BAKWATA itakufa CCM ikiondoka madarakani

jamani kinachofaa kwa sasa sisi waislam ni kuaandaa mipango imara, kuimarisha shule na watoto katka elimu dunia na iliyobaki (akhera) lasivyo hatuta fiti popote pale! wenzetu wameamka katika elimu je sisi ni kama wao? jibu hapana. tujipange mbele, yashapita tuanze sasa.
 
Koments nyingi humu zinaonesha CDM ni genge la wakristo.Masheikh wamewaumbua mchana kweupee.HIVI MNAJIFANYA MMESAHAU KAULI ZA PENGO NA KILAINI NA WALAKA WA MAASKOFU?.ACHANA NA UDINI WENU NA NAWAPONGEZA MASHEIKH.MKUKI KWA NGURUWE........

Muslims wake up. Beyond the nose, you are being used (though not all Muslims) by ccm like pampas. Bakwata is a campaigning organ of CCM and unfortunately you are be caught up in this trap. I a m disputing your allegations that chadema is a mouthpiece of christian.

Chadema is a political party without any religious orientation like ccm. By the way do you remember KILAINI saying that VASCO DAGAMA aka mkere, Dr wa uchakachuaji is a God chosen president? This is the evidence that what you are saying is merely crap
 
Hakuna kitu kinacho bore zaidi km kuona serious minds zinakuwa hijacked na trivial issues na zinakuwa insensitive to sensitive and patinent issues za jamii. Kwa hiyo jitihada zozote za ku trivialise Udhalilishaji wa kiimani aliofanyiwa DC wa Igunga ni km kukubali madhila ya harufu isiyopendeza katika jamii baada ya kwa kufahamu ama vinginevyo, kujichamba kwa mkono mtupu.

Na issue ya kidini haiwezi kuamriwa na mahakama kwa vile dini haijaletwa na mahakama wala serikali...bali ni imani ilinayotokana na vyanzo tofauti. Bado naamini kabisa km busara ingetumika angalau kwa uchache tu, honest apology ingekuwa tiba mujarab angalau kwa wakati huo.

Lakini upofu wa fikra, kiburi na ufedhuli unaoonyeshwa na jamaa zangu hao kuhusu kadhia hiyo imetoa fursa ya kuuonyesha undani wa CDM na hivyo kutoa nafasi kwa jamii kuwahukumu kwa kadri wanavyowajua....na itawa costs sana kisiasa kama si leo basi si siku nyingi zijazo.

Mungu ibariki Tanzania.
 
ukitaka kujua kuwa wenzetu wa mihadhara ni hamnazo....... tembelea pakistani, somalia, zanzibar...... wanakataa pombe lakini wanabariki mirungi, bangi, n.k.
 
Haiwezekani mtoto asubuhi akaandika kwenda kulia na jioni akaandika kuelekea kushoto alafu kesho akakumbuka jana aliandika nini...... tumieni akili
 
Hakuna kitu kinacho bore zaidi km kuona serious minds zinakuwa hijacked na trivial issues na zinakuwa insensitive to sensitive and patinent issues za jamii.

Kwa hiyo jitihada zozote za ku trivialise Udhalilishaji wa kiimani aliofanyiwa DC wa Igunga ni km kukubali madhila ya harufu isiyopendeza katika jamii baada ya kwa kufahamu ama vinginevyo, kujichamba kwa mkono mtupu.

Na issue ya kidini haiwezi kuamriwa na mahakama kwa vile dini haijaletwa na mahakama wala serikali...bali ni imani ilinayotokana na vyanzo tofauti. Bado naamini kabisa km busara ingetumika angalau kwa uchache tu, honest apology ingekuwa tiba mujarab angalau kwa wakati huo.

Lakini upofu wa fikra, kiburi na ufedhuli unaoonyeshwa na jamaa zangu hao kuhusu kadhia hiyo imetoa fursa ya kuuonyesha undani wa CDM na hivyo kutoa nafasi kwa jamii kuwahukumu kwa kadri wanavyowajua....na itawa costs sana kisiasa kama si leo basi si siku nyingi zijazo. Mungu ibariki Tanzania.

