Umenifurahisha hapo uliposema ya kwamba bakwata ni Baraza la kikristo kwa waislam wa tanzania uko sahihi kabisa.
Bakwata ni baraza la kikiristo lililopandikizwa na lile lijikafiri nyerere laana ya mungu iwe juu yake katika kuligawa hili taifa katika misingi ya kidini.
Hivi majuzi kuna habari zimeleak na kufika hadi ikulu kuwa kumbe issa shaaban bin simba hupata maagizo wakati mwingine kutoka kwa pengo.
Na kwamba pamoja na kwamba watu hao ni viongoz wa iman mbili tofauti lkn simba amekuwa chakubimbi wa pengo kwa miaka mingi na hurubuniwa kwa vijisenti uchwara kutokana na njaa zao.
Hakuna shaka bakwata ni mshirika wa karibu wa ccm na kanisa.
Sisi hilo tunalitambua ba tulichokifanya ni kuliacha baraza hilo liendelee na vitimbi vyake.kwan wao wanapanga na mungu pua anapanga.
Na hakika mungu ni mbora kabisa katika wapangaji wa mambo.
Hivi karibuni waislam tumejenga msitiki mkubwa sana tena wa kisasa ghorofa saafi kabisa wilayani newala.
Msikiti ambao huuwez kuupata kanda yoote ya kusini mwa tanzania isipokuwa newala.
Pamoja na kujenga msikiti huo kwa juhudi za wenyewe waislam tukaamua tuweke plan ya kujenga shule madrasa na zahanati.
Tumekamilisha mchakato ule tunachukua documents zetu tuzipeleke bakwata kwa ajili ya Registration wanasemaa oooh hatutaki kuisajili jumuiya hiyo kwa masharti hadi tuwapangie sisi utaratibu woote wa uongozi uendeshaji na umiliki.
Tukawaambia hilo haliwezekani.
Kwanza hii institution imejengwa kwa nguvu za waislam wenyewe.
Pili wenyewe ndio wanatambuana vyema na kujua nna ya kuchaguana.
Tatu iweje umiliki muuchukue nyinyi bakwsta ili hali hii ni mali ya waislam wenyewe na jasho lao??
Bakwata wakaja juu na kusema kwamba wao hawawez kuisajili hali iliyopelekea sisi kuchukua documents hizo na kupeleka kwa sheikh kundecha ambae ni amir wa jumuiya ya Baraza Kuu la waislam Tanzania.
Huko usajili utafanyika kwan nacho ni chombo kinachotambuliwa kusheria.
Kwa kuwa bakwata ilianzishwa na makafiri kwa interests zao wacha tuwaachie chombo chao sisi tuzid kusonga mbele.
So kwa kumalizia hoja yako.
Sisi tunajua ccm sio msaada kwetu na hata siku moja hatuwez kuweka tumain letu kwa wanasiasa hata hao chadema.
Hilo ukae ukilifaham.
We mtoto wa mwaka 1982 hebu tuliza mbupu. Huijui nchi hii na hutakaa uijue zaidi porojo za mikekani misikitini. Bakwata is there to stay hata CUF yenu ikichukua nchi.