Bakheressa na JK....uso kwa uso.

Bakheressa na JK....uso kwa uso.

Jamaa anahela mpk huwa analiga mwenyewe.
 
nikiambiwa hiyo studio imegharimu bilion 50,sawa na semi trail kama 100 za ukweli,nachoka kabisaaa

Hivi studio yenyewe ipo pale Tazara kabla ya kuvuka mataa ukitokea mjini (upande wa kulia)? Maana mandhari ya nje ya lile jengo huwa yananichosha sana. Hapavutii. Vumbi tupu.
 
Hivi studio yenyewe ipo pale Tazara kabla ya kuvuka mataa ukitokea mjini (upande wa kulia)? Maana mandhari ya nje ya lile jengo huwa yananichosha sana. Hapavutii. Vumbi tupu.

Iko tabata relin,mandera rd karibu na petro station ya Mount Meru,hapo tazara ni kilikua kituo cha mauzo sijui kama kitaendelea kuwepo sasa maake kwa nyuma kuna warehouse kubwa tu kwa ajil ya bidhaa zake.
 
Na unaweza ona nidhamu aliyonayo. . . . . . .sio hawa jamaa wanaitwa kuhojiwa wana jeuri kama nini sijui. . . . . .ama kweli masikini akipata
 
Back
Top Bottom