Apology kwa lipi sasa?Mtazamo wako wewe ni kama bakwata,watu walio ccm ndio waislam na wasio ccm sio waislam,ONA SASA MPAKA MMEBADILISHA MTANDIO NA KUWA HIJABU,use your brain to analyse.
 
Mjadili mada kwa maslahi ya taifa na sio matusi,mwenyezi mungu anasema usitoe uamuzi(fatwa) ktk jambo ambalo huna elimu nalo mi naamini kama mashekh wanatumiwa kwa lengo la kisiasa inshallah mwenyezi mungu atawahukumu na pia kama wapo sahihi inshallah mwenyezi mungu atawaongoza,kwa maoni yangu aliyedhalilishwa pale ni mkuu wa wilaya kwa matendo yake ya ukiukwaji wa sheria na sio fatuma kimario but all in all mwenyezi mungu ndiye mjuzi

Asante mkuu
 
Kwa muda mrefu nilikuwa nikisikia kuwa Bakwata haipo kwa maslahi ya waislam,nikawa siamini kwa kuzani huenda kulikuwa na chuki miongoni mwa madhehebu ya kiislam.

Tamko la bakwata tabora limenifanya niamini kuwa wapo kisiaza zaidi kuliko kidini.Kwamba wanawataka waislamu wote igunga wasimpigie kura mgombea wa chadema inaonyesha kuwa wanapiga kampeni.

Hivi ni nani asiyejua kwamba suala la mkuu wa wilaya igunga lipo mahakamani? Bakwata inadhani waislam wote akili zao zinafanana na wao, hapana tumewastukia.Eti kabla ya kutolewa kwa tamko hilo walifanya kikao cha pamoja ccm kwenye hotel kwa mujibu wa Radio five Arusha 2:30 usiku ,hii ni aibu.

Waislam tunapenda kuona chombo kinachotoa matamko baada kufanya utafiti sio kisiasa. Mfano mzuri ni namna kikwete alivyoijibu bakwata wakati wa baraza la Idd,ile ni aibu,hivi zile shule za bakwata zilizopo zinafanana na seminari za kikristo kwa ufaulu na uendeshaji wake.Haya ndio mambo ya kujadiliwa na bakwata na si kupigia kampeni ccm.

Kinachosikitisha ndugu yangu ni kuwa hiki ndio chombo waislamu tulitegemea kituwakilshe kutetea maslahi yetu serikalini. Badala yake wamekuwa walaini mno kununuliwa kwa vijisenti kidogo na kuyaacha madai ya waislamu yalipigwa danadana kila kukicha. Naamini hawa watasababisha waislamu tuachwe kwenye mataa kwenye suala la katiba mpya...
 
Hakuna kitu kinacho bore zaidi km kuona serious minds zinakuwa hijacked na trivial issues na zinakuwa insensitive to sensitive and patinent issues za jamii. Kwa hiyo jitihada zozote za ku trivialise Udhalilishaji wa kiimani aliofanyiwa DC wa Igunga ni km kukubali madhila ya harufu isiyopendeza katika jamii baada ya kwa kufahamu ama vinginevyo, kujichamba kwa mkono mtupu. Na issue ya kidini haiwezi kuamriwa na mahakama kwa vile dini haijaletwa na mahakama wala serikali...bali ni imani ilinayotokana na vyanzo tofauti. Bado naamini kabisa km busara ingetumika angalau kwa uchache tu, honest apology ingekuwa tiba mujarab angalau kwa wakati huo. Lakini upofu wa fikra, kiburi na ufedhuli unaoonyeshwa na jamaa zangu hao kuhusu kadhia hiyo imetoa fursa ya kuuonyesha undani wa CDM na hivyo kutoa nafasi kwa jamii kuwahukumu kwa kadri wanavyowajua....na itawa costs sana kisiasa kama si leo basi si siku nyingi zijazo. Mungu ibariki Tanzania.

