BAKWATA itakufa CCM ikiondoka madarakani

BAKWATA itakufa CCM ikiondoka madarakani

Mimi ni muslim, ila nakiri kuwa viongozi wengi wa bakwata elimu dunia hawana kichwani. Wanatumiwa kwakuwa hawana shule kichwani.
 
CDM kutumiwa na baraza la maaskofu kupitia Padre slaa inaelekea kufa.
 
Koments nyingi humu zinaonesha CDM ni genge la wakristo.Masheikh wamewaumbua mchana kweupee.HIVI MNAJIFANYA MMESAHAU KAULI ZA PENGO NA KILAINI NA WALAKA WA MAASKOFU?.ACHANA NA UDINI WENU NA NAWAPONGEZA MASHEIKH.MKUKI KWA NGURUWE........
 
Dini yenyewe ilianzishwa kisiasa kama chama cha walalamikaji unategemea wataishi aje? c ni kupewa ubwabwa tu kisha wanakurupuka kuropoka?
Hata "madheri wako" hujui kumbe kuwa aliolewa kisiasa ndiyo akakuzaa wewe pia kisiasa!
 
Waoneeni huruma tu hao mambumbu wa darasa la pili hawana mbele wala nyuma wamekalia kucheza bao na kunywa kahawa na kuoa wake wengi wakati hawana uwezo.
Ivi anaekunywa Kahawa na kuoa wake wengi na anaekunywa chang'aa na kuzini na wanawake wengi yupi afadhali dogo?
 
Kumbe ndo mana Nyerere alisema dhambi ya ubaguzi haishi ee, alifanya ubaguzi wa elimu dhidi ya waislamu kiasi kwamba leo kila ofisi ratiio ya wasislamu kwa wasio waislamu ni 1/100. Matokeo yake ni kuzuka kwa tabaka mbili ambazo ni vi ngumu kuziunganisha so Magamba wanapeta tu, magamba wakihanithi waislamu, wakristo wanafurahia ikitokea magamba hao wakihanithi wakristo, waislamu wanafurahia-sioni umoja wa kuitoa kuwatoa magamba katika hali hii kama kule Zambia. Cuf kilipigiwa propaganda ya kuwa chama cha kiislamu, wakristo wakaamini then dhambi ileile inatumiwa dhidi ya chadema then waislamu wanaiamini-tumekwisha sie katika hali hii.
 
Koments nyingi humu zinaonesha CDM ni genge la wakristo.Masheikh wamewaumbua mchana kweupee.HIVI MNAJIFANYA MMESAHAU KAULI ZA PENGO NA KILAINI NA WALAKA WA MAASKOFU?.ACHANA NA UDINI WENU NA NAWAPONGEZA MASHEIKH.MKUKI KWA NGURUWE........

huyo nguruwe ataliwa nchikitini akishapigwa huo nkuki, huwezi kuipata pepo kwa kuipenda dunia, more than simple!
 
Kumbe ndo mana Nyerere alisema dhambi ya ubaguzi haishi ee, alifanya ubaguzi wa elimu dhidi ya waislamu kiasi kwamba leo kila ofisi ratiio ya wasislamu kwa wasio waislamu ni 1/100. Matokeo yake ni kuzuka kwa tabaka mbili ambazo ni vi ngumu kuziunganisha so Magamba wanapeta tu, magamba wakihanithi waislamu, wakristo wanafurahia ikitokea magamba hao wakihanithi wakristo, waislamu wanafurahia-sioni umoja wa kuitoa kuwatoa magamba katika hali hii kama kule Zambia. Cuf kilipigiwa propaganda ya kuwa chama cha kiislamu, wakristo wakaamini then dhambi ileile inatumiwa dhidi ya chadema then waislamu wanaiamini-tumekwisha sie katika hali hii.

kama wanavyopewa sasa maelekezo na mashehe, ndivyo walivyopewa maelekezo zama hizo kuikimbia shule kwani wangelishwa nguruwe, wamegundua too late! yanakuja maelekezo mengine tena kuto wing hiyo hiyo tena, watakuja zinduka too late, waislam wasiposhtuka watakuwa ni wa kutrail tu come sun come rain!
 
Koments nyingi humu zinaonesha CDM ni genge la wakristo.Masheikh wamewaumbua mchana kweupee.HIVI MNAJIFANYA MMESAHAU KAULI ZA PENGO NA KILAINI NA WALAKA WA MAASKOFU?.ACHANA NA UDINI WENU NA NAWAPONGEZA MASHEIKH.MKUKI KWA NGURUWE........

usiwe mjinga kufikiri,sasa watu wakipiga kura kidini kama unavyotaka unafikiri kuna siku muislam atapata urais?
 
