BAKWATA naomba mtusaidie hili la matumizi ya speaker swala ya asubuhi

Maleven

JF-Expert Member
Sep 8, 2019
624
2,774
Sasa kwa mfano hapa, wameshatoa azana kisha wameamua kuweka audio ya sheikh anazungumzia mambo ya ndoa ya ndani kabisa, kwa nature ya audio inaonekana kilikua cha wanawake tu tena watu wazima ila hapa imewekwa kwa nguvu kabisa1 asubuhi hii.

Mbona misikiti mingine hawafanyi hivi? Mbona waislam kibao wanasema hakuna mawaidha ya swala ya asuhi?

Sina chuki na dini yoyote lakini kinachofanyika sio haki. Km serikali inahofia kuonekana vipi bas BAKWATA tunaomba mtupe muongozo.
Huku mtaani wanafanya wanachotaka.
 
Kisheria kinachotakiwa ni ile adhana na swala, lakini unakuta mtu anaanza kuongea kuanzia saa 9 au saa 10 usiku na anachokiongea ni kuwatisha tu watu. Hili swala lipo kinyume na uisalamu. Kunadi swala ni kuwakera tu watu na hakuna msingi wowote. Adhana peke yake inatosha na ndio mafundisho
 
Sasa kwa mfano hapa, wameshatoa azana kisha wameamua kuweka audio ya sheikh anazungumzia mambo ya ndoa ya ndani kabisa, kwa nature ya audio inaonekana kilikua cha wanawake tu tena watu wazima ila hapa imewekwa kwa nguvu kabisa1 asubuhi hii.

Mbona misikiti mingine hawafanyi hivi? Mbona waislam kibao wanasema hakuna mawaidha ya swala ya asuhi?

Sina chuki na dini yoyote lakini kinachofanyika sio haki. Km serikali inahofia kuonekana vipi bas BAKWATA tunaomba mtupe muongozo.
Huku mtaani wanafanya wanachotaka.
Nipo na mufti hapa kwake mikocheni
Taja jina la msikitti na mahali ulipo
Nikusaidie mkuu
 
Nipo na mufti hapa kwake mikocheni
Taja jina la msikitti na mahali ulipo
Nikusaidie mkuu
Misikititi yote inayosimamiwa na BAKWATA Tanzania nzima nikero ifikapo alfajiri.
Nikweli kwenye Uislamu adhana tu ndiyo inatakiwa alfajiri baaasi!
Uislamu unatambua alifajiri kuna baadhi ya jamii usingizi wanaupata kwa shida mfano kuna vikongwe, watoto wadogo na wagonjwa hawa hawastaili kupigiwa makelele alfajiri maana wamesamehewa kwenda msikitini pia nawasio waislamu.
Lakini BAKWATA sio waislamu halisi, wameziba pamba masikioni!
MUFTI hebu wape elimu Hawa watu wako imekuwa ni kero uislamu una miongozo yenye hekima ilokuwa timamu ati!!
 
Sasa kwa mfano hapa, wameshatoa azana kisha wameamua kuweka audio ya sheikh anazungumzia mambo ya ndoa ya ndani kabisa, kwa nature ya audio inaonekana kilikua cha wanawake tu tena watu wazima ila hapa imewekwa kwa nguvu kabisa1 asubuhi hii.

Mbona misikiti mingine hawafanyi hivi? Mbona waislam kibao wanasema hakuna mawaidha ya swala ya asuhi?

Sina chuki na dini yoyote lakini kinachofanyika sio haki. Km serikali inahofia kuonekana vipi bas BAKWATA tunaomba mtupe muongozo.
Huku mtaani wanafanya wanachotaka.
Samaleku
 
Back
Top Bottom