Ngoja tu nikuambie kuwa chuki dhidi ya CDM kwa baadhi ya waislamu haikuanza sasa, bali ilianza zamani wakati CCM walipovumisha kuwa CDM ni chama cha kichaga. Chuki hiyo ilikolea zaidi baada ya CDM kumsimamisha Dr Slaa katika uchaguzi uliopita kutokana na historia yake kidini. Pamoja na kuwa wengi hawaelewi, waislamu walijengewa chuki hizi 'kijanja' na CCM hasa baada ya CCM kuona ina advantage ya kuongozwa na muislamu kwa sasa.
Kwa bahati mbaya kwa waislamu hawa wachache, pamoja na kujenga chuki yao hii, CDM kutokana na uongozi mahiri walio nao kimeendelea kujiimarisha zaidi. Sasa imefikia mahali kuwa waislamu walio wengi, hasa maeneo ya vijijini ambao bado hawajalishwa sumu sana na CCM, wako njia panda. On one side wamechoka na umaskini na uduni wa maisha yao yanayochangiwa na uongozi legelege wa CCM, so wanaichukia CCM. On the other hand wanaletewa vijipeperushi misikitini kuwa wasiichague CDM kwa sababu ni ya kikristo. Wakati wa uchaguzi, mpiga kura anaamini anapiga kura kwa maslahi ya maisha yake baada ya hapo. Waislamu wanaenda kwenye sanduku la kura na mawili kichwani, nichague CDM, inayosemekana ya kikristo, nichague CCM niendelee kuwa masikini. Anasukumwa na nguvu tofauti lakini anakumbuka kuwa amekuwa akishanda njaa, watoto wake hawajaenda shule, amenyang'anya ardhi yake ikapewa mwekezaji, hospitalini hamna dawa, kujifungua ni kwa wasiwasi, analala na kuzalia kwenye nyumba ya tembe, babu mgonjwa, mama ngonjwa wanamtegemea, hana namna ya kumsaidia, maskini yeye hana hata ajira, njiani anapisha na magari makubwa yenye bendera za kijani yanamtimulia vumbi, mke wake ni mjamzito hajui kama atajifungua salama maana hana hata senti ya kumpeleka hospitali, msiba wa mjomba wilaya jirani hakuhudhuria maana hakuwa na nauli, ukweni wanamlaumu, mwanae karudishwa nyumbani akalete ada, mdogo wake aliye shuleni kapiga simu jana ..'kakaa, kakaaa..' nisaidie mimi nafukuzwa shule kesho.... na matatizo chungu nzima. Kisha anapewa karatasi ya kupiga kura anawaangalia wagombea, anaamua yupi aweke alama ya vema chini yake...
 

Mimi ni Muisilamu lakini nakerwa sana na chombo hiki kinachodaiwa ni mwavuli wa Waisilamu wote nchini.


Hakina faida yoyote kwa Waisilamu na sasa hivi viongozi wake wanatia aibu kwa kukubali kutumiwa na wanasiasa na viongozi wa serikali ya CCM, tena bila hata ya faida yoyote kwao, achilia mbali shukurani.

Na kinachosikitisha zaidi ni kwamba haya ‘mateke ya punda’ wanayapata chini ya uongozi mkuu wa nchi aliye madarakani ambaye ni Muisilamu.

Hivyo kinachoonekana ni kwamba baadhi ya viongozi hawa wa bakwata huhongwa kwa hela za muda mfupi tu.
Hapa nitatoa vielelezo vya kuonyesha kile ninachokisema:

Pamoja na kwamba ni juzijuzi tu JK alipigilia msumari wa mwisho kuhusu mahakama ya kadhi, Bakwata si tu imeufyata kabisa, bali pia inakubali kutumiwa na hiyo hiyo CCM kufanya ‘cheap’ campaign kwa niaba yao kule Igunga.

Suala la DC wa igunga na Bakwata kukurupuka kumtetea ni mojawapo ya mambo yanayoonyesha ‘ubaraka’ wa viongozi wake, sijui kwa sababu ya umasikini? Suala la DC lilikuwa la kisiasa, lakini Bakwata wakaingilia kulifanya la kidini, na kama vile nilivyosema hawatapata shukurani yoyote kutoka CCM, bali mateke ya punda tu katika madai yao yote halali.

Kuna suala la OIC kadhalika – Bakwata ilishafungwa mdomo tangu zamani, lakini wanaume bado wamo tu na CCM!

