<br />
<br />
Habari za ulaji na upenda mabibi inamhusu Bakari waulize waliofanya kazi RTC kiwa BIT mkuu
Kinyamana, you have hit the nail on the head; ulaji wake na ufuska sio BIT tu kote alikopita; Mdondoaji ataita ni majungu lakini sio hivyo ukweli juu ya huyu bwana ndio huo.!! Hawa ndio aina ya wastaafu wakipewa madaraka wanashinda ofisini kuwasumbua watendaji kwani hawana kazi nyingine za kufanya!! Kumbukeni mambo ya mahujaji kulala airport wiki nzima yalioikumba ATCL yalisababishwa na nani? Bakari cannot be an exceptional bored mstaafu, I rest my case.