Kuna kila dalili kwamba Chama cha mapinduzi CCM kimeamua kutumia BAKWATA mkoani Arusha kupingana na kauli ya maaskofu ya kutomtambua meya wa Arusha. Bakwata wametangaza kumtambua meya na kua tayari kushirikiana nae. Hata hivyo katika kile kinachoashiria Bakwata kutumiwa na CCM, viongozi hao walitoa kauli za kujichanganya huku kiongozi mmojawapo akiunga mkono kauli ya mary chatanda kwamba kumtambua au kotomtambua meya sio kazi ya viongozi wa dini bali ni suala la kisiasa. Lakini wakati sheikh huyo akitamka maneno hayo kiongozi mwingine wa kiislamu aliyekuwpo kwenye kikao hicho alisema wao wanamtambua meya wa Arusha aliyetangazwa na mkurugenzi na kwamba wako tayari kushirikiana naye. Ni wazi tamko hilo limetolewa kwa makusudi ya kuwapinga maaskofu ambao juzi walitoa tamko la kutomtambua meya wa Arusha na kutokua tayari kushirikiana nao. Inakuaje wanasema kumtambua au kotomtambua meya sio kazi ya viongozi wa dini halafu baadae nao wanasema wanamtambua meya wa Arusha na wako tayari kushirikiana nao????? Na je walikua wapi siku zote kutoa tamko la kumtambua meya wa Arusha hadi maaskofu watoe kauli ya kutomtambua meya huyo???
ukitaka kujua hulka ya ndg zangu Waislam ni kujiuliza ni nchi gani ya Kiislam ina demokrasia yaani vyama vingi nina uhakika katika zoote hazizidi nne! na kati ya hizo ni Turkey ambayo kila mtu anajua jinsi inavyonyanyapaliwa ati si nchi ya Kiislam kisa hawafuati Sharia law! hapo ndipo utajua demokrasia si tija kwa walio wengi ndani mwa mioyo yetu! It was juast a matter of an opportunist kushika hatamu awatumie kama mwendawazimu Kikwete anavyofanya...
Mkuu Mdondoaji. Padri Lwambano ametoa tamko tarehe 8 FEBRUARI 1998 ambalo Rais Mkapa aliitikia tarehe 4 JANUARI 1998! Hivi hii kweli inaingia kichwani? Huyu Aziz na Njozi ni wale wale wenye extremists ambao wanataka kulaumu kanisa kwa kila ovu linalousibu UMMA wa kiislamu. Hivi kweli unataka kuamini kweli Rais Mkapa alikuwa akipokea maagizo kutoka kwa padri wake wakati wa uongozi wake? Si utakuwa sawa na wale walioamini kuwa Mwinyi (na Kikwete) wanapata maagizo kutoka Iran na Saudia? Wote mtakuwa hamna maana.
Padri Lambano kama raia yeyote alitoa duku duku lake kuhusu hali ya kutisha iliyotanda Tanzania katika miaka ya mwisho ya 90. Tulikuwa hatujazoea maneno ya chuki kutamkwa wazi wazi baina ya jamii yeyote nchini mwetu ukiondoa kwa hao tunaowaita wahindi. Hivi leo ukilalamikia vibaka wanaotishia usalama katika nchi yetu na baadae polisi wakafanya operesheni na kuua baadhi yao utawakubalia kweli wale watakaodai kuwa uliwaamrisha hao polisi kuua na kudai lazima uwaombe msamaha?
Huku kuandama Kanisa kutokana na yale yaliyotokea Mwembechai ni uonevu na kukwepa responsibility. Mlitakiwa kuwakemea wale walioleta mihadhara ya chuki na ksababisha uhasama mkubwa katika misikiti yenu, Mwembechai ukiwa mmoja wao. Kama hamtaki kulaani mauaji yaliyotokea Arusha lakini msijitetee kwa kuyafananisha na yaliyotokea Mwembechai, Pemba na Unguja. Hivi leo utaweza kulaani mapdri na maaskofu kukemea uovu pale wanapouona kwa vile tu mnatofautiana dini? Mimi ningedhani ungewahimiza viongozi wako waungane nao badala ya kuzinduka pale tu mdini mwenzao anapodhulumiwa. Hii Tanzania ni yetu sote na kilio cha mmoja wetu lazima kiwe chetu sote.