JK aliwakera sana Waisilamu kwa kumleta Rais George W Bush wa Marekani, aliyesababisha vita Iraq na Afghanistan ambapo maelefu ya Waisilamu wamekufa na kuendelea kufa.

Kwanza wakati wa ujio wa Bush serikali ilipiga marufuku maandamano yoyote ya Waisilamu kuupinga ujio huo, lakini baadaye akina Kundecha walisimama kidete na yakaruhusiwa.

Mwaka 2007 JK alikwenda Vatikan kuonana na Papa Benedict, kuna picha ikimuonyesha akipiga magoti na kuubusu mkono wa Papa. Jee ilikuwa lazima aende huko? Mkapa, Mkatoliki, katika miaka yake 10 ya uongozi hakufikiria kufanya ziara ya namna hiyo.

Tukienda nyuma zaidi wakati wa Mzee Ruksa, Rais wa kwanza Muisilamu wa nchi hii. Serikali yake nayo ilikuwa na maudhi yake mengi dhidi ya Waisilamu:

Alimleta papa John Paul II mwaka 1990, kitu ambacho hata Nyerere mwenyewe Mkatoliki hakufikiria kukifanya.

Mwaka 1993 wakati serikali hiyo ya Mwinyi iliporekebisha siku za kazi kwa watumishi wa serikali kuwa siku 5 kwa wiki (yaani kuondoa Jumamosi kama siku ya kazi) pia alirudisha Sikukuu ya Boxing Day (December 26) hivyo Wakristu kuwa na jumla ya sikukuu nne za kidini kwa mwaka (e.g. Pasaka siku 2, Christmas na Boxing Day) – hivyo kwenda sambamba na Waisilamu ambao tangu zamani za Nyerere walikuwa na sikuu 4 za kidini kila mwaka (yaani Id el Fitr siku 2, id el-Hajj na Maulidi).

Lakini hapo hapo Mwinyi pia alirudisha Januari mosi kama sikukuu ambayo ilikuwa haipo tangu enzi hizo za Nyerere. Swali hapa: Kama aliweka Januari mosi kuwa siku ya mapumziko, siku ambayo ni mapumziko katika ulimwengu wa nchi za Kikristo, kwa nini, pia asiweke siku ya mwanzo wa mwaka wa Kiisilamu (tarehe mosi Muharram - Mfungo Nne) kuwa pia ni sikukuu ya kupumzika? Mwaka jana Waisilamu walisikika wakiiomba serikali nayo pia iiweke siku hiyo iwe ya mapumziko.

Tukiacha hilo kuna suala lile lenye mgogoro la Memorandum of Understanding (MoU) kati ya serikali na Makanisa. Waisilamu hawakuona ajabu kwamba hili lilianza chini ya utawala wa Rais Ali Hassan Mwinyi Muisilamu? Wangemuuliza kwa nini aliwasahau Waisilamu katika MoU?


Kwa ujumla pamoja na mambo yote haya yote hasi (negative) dhidi ya Waisilamu niliyotaja – bado Waisilamu wanaing’ang’ania CCM na kuitetea hata katika mambo cheap kabisa.

Wako wap akina Mponda, Kundecha na Sheikh Khalifa, viongozi machachari wa Kiisilamu waliokuwa wakiihenyesha serikali huko nyuma (eg katika sakata la mauaji ya Mwembe Chai)? Au tayari kwisha nunuliwa na CCM?




 
CDM kutumiwa na baraza la maaskofu kupitia Padre slaa inaelekea kufa.

