LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 19,900
- 37,696
Habari za leo wana JF.
Mdogo wangu anatarajia kufunga ndoa mwaka huu mwezi wa sita mwishoni.
Mimi ndio kaka yake na mimi ndio msimamizi wake.
Ninataka nimsaidie aweze kufanya harusi kwa gharama ndogo kwa kadri iwezekanavyo.
Idadi ya watu watakao alikwa ni hamsini.
Ninataka gharama ya harusi iwe shilingi Milioni Tano.
Kwa walio na uzoefu na suala hili, mnadhani kwa bajeti hiyo hapo na kwa idadi hiyo ya watu, inaweza kufanyika sherehe ya harusi ambayo itapendeza?
Na je inaweza kutumika chini ya gharama hiyo hapo juu?
Ninaomba maoni na ushauri wenu please.
Mdogo wangu anatarajia kufunga ndoa mwaka huu mwezi wa sita mwishoni.
Mimi ndio kaka yake na mimi ndio msimamizi wake.
Ninataka nimsaidie aweze kufanya harusi kwa gharama ndogo kwa kadri iwezekanavyo.
Idadi ya watu watakao alikwa ni hamsini.
Ninataka gharama ya harusi iwe shilingi Milioni Tano.
Kwa walio na uzoefu na suala hili, mnadhani kwa bajeti hiyo hapo na kwa idadi hiyo ya watu, inaweza kufanyika sherehe ya harusi ambayo itapendeza?
Na je inaweza kutumika chini ya gharama hiyo hapo juu?
Ninaomba maoni na ushauri wenu please.