa bakwata.
Kujenga barabara ni jukum la serikali mkuu.
Mfano angeahidi kuwapelekea maji umeme nk isingekuwa ishu ila kuwajengea hiyo inadhihirisha yale malalamiko ya siku nyingi waislam kwamba Bakwata ni tawi la sisiem kwa maslahi ya sisiem
Misikiti aliyojenga lowassa ni mali ya lowassa au ya Chadema? Au nayo ni matawi ya Chadema?

Unalalamika watu kujengewa msikiti, tatizo pande zote mnawafanya waislamu hamnazo.
 
Back
Top Bottom