Inawezekana pia kaka, hebu nielezee unafuu wa ndoa za kiserikali ulivyo. Asante sana
Milini Tano mbona zina tosha tu
Kaka mimi nilishawahi kualikwa kwenye harusi ya Ki-Ghana, hawa jamaa wapo simple balaa.
Baada ya ndoa pale kanisani mnakusanyika nje ya kanisa, mnapewa bites na vinywaji halafu mnaachana.
Hakuna complications.
One of the BEST! BESTER! BESTEST! advice ever!
I salute you!
Igweeeeeeee!!!!
Wewe ni Muongo!
Aisee ngoja niku pm tuongee fresh. Hiyo nzuri sana.
..humpati wa hivyo hapa...
Natoa mchanganuo wa harusi tuliyofanya sisi. Ukumbu 600,000 unawekewa viti vya plastics na kupambiwa (750,000 unapata executive chairs) sisi tuliweka viti vya plastics (600,000) mapambo tulipamba simple standard kwa (600,000), usafiri wakwe tuliwapa hela 150,000 watafute usafiri wao wenyewe maharusi 300,000 wazazi 130,000, keki ndafu moja 200,000, Champaign 6 (72,000), MC na music 500,000, Picha 750,000, chakula cha watu 160 (ng'ombe mkubwa 560,00, kuku 20 kwa 100,000, kuchoma nyama kupika wali mweupe na pilau na ndizi za kuchemsha 780,000) vinywaji (1,934,00) jumla ilikua 6,800,000
Habari za leo wana JF.
Mdogo wangu anatarajia kufunga ndoa mwaka huu mwezi wa sita mwishoni.
Mimi ndio kaka yake na mimi ndio msimamizi wake.
Ninataka nimsaidie aweze kufanya harusi kwa gharama ndogo kwa kadri iwezekanavyo.
Idadi ya watu watakao alikwa ni hamsini.
Ninataka gharama ya harusi iwe shilingi Milioni Tano.
Kwa walio na uzoefu na suala hili, mnadhani kwa bajeti hiyo hapo na kwa idadi hiyo ya watu, inaweza kufanyika sherehe ya harusi ambayo itapendeza?
Na je inaweza kutumika chini ya gharama hiyo hapo juu?
Ninaomba maoni na ushauri wenu please.
Hii harusi haina picha na video?1.Ukumbi=1,000,000
2.Mapambo=1,000,000
3.Vinywaji bia 3@=330,000
4.Chakula plate 12000=600,000
5.Mc & Music=600,000
6.Magari-
Wazazi pande zote mbili=300,000
7.Gari-Maharusi=400,000
8.Coaster(Waalikwa)=
150,000.
Daaah nlisahau hela ya keki, sasa tusiivuruge hela ya dharura; twende tuvunje pale kwenye gari ya Maharusi, chanja 200,000 hapo afu tuitupie kwenye cake, ibaki 200,000 Gari safi na simple
Jumla kuu=4,380,000
Balance=620,000(Dharura)
NAWATAKIA MAANDALIZI MEMA.
Nadhani gharama itapungua maana si kwa vyuma kukaza hukuWakuu wekeni na mchanganuo wa kipindi hichi cha Magufuli maana hali mbaya.