Lighondi
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 581
- 184
Katika harusi yangu nilifanya hivi, nilifanya 201O ilikua hivi
1.Budget haikuzidi milioni 4, nyingi zilienda kwenye chakula
2.Sikutoa kadi hata moja ya mchango
2. niliamua iwe casual, kwa hiyo sikuhangaika kutauta profesional MCs, badala ya kuchangisha afu kumlipa MC, tulitengeneza ratiba kisha marafiki zangu wachache, wakasaidia kusema chochote kwa kupokezana.
3. Badala ya kuchanga pesa kukodi magari, tulitumia magari ya friends, niliomba rafiki zangu wengine wachukue maids, mwingine bibi harusi, mwingine mama mkwe..kwa gari zetu hizi hizi za kawaida.
One of the BEST! BESTER! BESTEST! advice ever!
I salute you!
Igweeeeeeee!!!!