Kumbe ndo mana Nyerere alisema dhambi ya ubaguzi haishi ee, alifanya ubaguzi wa elimu dhidi ya waislamu kiasi kwamba leo kila ofisi ratiio ya wasislamu kwa wasio waislamu ni 1/100. Matokeo yake ni kuzuka kwa tabaka mbili ambazo ni vi ngumu kuziunganisha so Magamba wanapeta tu, magamba wakihanithi waislamu, wakristo wanafurahia ikitokea magamba hao wakihanithi wakristo, waislamu wanafurahia-sioni umoja wa kuitoa kuwatoa magamba katika hali hii kama kule Zambia. Cuf kilipigiwa propaganda ya kuwa chama cha kiislamu, wakristo wakaamini then dhambi ileile inatumiwa dhidi ya chadema then waislamu wanaiamini-tumekwisha sie katika hali hii.

Kumsingizia Nyerere kwa waislamu kukosa elimu ni kumuonea bure. Waislamu wangapi wamesoma shule za kikristo? Hata sasa ni waislamu wengi wanasoma seminari za kikristo. Hakuna mwislamu aliyenyimwa fursa ya kusoma kwa sababu ya dini yake.

Juzi sheikh mkuu amewashauri waislamu kuongeza bidii katika kujenga shule badala ya kujikita kujenga misikiti.

Kilichowaponza waislamu na kuwa nyuma kielimu ni sababu za kihistoria na mapokeo ya dini. Nyerere hakuleta dini ndani ya nchi hii kwahiyo hawezi kubebeshwa lawama.
 
Nyie mnaojibizana wote ni wapumbavu. Wakati wa kupiga kura hakuna cha udini, kila mtu atapiga kwa mapendo yake. Hao BAKWATA wala hawana maana yeyote kwa waislamu.

Mashehe na Mapadri wao wafate siasa zao za misikitini na makanisani.
 
Dini yenyewe ilianzishwa kisiasa kama chama cha walalamikaji unategemea wataishi aje? c ni kupewa ubwabwa tu kisha wanakurupuka kuropoka?

inshue ni bakwata si dini wacha upumbavu wa kukashifu dini kwa ujumla. ina maana yule askofu kuwa shoga inabeba ukristo wote ni mashoga? nachukia sana watu sampuri yako pumbavu. i hate bakwata na wewe pia. am muslim na ninajidai kuwa muislam.
 
Kumsingizia Nyerere kwa waislamu kukosa elimu ni kumuonea bure. Waislamu wangapi wamesoma shule za kikristo? Hata sasa ni waislamu wengi wanasoma seminari za kikristo. Hakuna mwislamu aliyenyimwa fursa ya kusoma kwa sababu ya dini yake.

Juzi sheikh mkuu amewashauri waislamu kuongeza bidii katika kujenga shule badala ya kujikita kujenga misikiti.

Kilichowaponza waislamu na kuwa nyuma kielimu ni sababu za kihistoria na mapokeo ya dini. Nyerere hakuleta dini ndani ya nchi hii kwahiyo hawezi kubebeshwa lawama.

usimtete nyerere hayo mambo ya udini muasisi ni yeye kasome kitabu kinaitwa the darkness of mwalimu julius nyerere au kanisa katoliki na siasa za tanzania cha padri john sivallon
 
MODS, Funga hii. watu wameshaanza kutukana dini na nyie mko kimya, acheni kuendekeza huu upuuzi lasivyo na nie mtakua kama hao wachochezi.
 
shule za bakwata zilizopo zinafanana na seminari za kikristo kwa ufaulu na uendeshaji wake.Haya ndio mambo ya kujadiliwa na bakwata na si kupigia kampeni ccm.

Hapo Ktk Quote Sijakuelewa. Huo ndio ubaguzi tusioutaka, kulikuwa hakuna kigezo cha ufaulu ktk kurudisha hizo shule ni umiliki tu, sasa unapoleta suala la kufaulu ni kama unajichanganya. Maana Mtu Kudai Chake Ni Halali Hata Kama Ni Kibaya.
Ustaarabu Wa Chadema ilibidi iombe radhi tu kutokana na hilo tukio hapo wangemaliza ubishi kuwa wanashabikia hilo suala au wamechukia basi.
 
Waislamu ni daraja la magamba.....wako mbali sana kuamka hwa ndugu zetu. Tunawaombea na tunawapenda japo ndo hivyo bado usingizini.
 
Hey ma' fellow Muslims... Cnt we wake up... We ar bein used without any reason... Ngoja niwape siri, wafanya maamuz pale ccm ni christian, wana22mia kwa mgongo wa Rais.. Cnt we thnk why thr waz no any benefit we obtain relatn 2 our support 2 ccm... SABABU 2NA2MIKA KWA WAKRISTO KWA MGONGO WA RAIS MUSLIM, u al knw 2na rais sanamu he cant mek any decisn, na maamuz meng ya ccm yanakuwa influence na xstian waliopo ndan ya ccm, sasa 2baki na ujuha we2... 2tatumiwa na ku2pwa kama Condoms..

