Bakhresa, ex wife settle dispute

wauza nyago A.K.A wauza sura wa town hapa!! mkamlee mama bakhresa mle kwa ulainiii,teheheee!na nyie mtaondoka na nusu za hizooo mali MKITEMANA
 
Mwanamke wa kileo hataki ujinga, kakataa tamaduni za kuomba na kusubiri mume akupe talaka.

Talaka inatolewa kinguvu na mahakama, sio mwanamme. Napenda wanawake walioamka.
 
Duuh ndoa ya 4yrs mafao yote hayo?halafu huyu ni mke mdogo wa mombasa nini?dar atakuwepo mwingine,zenj yupo mkubwa kabisa!bora wa kweti bongo mkiachana anakuachia kila kitu anarudi kwao

Sasa ulitegemea agombee nini? Assets za kitanda kimoja, sufuria mbili, mkeka, ??
Haya ya akina Bakhresa ni tofauti... uliza wenye assest za maana utasikia maneno.
 
Binadamu wengi kama siyo wote ni materialist..Suala la mali kweli gumu, nakumbukia thread ya mzee DC!!..
Bora wamemalizana, kila mtu kapata alichopata..
 
Ukila andazi au chapati au sembe pale kwa mama ntilie jua asilimia kubwa inaenda kwa Bakhresa ,na bidhaa zake kwa hapa TZ ni kama Coca-Cola zinapatikana kila kona ya TZ,haya hata hizo Joti tu zimesambaa TZ yote,kitu kimoja mzee saidi kawasomesh watoto wake shule za nguvu na ndio wana manage hizo biashara wakisaidiana na wataalamu mbali mbali waliowaajiri kwa bei mbaya,hayo maji ya Uhai tu nayo ni no 1 katika soko la maji,jamaa wana mpunga si mchezo
 
Kibaya zaidi jamaa hata hana mtoto naye,huyo mdada aliwaandikisha majina ya hizo mali ndugu zake bila jamaa kujua,na zingine alinunua kwa kutumia majina ya ndugu zake ,mdada(mkenya)alikuwa na lengo lake toka mwanzo nalo ni kuchuma alitoka familia ya kimaskini hadi kuwa tycoon,vijisenti unavyotoa kununulia lambalamba vilikuwa vinahamia mombasa kwa mtoto wa kiarabu maashalaa
 
Ukila andazi au chapati au sembe pale kwa mama ntilie jua asilimia kubwa inaenda kwa Bakhresa ,na bidhaa zake kwa hapa TZ ni kama Coca-Cola zinapatikana kila kona ya TZ,haya hata hizo Joti tu zimesambaa TZ yote,kitu kimoja mzee saidi kawasomesh watoto wake shule za nguvu na ndio wana manage hizo biashara wakisaidiana na wataalamu mbali mbali waliowaajiri kwa bei mbaya,hayo maji ya Uhai tu nayo ni no 1 katika soko la maji,jamaa wana mpunga si mchezo

Kibaya zaidi jamaa hata hana mtoto naye,huyo mdada aliwaandikisha majina ya hizo mali ndugu zake bila jamaa kujua,na zingine alinunua kwa kutumia majina ya ndugu zake ,mdada(mkenya)alikuwa na lengo lake toka mwanzo nalo ni kuchuma alitoka familia ya kimaskini hadi kuwa tycoon,vijisenti unavyotoa kununulia lambalamba vilikuwa vinahamia mombasa kwa mtoto wa kiarabu maashalaa
Nafikiri mwanamke alikuwa tayari kashaona upepo unapoelekea na lengo lake alikuwa anajua ni nini
 
Back
Top Bottom