ndugu yangu dini hujui, siasa hukjui, elimu huna na unachokiongea hukijui, unajiaibisha!
unaweza kufananisha baraza la maaskofu na baraza la masheikh? (samahanini wana jf naomba nimueleweshe huyu mtu)
maaskofu wote ukiacha waliojipa(makanisa mapya) elimu ya chini ni masters! wengi zaidi ya asilimia 50% wana doctrate. angalia masheikh, kasoma sana ana form 6(ndo msomi) waislamu waliosoma wameitelekeza dini. sasa swali maandiko ya dini yanasemaje katika mithali(mnasoma hiki kitabu) "mshike sana elimu usimuache aende zake kwani yeye ni uzima wako" & " kipofu hawezi kumuongoza kipofu mweziwe wote watadumbukia ktk shimo"
sasa naomba uniambie wewe, nani aliyesahihi? kuongozwa na mwenye macho (elim) uwezo wa kupambanua mambo ni mkubwa, anafanya maamuzi sahihi na anajua anachofanya so anamsimamo, lakini kinyume chake unakifahamu, mfano upo kwa JK. (anaishia kuamini nguvu za giza akidhani amerogwa)
sasa naachana na dini, jamani sisi ni watz, tusiwasikilize wanaoongozwa na kiu ya fedha pls!
 
Elimu ya dini walizonao mashekhe ni sawa na hzo masterz,doctorate unazosema.kwan kuna watu wanamasters,phd za kun fu,mambo ya jeshi,upishi,labda useme elimu ww unaelewaje mtu elim
ndugu yangu dini hujui, siasa hukjui, elimu huna na unachokiongea hukijui, unajiaibisha!
unaweza kufananisha baraza la maaskofu na baraza la masheikh? (samahanini wana jf naomba nimueleweshe huyu mtu)
maaskofu wote ukiacha waliojipa(makanisa mapya) elimu ya chini ni masters! wengi zaidi ya asilimia 50% wana doctrate. angalia masheikh, kasoma sana ana form 6(ndo msomi) waislamu waliosoma wameitelekeza dini. sasa swali maandiko ya dini yanasemaje katika mithali(mnasoma hiki kitabu) "mshike sana elimu usimuache aende zake kwani yeye ni uzima wako" & " kipofu hawezi kumuongoza kipofu mweziwe wote watadumbukia ktk shimo"
sasa naomba uniambie wewe, nani aliyesahihi? kuongozwa na mwenye macho (elim) uwezo wa kupambanua mambo ni mkubwa, anafanya maamuzi sahihi na anajua anachofanya so anamsimamo, lakini kinyume chake unakifahamu, mfano upo kwa JK. (anaishia kuamini nguvu za giza akidhani amerogwa)
sasa naachana na dini, jamani sisi ni watz, tusiwasikilize wanaoongozwa na kiu ya fedha pls!
 
Dini yenyewe ilianzishwa kisiasa kama chama cha walalamikaji unategemea wataishi aje? c ni kupewa ubwabwa tu kisha wanakurupuka kuropoka?
hili tusi la mwaka. lkn mh labda huyu mikristo ndio anatamba humu
 
Hivi bakwata inawafanyia nini Waisilamu kama siyo kutumiwa tu na CCM?

Mimi ni Muisilamu lakini nakerwa sana na chombo hiki kinachodaiwa ni mwavuli wa Waisilamu wote nchini.

Hakina faida yoyote kwa Waisilamu na sasa hivi viongozi wake wanatia aibu kwa kukubali kutumiwa na wanasiasa na viongozi wa serikali ya CCM, tena bila hata ya faida yoyote kwao, achilia mbali shukurani.

Na kinachosikitisha zaidi ni kwamba haya ‘mateke ya punda’ wanayapata chini ya uongozi mkuu wa nchi aliye madarakani ambaye ni Muisilamu.

Hivyo kinachoonekana ni kwamba baadhi ya viongozi hawa wa bakwata huhongwa kwa hela za muda mfupi tu.
Hapa nitatoa vielelezo vya kuonyesha kile ninachokisema:

Pamoja na kwamba ni juzijuzi tu JK alipigilia msumari wa mwisho kuhusu mahakama ya kadhi, Bakwata si tu imeufyata kabisa, bali pia inakubali kutumiwa na hiyo hiyo CCM kufanya ‘cheap’ campaign kwa niaba yao kule Igunga.

Suala la DC wa igunga na Bakwata kukurupuka kumtetea ni mojawapo ya mambo yanayoonyesha ‘ukibaraka’ wa viongozi wake, sijui kwa sababu ya umasikini? Suala la DC lilikuwa la kisiasa, lakini Bakwata wakaingilia kulifanya la kidini, na kama vile nilivyosema hawatapata shukurani yoyote kutoka CCM, bali mateke ya punda tu katika madai yao yote halali.