Amandla.......
Says all about you!
Mimi ni muislam, nasema ukweli tatizo letu waislamu, ni udini utatumaliza na tunataka nchi yetu iwe ya kiislamu, nasema haitawezekana. Waislamu tumekuwa walalamishi kwa kila jambo, hatutaki kufanya vitu vya maendeleo, tumekalia mahakama ya kadhi!! utakula mahakama ya kadhi? tutakula madrasa? Tuache ujinga twende shule.what about Malaysia?
Do you think your views build a national solidarity?
Religion is a very sensitive issue. Tuwe makini.
1. Wakati Maaskofu wakidai hawamtambui meya, BAKWATA wanasema wao wanamtambua
na kama yupo ambaye haridhishwi na uchaguzi aende mahakamani na iwapo matokep
yatatenguliwa, BAKWATA wapo tayari kufanya kazi na yeyote atakaye chaguliwa.
2. Wote wamelaani matumizi ya nguvu kubwa yaliyofanywa na Polisi
3. Wakati BAKWATA wakisema mambo ya wanasiasa tuwaachie wanasiasa, maaskofu
wanafanya siasa za wazi kabisa na inaonesha wanahamu ya kuvua majoho yao na
wameacha kauli mbiu yao ya kila siku kuwa tusichanganye dini na siasa.
WANAJAMII KATI YA TAASISI HIZI MBILI, IPI INANUKIA JAPO KIDOOGO HARUFU YA UDINI?
Mimi ni muislam, nasema ukweli tatizo letu waislamu, ni udini utatumaliza na tunataka nchi yetu iwe ya kiislamu, nasema haitawezekana. Waislamu tumekuwa walalamishi kwa kila jambo, hatutaki kufanya vitu vya maendeleo, tumekalia mahakama ya kadhi!! utakula mahakama ya kadhi? tutakula madrasa? Tuache ujinga twende shule.
Mimi ni muislam, nasema ukweli tatizo letu waislamu, ni udini utatumaliza na tunataka nchi yetu iwe ya kiislamu, nasema haitawezekana. Waislamu tumekuwa walalamishi kwa kila jambo, hatutaki kufanya vitu vya maendeleo, tumekalia mahakama ya kadhi!! utakula mahakama ya kadhi? tutakula madrasa? Tuache ujinga twende shule.
ukitaka kujua hulka ya ndg zangu Waislam ni kujiuliza ni nchi gani ya Kiislam ina demokrasia yaani vyama vingi nina uhakika katika zoote hazizidi nne! na kati ya hizo ni Turkey ambayo kila mtu anajua jinsi inavyonyanyapaliwa ati si nchi ya Kiislam kisa hawafuati Sharia law! hapo ndipo utajua demokrasia si tija kwa walio wengi ndani mwa mioyo yetu! It was juast a matter of an opportunist kushika hatamu awatumie kama mwendawazimu Kikwete anavyofanya...
ujumbe umefikamimi ni muislam, nasema ukweli tatizo letu waislamu, ni udini utatumaliza na tunataka nchi yetu iwe ya kiislamu, nasema haitawezekana. Waislamu tumekuwa walalamishi kwa kila jambo, hatutaki kufanya vitu vya maendeleo, tumekalia mahakama ya kadhi!! Utakula mahakama ya kadhi? Tutakula madrasa? Tuache ujinga twende shule.