Mimi ni mwislamu vile vile ila lugha yako mkuu inanitisha. Tumo humu tusio-belong to your generation. I can not even read what you wrote.

Tatizo letu waislamu ni kuwa tumewaachia walioshindwa na maisha kila sehemu kujiita viongozi wa dini. Ndio wanaochapana bakora kwa kugombea misikiti, wanaoa vitoto vidogo kwa tende za msaada toka uarabuni, wanagombania na kugawana nyama ya kondoo toka uarabuni iliyoletwa kwa ajili ya mayatima, etc, etc. Ni njaa tu inawasumbua, hata wewe ukuwapelekea vijisenti vichache na ubwabwa utaizoa Bakwata yote. Unaweza kuwaambia wakutafutie kijana wa kujifunga mabomu kwa kisingizio cha "Allah" wakampata kwa masaa!!!!

Mimi nawalaumu CCM ambao wanajua athari za udini lakini wanaziendekeza kwa manufaa ya wachache. Yaliyotokea Mwanza sio dalili tena bali manyunyu tu, mvua inakuja (Ya Kano na Kaduna huko Nigeria yalianza hivi hivi!!!).
 
Mjadili mada kwa maslahi ya taifa na sio matusi,mwenyezi mungu anasema usitoe uamuzi(fatwa) ktk jambo ambalo huna elimu nalo mi naamini kama mashekh wanatumiwa kwa lengo la kisiasa inshallah mwenyezi mungu atawahukumu na pia kama wapo sahihi inshallah mwenyezi mungu atawaongoza,kwa maoni yangu aliyedhalilishwa pale ni mkuu wa wilaya kwa matendo yake ya ukiukwaji wa sheria na sio fatuma kimario but all in all mwenyezi mungu ndiye mjuzi
 
Kwa muda mrefu nilikuwa nikisikia kuwa Bakwata haipo kwa maslahi ya waislam,nikawa siamini kwa kuzani huenda kulikuwa na chuki miongoni mwa madhehebu ya kiislam.Tamko la bakwata tabora limenifanya niamini kuwa wapo kisiaza zaidi kuliko kidini.Kwamba wanawataka waislamu wote igunga wasimpigie kura mgombea wa chadema inaonyesha kuwa wanapiga kampeni.Hivi ni nani asiyejua kwamba suala la mkuu wa wilaya igunga lipo mahakamani? Bakwata inadhani waislam wote akili zao zinafanana na wao, hapana tumewastukia.Eti kabla ya kutolewa kwa tamko hilo walifanya kikao cha pamoja ccm kwenye hotel kwa mujibu wa Radio five Arusha 2:30 usiku ,hii ni aibu. Waislam tunapenda kuona chombo kinachotoa matamko baada kufanya utafiti sio kisiasa. Mfano mzuri ni namna kikwete alivyoijibu bakwata wakati wa baraza la Idd,ile ni aibu,hivi zile shule za bakwata zilizopo zinafanana na seminari za kikristo kwa ufaulu na uendeshaji wake.Haya ndio mambo ya kujadiliwa na bakwata na si kupigia kampeni ccm.

Ninawashukuru wote waliochangia mada hii ambao kwa kiasi kikubwa wameonyesha kukerwa na kuchanganya dini na siasa.Wakati umefika viongozi wetu watumie busara kwani wasipofanya hivyo wanaleta chuki miongoni mwa jamii.Ni vema ccm wafanye siasa waache kutumia viongozi wa dini zote,na vingozi wa dini wawaache waumini wao wafanye maamuzi wanayoona yanafaa.Mbona wenzetu Zambia Rais Banda amekubali kushindwa?Kwa nini tanzania tusiige siasa za kistaarabu kwa wenzetu? Mungu ibariki Tanzania
 
Koments nyingi humu zinaonesha CDM ni genge la wakristo.Masheikh wamewaumbua mchana kweupee.HIVI MNAJIFANYA MMESAHAU KAULI ZA PENGO NA KILAINI NA WALAKA WA MAASKOFU?.ACHANA NA UDINI WENU NA NAWAPONGEZA MASHEIKH.MKUKI KWA NGURUWE........
wewe ni kati ya hao mnaotumiwa kama condom halafu mnatupwa, mlitumiwa kumuingiza sheikh JK madarakani, leo kawageuka hakuna mahakama ya kadhi wala kurudishiwa shule, kwa ufupi kasema hana mpango na nyie. Sasa endeleeeni kutumika, mnahitaji kuamka na kujua mnatumiwa.
 
Back
Top Bottom