Habari zilizozagaa mtaani ni kuwa Bakari mwapachu, yule mzee aliyeshindwa ubunge na Omar Nundu kule Tanga analobby Kikwete amteue kama mwenyekiti wa shirika la ndege la ATCL. Ukweli ni kwamba kama kweli hawa jamaa wanalitakia kheri shirika hili hawatathubutu kuchagua mwenyekiti wa bodi mchovu kama alivyo Mwapachu.
Makosa yalishafanywa huko nyuma kwa kumpa uenyekiti Mistapha Nyang'anyi sidhani kama Kikwete atakuwa na ujasiri wa kufanya makosa mara mbili baada ya vioja alivyofanya huyo bwana kuhusu kuwapeleka mahujaji Mecca!! Bakari hostoria ya utendaji wake haioneshi kuwa anaweza kuimarisha shirika la ndege; huyu bwana ni mtumiaji sio mzalishaji.
Makosa yalishafanywa huko nyuma kwa kumpa uenyekiti Mistapha Nyang'anyi sidhani kama Kikwete atakuwa na ujasiri wa kufanya makosa mara mbili baada ya vioja alivyofanya huyo bwana kuhusu kuwapeleka mahujaji Mecca!! Bakari hostoria ya utendaji wake haioneshi kuwa anaweza kuimarisha shirika la ndege; huyu bwana ni mtumiaji sio mzalishaji.