Geza Ulole, its rather daft to somehow compare a social group with a religion. Christianity is a social group whereby islam is a religion. Thats why laws can be changed/amended in christianity and not in islam. Christianity has one supreme leader, "the pope" if you are catholic, or Elizabeth queen of England if you are Anglican, and so....; whereby in muslims do not have a living human figure head for eveery muslim on planet. In christianity, power and authority are centralised, Vatican if you are catholic, or buckingham palace if you are Anglican. In Islam, power and authority are decentralised and every community have their own leadership. In short, the sheikh of mecca is only for mecca and he is not superior to sheikh of moldova or paraguay. I have hibernian background and studied christianity at depth, and believe me, when I decided to study other faiths, judaism, islam, budhism, etc; I was confounded by the *** which I was taught as a christian child. Learn about other faiths and you don't have to follow them. That will give you a little bit of respect of others.
Kuna kila dalili kwamba Chama cha mapinduzi CCM kimeamua kutumia BAKWATA mkoani Arusha kupingana na kauli ya maaskofu ya kutomtambua meya wa Arusha. Bakwata wametangaza kumtambua meya na kua tayari kushirikiana nae. Hata hivyo katika kile kinachoashiria Bakwata kutumiwa na CCM, viongozi hao walitoa kauli za kujichanganya huku kiongozi mmojawapo akiunga mkono kauli ya mary chatanda kwamba kumtambua au kotomtambua meya sio kazi ya viongozi wa dini bali ni suala la kisiasa. Lakini wakati sheikh huyo akitamka maneno hayo kiongozi mwingine wa kiislamu aliyekuwpo kwenye kikao hicho alisema wao wanamtambua meya wa Arusha aliyetangazwa na mkurugenzi na kwamba wako tayari kushirikiana naye. Ni wazi tamko hilo limetolewa kwa makusudi ya kuwapinga maaskofu ambao juzi walitoa tamko la kutomtambua meya wa Arusha na kutokua tayari kushirikiana nao. Inakuaje wanasema kumtambua au kotomtambua meya sio kazi ya viongozi wa dini halafu baadae nao wanasema wanamtambua meya wa Arusha na wako tayari kushirikiana nao????? Na je walikua wapi siku zote kutoa tamko la kumtambua meya wa Arusha hadi maaskofu watoe kauli ya kutomtambua meya huyo???
what about Malaysia?
Do you think your views build a national solidarity?
Religion is a very sensitive issue. Tuwe makini.
craaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap, nenda kwenye madaWakiristo watanzania, msijidanganye kabisa na kujifanya kwamba eti ni nyinyi ni "European outpost in Africa". Maendeleo ya uzungu siyo maendeleo ya ukiristo, ingawa mpo wengi sana humu ambao mnajitoa akili kwa makusudi na kusherehekea mafanikio ya wazungu "in the name of jesus", na kujifanya kama vile nyinyi ni sehemu ya "white establishment". Nasikitika sana kama mifumo ya kielimu ndiyo inayowafanya muwe hivyo.
Kuna kila dalili kwamba Chama cha mapinduzi CCM kimeamua kutumia BAKWATA mkoani Arusha kupingana na kauli ya maaskofu ya kutomtambua meya wa Arusha. Bakwata wametangaza kumtambua meya na kua tayari kushirikiana nae. Hata hivyo katika kile kinachoashiria Bakwata kutumiwa na CCM, viongozi hao walitoa kauli za kujichanganya huku kiongozi mmojawapo akiunga mkono kauli ya mary chatanda kwamba kumtambua au kotomtambua meya sio kazi ya viongozi wa dini bali ni suala la kisiasa. Lakini wakati sheikh huyo akitamka maneno hayo kiongozi mwingine wa kiislamu aliyekuwpo kwenye kikao hicho alisema wao wanamtambua meya wa Arusha aliyetangazwa na mkurugenzi na kwamba wako tayari kushirikiana naye. Ni wazi tamko hilo limetolewa kwa makusudi ya kuwapinga maaskofu ambao juzi walitoa tamko la kutomtambua meya wa Arusha na kutokua tayari kushirikiana nao. Inakuaje wanasema kumtambua au kotomtambua meya sio kazi ya viongozi wa dini halafu baadae nao wanasema wanamtambua meya wa Arusha na wako tayari kushirikiana nao????? Na je walikua wapi siku zote kutoa tamko la kumtambua meya wa Arusha hadi maaskofu watoe kauli ya kutomtambua meya huyo???