Wataalam wa mavazi, kama mmeangalia bakhressa alivyotupia utakubaliana nami kuwa anazitendea haki fedha zake, angalia tai yake uilinganishe na ya jk, yaani tai ya jk imerundikana shingoni kama kitumbua kilichododa, Bakhressa tai kama Donald Rumsfield (spelling uuuuuwi) au G.W.B
Wataalam wa mavazi, kama mmeangalia bakhressa alivyotupia utakubaliana nami kuwa anazitendea haki fedha zake, angalia tai yake uilinganishe na ya jk, yaani tai ya jk imerundikana shingoni kama kitumbua kilichododa, Bakhressa tai kama Donald Rumsfield (spelling uuuuuwi) au G.W.B
Wataalam wa mavazi, kama mmeangalia bakhressa alivyotupia utakubaliana nami kuwa anazitendea haki fedha zake, angalia tai yake uilinganishe na ya jk, yaani tai ya jk imerundikana shingoni kama kitumbua kilichododa, Bakhressa tai kama Donald Rumsfield (spelling uuuuuwi) au G.W.B
Mbona JK kama mtangazaji halafu huyo Bakhresa kama mwalikwa kwenye kipindi!
Huyu bakhresa hata kama una demu wako ukamfuma nae baada ya kukasirika unajichekesha tu huku unamwambia ukimaliza maongezi nitaomba na mimi niongee nae huyo dada samahani!
NTV wanawashiwa indicator ....
Mengi na media zake ambazo hazi grow aanze kuomba poo!
Hata mwenye CNN. Jamaa ana leagues za Tanzania na Uganda, yupo vizuri Burundi na ninahisi ataanza ku-tap markets za hizi nchi mbili (Uganda and Burundi), nadhani yupo kwenye ving'amuzi mpaka Kenya (Maarufu Mombasa).ila mwenye NTV ana mkwanja mrefu sana
Matajiri wanakaaga kimya kama Bakhresa maskini jeuri wanapiga kelele dah Huyu jamaa ananinspire sana huku uchagani kuna watu wana nyumba A kupanga manzese hamkai kwa amani japokuwa sio mchaga mwenzangu lakini ananiinspire
Mbona JK kama mtangazaji halafu huyo Bakhresa kama mwalikwa kwenye kipindi!