Abtali Mwerevu
JF-Expert Member
- May 5, 2013
- 795
- 704
Ndio maana hata mfalme Sulemani katika Mithali 13:7 alisema hivi, Kuna mtu mwenye kujitajirisha, lakini hana kitu; Kuna ajifanyaye kuwa maskini, lakini ana mali nyingi.
sawa mchungaji
Ndio maana hata mfalme Sulemani katika Mithali 13:7 alisema hivi, Kuna mtu mwenye kujitajirisha, lakini hana kitu; Kuna ajifanyaye kuwa maskini, lakini ana mali nyingi.
Mkuu huyo ni mwenyewe, mi nimeshafanya pale tazara, nilikuwa technicia miaka ya 2004,, jamaa aliletaga mashine zake za maji mpya! tulikuwa tunazita chum power! alikuwa anakupigia simu live nataka kuongea na fundi, then anataka uumpe technical details, za mashine na production zake!thibitisha mkuu...
Watakuwa wamezungumzia nn sasa
Hivi studio yenyewe ipo pale Tazara kabla ya kuvuka mataa ukitokea mjini (upande wa kulia)? Maana mandhari ya nje ya lile jengo huwa yananichosha sana. Hapavutii. Vumbi tupu.[/QUOTE
Ipo Tabata kituo cha Tiot
Mkuu sawa lakini kizuri hakikosi doaHivi studio yenyewe ipo pale Tazara kabla ya kuvuka mataa ukitokea mjini (upande wa kulia)? Maana mandhari ya nje ya lile jengo huwa yananichosha sana. Hapavutii. Vumbi tupu.[/QUOTE
Ipo Tabata kituo cha Tiot
Mkuu huyo ni mwenyewe, mi nimeshafanya pale tazara, nilikuwa technicia miaka ya 2004,, jamaa aliletaga mashine zake za maji mpya! tulikuwa tunazita chum power! alikuwa anakupigia simu live nataka kuongea na fundi, then anataka uumpe technical details, za mashine na production zake!
Then akipata muda akija anataka muongee physical. maboss wengi walikuwa wanamkimbia maana jamaa achelewi kukufukuza kazi kama una longolongo!
Nilipiga mzigo chini nikaenda shule na maslahi pia yalikuwa madogo kutokana na malengo niliyojiwekea. ila huyo ndiyeee, Yule mwanae Omar ndio msimamizi sana wa shughuri zake.! pale tazara, pana maji,juice, ngano,bags,that time sjui now days! Jamaa anajiri watu professionals na pia watu wa chini...! ila pemba, unguja inaongoza at that time ila sijui now days.
Huyu jamaa ni nadra sana kumuona hadharani...
Huwezi kumfananisha na Said Bakheressa hao matajiri wengine.mbona matajiri wengine wanaonekana mkuu? MziziMkavu
Omary alishafariki, yupo Yusuf sasa ndio anasimamia
Huyu jamaa ni nadra sana kumuona hadharani...
Tahadhari na hayo maneno mkuu. Hujaagana na Mungu. Kuna maneno hayafai kuandikwa au kusemwa.Mna kansa.
Naamini si vizuri kumdharau mtu usiyemfahamu. Kuna watu wengi style ya huyo jamaa huwa arrogant na mara nyingi huwa na matatizo ya kimaisha...Hahahahaha mkuu naona umechimba bonge biti hapo kwenye herufi kubwa hapo