Kuna suala la OIC kadhalika – Bakwata ilishafungwa mdomo tangu zamani, lakini wanaume bado wamo tu na CCM!

JK aliwakera sana Waisilamu kwa kumleta Rais George W Bush wa Marekani, aliyesababisha vita Iraq na Afghanistan ambapo maelefu ya Waisilamu wamekufa na kuendelea kufa.

Kwanza wakati wa ujio wa Bush serikali ilipiga marufuku maandamano yoyote ya Waisilamu kuupinga ujio huo, lakini baadaye akina Kundecha walisimama kidete na yakaruhusiwa.

Mwaka 2007 JK alikwenda Vatikan kuonana na Papa Benedict, kuna picha ikimuonyesha akipiga magoti na kuubusu mkono wa Papa. Jee ilikuwa lazima aende huko? Mkapa, Mkatoliki, katika miaka yake 10 ya uongozi hakufikiria kufanya ziara ya namna hiyo.

Tukienda nyuma zaidi wakati wa Mzee Ruksa, Rais wa kwanza Muisilamu wa nchi hii. Serikali yake nayo ilikuwa na maudhi yake mengi dhidi ya Waisilamu:

Alimleta papa John Paul II mwaka 1990, kitu ambacho hata Nyerere mwenyewe Mkatoliki hakufikiria kukifanya.

Mwaka 1993 wakati serikali hiyo ya Mwinyi iliporekebisha siku za kazi kwa watumishi wa serikali kuwa siku 5 kwa wiki (yaani kuondoa Jumamosi kama siku ya kazi) pia alirudisha Sikukuu ya Boxing Day (December 26) hivyo Wakristu kuwa na jumla ya sikukuu nne za kidini kwa mwaka (e.g. Pasaka siku 2, Christmas na Boxing Day) – hivyo kwenda sambamba na Waisilamu ambao tangu zamani za Nyerere walikuwa na sikuu 4 za kidini kila mwaka (yaani Id el Fitr siku 2, id el-Hajj na Maulidi).

Lakini hapo hapo Mwinyi pia alirudisha Januari mosi kama sikukuu ambayo ilikuwa haipo tangu enzi hizo za Nyerere. Swali hapa: Kama aliweka Januari mosi kuwa siku ya mapumziko, siku ambayo ni mapumziko katika ulimwengu wa nchi za Kikristo, kwa nini, pia asiweke siku ya mwanzo wa mwaka wa Kiisilamu (tarehe mosi Muharram - Mfungo Nne) kuwa pia ni sikukuu ya kupumzika? Mwaka jana Waisilamu walisikika wakiiomba serikali nayo pia iiweke siku hiyo iwe ya mapumziko.

Tukiacha hilo kuna suala lile lenye mgogoro la Memorandum of Understanding (MoU) kati ya serikali na Makanisa. Waisilamu hawakuona ajabu kwamba hili lilianza chini ya utawala wa Rais Ali Hassan Mwinyi Muisilamu? Wangemuuliza kwa nini aliwasahau Waisilamu katika MoU?

Kwa ujumla pamoja na mambo yote haya yote hasi (negative) dhidi ya Waisilamu niliyotaja – bado Waisilamu wanaing’ang’ania CCM na kuitetea hata katika mambo cheap kabisa.

Wako wap akina Mponda, Kundecha na Sheikh Khalifa, viongozi machachari wa Kiisilamu waliokuwa wakiihenyesha serikali huko nyuma (eg katika sakata la mauaji ya Mwembe Chai)? Au tayari kwisha nunuliwa na CCM?




 
Kumsingizia Nyerere kwa waislamu kukosa elimu ni kumuonea bure. Waislamu wangapi wamesoma shule za kikristo? Hata sasa ni waislamu wengi wanasoma seminari za kikristo. Hakuna mwislamu aliyenyimwa fursa ya kusoma kwa sababu ya dini yake.

Juzi sheikh mkuu amewashauri waislamu kuongeza bidii katika kujenga shule badala ya kujikita kujenga misikiti.

