Bakheressa na JK....uso kwa uso.

Bakheressa na JK....uso kwa uso.

Mengi ni sound tuu kugombana na kila mtu kaanzia kwa mkewe
 
jamaa yupo, tatizo sio muongeaji kama hawa matajiri wengine

hahaaaa nilikua naskia eti hakuna mtu anaeitwa Bahkresa ila bahkresa ni taasisi duh Kumbe huyu mtu yupo
 
Ongera azam, kwenye tasnia ya habari mumeanza vizur na mutabolesha na kwenda mbali zaid ya hapo. Sisi tunatalajia mazur zaid na kujivunia cha nyumbani tanzania asante Ssb ltd
 
Wataalam wa mavazi, kama mmeangalia bakhressa alivyotupia utakubaliana nami kuwa anazitendea haki fedha zake, angalia tai yake uilinganishe na ya jk, yaani tai ya jk imerundikana shingoni kama kitumbua kilichododa, Bakhressa tai kama Donald Rumsfield (spelling uuuuuwi) au G.W.B
 
Hivi studio yenyewe ipo pale Tazara kabla ya kuvuka mataa ukitokea mjini (upande wa kulia)? Maana mandhari ya nje ya lile jengo huwa yananichosha sana. Hapavutii. Vumbi tupu.

Pita barabara hii ya mandela panaitwa Tabata si mchezo kweli ametisha ww unapopasema ni kiwandan pale
 
Mwaka mmoja zaidi au miwili azam Tv itakuwa haikamatiki, kwa sasa hawana faida ila tuhesabu mwaka mmoja au miwili tutakuwa tunamuongelea Bakhressa Mwingine, hii ni nzuri sana katika hii tasnia ya habari na burudani big up Azam TV na nyie wengine Sahara Media, IPP kwa kweli mnahitaji investment ya maana ku compete na huyu jamaa

Azam TV tufanyie mpango wa EPL, Bundesliga, na La liga, tuomdolee monopoly ya huyu DSTV, ongea na Prof hapo mambo yaende, alimkutanisha Diamond na wasanii wa marekani itakuwa wewe bwana...
 
Back
Top Bottom