Kilichowaponza waislamu na kuwa nyuma kielimu ni sababu za kihistoria na mapokeo ya dini. Nyerere hakuleta dini ndani ya nchi hii kwahiyo hawezi kubebeshwa lawama.


wewe humjui vizuri huyo mzee uliyemweka kwenye avatar.... ! BAKWATA alianzisha yeye baada ya kuvunja jumuia ya waislam east africa.. aliwarubuni wazee wetu kipindi hiko wakakubali.. kumbe ilikuwa ni moja ya strategies zake za divide & rule ...! Amewaondoa wazee wa DSM ambao walikuwa wailslam safi walimpokea DAR wakati huo yeye ndio wa kuja... wakawa naye bega kwa bega katika harakati za kupigania uhuru... alikuja kuwafuta katika historia akabakiza jina lake .. ili ajulikane ni shujaa wa taifa...! hakuishia hapo... miji ya pwani ndio ilikuwa ndio kitovu cha biashara na maendeleo.. miji hii ili kuwa na waislam wengi akafanya hila .. ikafa yote! angalia reli ya tanga... bandari nayo ndio vile.....!


 
Mimi ni muslim, ila nakiri kuwa viongozi wengi wa bakwata elimu dunia hawana kichwani. Wanatumiwa kwakuwa hawana shule kichwani.
Ukweli ndio huo. Viongozi wengi hawana elimu ya kutosha kuchambua mambo. Tatizo ni hata yule muislamu ambaye unamtambua kuwa ni msomi, akisikia jambo limetolewa na kiongozi muislamu, ataliunga mkono bila ya kufikri.
 
Dini yenyewe ilianzishwa kisiasa kama chama cha walalamikaji unategemea wataishi aje? c ni kupewa ubwabwa tu kisha wanakurupuka kuropoka?

watu kama ninyi ndio mwatufanya wengine tuonekane wadini humu JF.... some of us tupo sensitive na dini zetu usilete masihara... tukiwajibu twaishia kupingwa ban
 
Hivi bakwata inawafanyia nini Waisilamu kama siyo kutumiwa tu na CCM?

Mimi ni Muisilamu lakini nakerwa sana na chombo hiki kinachodaiwa ni mwavuli wa Waisilamu wote nchini.

Hakina faida yoyote kwa Waisilamu na sasa hivi viongozi wake wanatia aibu kwa kukubali kutumiwa na wanasiasa na viongozi wa serikali ya CCM, tena bila hata ya faida yoyote kwao, achilia mbali shukurani.

Na kinachosikitisha zaidi ni kwamba haya ‘mateke ya punda' wanayapata chini ya uongozi mkuu wa nchi aliye madarakani ambaye ni Muisilamu.

Hivyo kinachoonekana ni kwamba baadhi ya viongozi hawa wa bakwata huhongwa kwa hela za muda mfupi tu.
Hapa nitatoa vielelezo vya kuonyesha kile ninachokisema:

Pamoja na kwamba ni juzijuzi tu JK alipigilia msumari wa mwisho kuhusu mahakama ya kadhi, Bakwata si tu imeufyata kabisa, bali pia inakubali kutumiwa na hiyo hiyo CCM kufanya ‘cheap' campaign kwa niaba yao kule Igunga.

Suala la DC wa igunga na Bakwata kukurupuka kumtetea ni mojawapo ya mambo yanayoonyesha ‘ukibaraka' wa viongozi wake, sijui kwa sababu ya umasikini? Suala la DC lilikuwa la kisiasa, lakini Bakwata wakaingilia kulifanya la kidini, na kama vile nilivyosema hawatapata shukurani yoyote kutoka CCM, bali mateke ya punda tu katika madai yao yote halali.

Kuna suala la OIC kadhalika – Bakwata ilishafungwa mdomo tangu zamani, lakini wanaume bado wamo tu na CCM!

JK aliwakera sana Waisilamu kwa kumleta Rais George W Bush wa Marekani, aliyesababisha vita Iraq na Afghanistan ambapo maelefu ya Waisilamu wamekufa na kuendelea kufa.

Kwanza wakati wa ujio wa Bush serikali ilipiga marufuku maandamano yoyote ya Waisilamu kuupinga ujio huo, lakini baadaye akina Kundecha walisimama kidete na yakaruhusiwa.

Mwaka 2007 JK alikwenda Vatikan kuonana na Papa Benedict, kuna picha ikimuonyesha akipiga magoti na kuubusu mkono wa Papa. Jee ilikuwa lazima aende huko? Mkapa, Mkatoliki, katika miaka yake 10 ya uongozi hakufikiria kufanya ziara ya namna hiyo.

Tukienda nyuma zaidi wakati wa Mzee Ruksa, Rais wa kwanza Muisilamu wa nchi hii. Serikali yake nayo ilikuwa na maudhi yake mengi dhidi ya Waisilamu:

Alimleta papa John Paul II mwaka 1990, kitu ambacho hata Nyerere mwenyewe Mkatoliki hakufikiria kukifanya.

Mwaka 1993 wakati serikali hiyo ya Mwinyi iliporekebisha siku za kazi kwa watumishi wa serikali kuwa siku 5 kwa wiki (yaani kuondoa Jumamosi kama siku ya kazi) pia alirudisha Sikukuu ya Boxing Day (December 26) hivyo Wakristu kuwa na jumla ya sikukuu nne za kidini kwa mwaka (e.g. Pasaka siku 2, Christmas na Boxing Day) – hivyo kwenda sambamba na Waisilamu ambao tangu zamani za Nyerere walikuwa na sikuu 4 za kidini kila mwaka (yaani Id el Fitr siku 2, id el-Hajj na Maulidi).

Lakini hapo hapo Mwinyi pia alirudisha Januari mosi kama sikukuu ambayo ilikuwa haipo tangu enzi hizo za Nyerere. Swali hapa: Kama aliweka Januari mosi kuwa siku ya mapumziko, siku ambayo ni mapumziko katika ulimwengu wa nchi za Kikristo, kwa nini, pia asiweke siku ya mwanzo wa mwaka wa Kiisilamu (tarehe mosi Muharram - Mfungo Nne) kuwa pia ni sikukuu ya kupumzika? Mwaka jana Waisilamu walisikika wakiiomba serikali nayo pia iiweke siku hiyo iwe ya mapumziko.

Tukiacha hilo kuna suala lile lenye mgogoro la Memorandum of Understanding (MoU) kati ya serikali na Makanisa. Waisilamu hawakuona ajabu kwamba hili lilianza chini ya utawala wa Rais Ali Hassan Mwinyi Muisilamu? Wangemuuliza kwa nini aliwasahau Waisilamu katika MoU?

Kwa ujumla pamoja na mambo yote haya yote hasi (negative) dhidi ya Waisilamu niliyotaja – bado Waisilamu wanaing'ang'ania CCM na kuitetea hata katika mambo cheap kabisa.

Wako wap akina Mponda, Kundecha na Sheikh Khalifa, viongozi machachari wa Kiisilamu waliokuwa wakiihenyesha serikali huko nyuma (eg katika sakata la mauaji ya Mwembe Chai)? Au tayari kwisha nunuliwa na CCM?






Asante mkuu una kumbukumbu nzuri kuhusu sikukuu za kitaifa. Ni kweli katika miaka ya 70, nadhani baada ya kuanzishwa CCM mwaka 1977 na hivyo tarehe 5 Februari kuwa siku mapumziko, serikali ilipunguza sikkuuu za January 1, Boxing Day ili kuongeza sikukuu za kichama, yaani hiyo Februari 5 na Sabasaba, na Mwinyi alishangaza aliporudisha Januray 1, na kuiacha hiyo siku ya mwanzo wa mwaka wa Kiisilamu.

Nami ni Muisilamu lakini sipendezwi kabisa jinsi Bakwata inavyokumbatiana na CCM huku haipati chochote in return, isipokuwa maneno ya kisanii na maudhi tu. Nakubali kwamba huenda viongozi wachache huhongwa na makada wa CCM - hasa hasa wale waliojidai viongozi wa taasisi hiyo huko Igunga.
 
Back
Top Bottom