Bajeti ya harusi ya gharama ndogo

Bajeti ya harusi ya gharama ndogo

Ushauri mzuri. Kingine Ni gaharama isiyo ya msingi ya keki na mapambo. Weka ndafu hata 2 ama 3, watu watakula nyama na kufurahi. Weka chakula na vinywaji. Wekeza kwenye mziki lakini achana na mc.
Katika harusi yangu nilifanya hivi, nilifanya 201O ilikua hivi

1.Budget haikuzidi milioni 4, nyingi zilienda kwenye chakula
2.Sikutoa kadi hata moja ya mchango
2. niliamua iwe casual, kwa hiyo sikuhangaika kutauta profesional MCs, badala ya kuchangisha afu kumlipa MC, tulitengeneza ratiba kisha marafiki zangu wachache, wakasaidia kusema chochote kwa kupokezana.
3. Badala ya kuchanga pesa kukodi magari, tulitumia magari ya friends, niliomba rafiki zangu wengine wachukue maids, mwingine bibi harusi, mwingine mama mkwe..kwa gari zetu hizi hizi za kawaida.
 
Mkuu, hiyo hela inatosha kufanya harusi kubwa sana ya watu 120 hadi 150. Kuna harusi ilifanyika 22.02.2014 jamaa walitumia 9.2million harusi ya watu around 300 ilikua bomba balaa. tulikunywa na kula nyama mwanzo mwisho na kamati yao ikatoa zawadi fedha taslim 1.270m kama zawadi. Mimi mwenyewe nilikua impressed sana maana nategemea kufunga ndoa mwaka huu na niliambiwa ukionanan na wenye ukumbi wanaweza kukupangia kila kitu. Ukumbi wenyewe Princess hall Sinza.
Acha kumwingiza mwenzio kwenye matatizo. Kwa ukumbi huo na idadi hiyo ya watu andaa pesa isiyopungua milioni 12
 
Tunaomba mchanganuo wa hiyo mil.5. Ukumbi, mapambo, chakula, usafiri, na mengineyo!!

Mkuu usikremu, ili kutoa mchanganuo rasmi, ni lazima jamaa adisclose baadhi ya vitu, wapi anaishi, kuna umbali gani na hotel or ukumbi atakaochukua, cost za hotel or ukumbi uliokusudiwa ni upi nk, nk!
...
Akidisclose yote haya naweza kumpigia hesabu na kumuekea na dots!
...
General overview milioni tano inatosha na kubaki!
Kwa mfano:
hoteli= mill 1
chakula= laki 5
Usafiri na malazi ya wageni= mill 1 na nusu
na hiyo mill 2 iliyobaki kwa vikorombwezo vingine!
...
Usifanye mchezo na mill 5 kwa watu 50 wewe!
Hiyo hela ni kubwa sana!
 
Mkuu usikremu, ili kutoa mchanganuo rasmi, ni lazima jamaa adisclose baadhi ya vitu, wapi anaishi, kuna umbali gani na hotel or ukumbi atakaochukua, cost za hotel or ukumbi uliokusudiwa ni upi nk, nk!
...
Akidisclose yote haya naweza kumpigia hesabu na kumuekea na dots!
...
General overview milioni tano inatosha na kubaki!
Kwa mfano:
hoteli= mill 1
chakula= laki 5
Usafiri na malazi ya wageni= mill 1 na nusu
na hiyo mill 2 iliyobaki kwa vikorombwezo vingine!
...
Usifanye mchezo na mill 5 kwa watu 50 wewe!
Hiyo hela ni kubwa sana!

Kukremu kumekujaje tena...
Nadhani anachukulia maisha ya mjini, lets say Daslama. Mimi najifunza ndo maana nimeuliza, vitu common sana ni ukumbi na mapambo yake, usafiri wa maarusi na wageni, chakula na anasa zingine.. Labda tumuulize mleta uzi, ni mazingira gani, wapi anategemea ndoa/sherehe itafanyika wapi.
 
Usafiri na malazi ya wageni?! Kwa nini uwalipie wewe hoteli? SI wafikie kwa mabinamu zao?
Mkuu usikremu, ili kutoa mchanganuo rasmi, ni lazima jamaa adisclose baadhi ya vitu, wapi anaishi, kuna umbali gani na hotel or ukumbi atakaochukua, cost za hotel or ukumbi uliokusudiwa ni upi nk, nk!
...
Akidisclose yote haya naweza kumpigia hesabu na kumuekea na dots!
...
General overview milioni tano inatosha na kubaki!
Kwa mfano:
hoteli= mill 1
chakula= laki 5
Usafiri na malazi ya wageni= mill 1 na nusu
na hiyo mill 2 iliyobaki kwa vikorombwezo vingine!
...
Usifanye mchezo na mill 5 kwa watu 50 wewe!
Hiyo hela ni kubwa sana!
 
Habari za leo wana JF. Mdogo wangu anatarajia kufunga ndoa mwaka huu mwezi wa sita mwishoni. Mimi ndio kaka yake na mimi ndio msimamizi wake. Ninataka nimsaidie aweze kufanya harusi kwa gharama ndogo kwa kadri iwezekanavyo. Idadi ya watu watakao alikwa ni hamsini. Ninataka gharama ya harusi iwe shilingi Milioni Tano. Kwa walio na uzoefu na suala hili, mnadhani kwa bajeti hiyo hapo na kwa idadi hiyo ya watu, inaweza kufanyika sherehe ya harusi ambayo itapendeza? Na je inaweza kutumika chini ya gharama hiyo hapo juu?

Ninaomba maoni na ushauri wenu please.

Kaka nakupongeza kwa hatua ya kuepuka gharama zisizo muhimu katika suala la harusi. Nadhani ni wakati muafaka sasa kwa watu kutochangishwa kwa ajili ya harusi. Ikiwezekana tuwe twaandaa chakula kidogo na vitu kama vinywaji waalikwa wajinunulie. Vyema pia ikiwa harusi ikafanyika mchana.
 
LIKUD.. sijui kama utapendelea ndoa za kiserikali?

they are less expensive..

mambo mengine mtamaliziana mnakojua ninyi..
 
Last edited by a moderator:
1.Ukumbi=1,000,000

2.Mapambo=1,000,000

3.Vinywaji bia 3@=330,000

4.Chakula plate 12000=600,000

Mc & Music=600,000

Magari-
Wazazi pande zote mbili=300,000

Gari-Maharusi=400,000

Coaster(Waalikwa)=
150,000.

Jumla kuu=4,380,000
Balance=620,000(Dharura)
NAWATAKIA MAANDALIZI MEMA.
 
Usafiri na malazi ya wageni?! Kwa nini uwalipie wewe hoteli? SI wafikie kwa mabinamu zao?

Hahahahaaaa!
King'asti bora ulivyokoment hapo, nadhani LIKUD atazidi kuamini kama mill 5 ni nyingi kwa waalikwa 50!
...
Kama utaangalia vizuri hapo utagundua kuna kiwango kikubwa cha hela kimezi hapo!
 
Kwa budget hyo wafanya harusi Nzuri tu na ya maana, na kuna vpengere vingine hapo possibility ya kunusuru pesa bado ni kubwa; hivyo tulizeni mawazo hamna haja ya kupannic hela yatosha sana hiyo
 
Navyojua mimi harusi ya kawaida kama ulivyosema wewe kwa kuzingatia na idadi ya watu uliotaja laki2 inatosha kabisa, lakini nimegundua kuwa watu wengi siku hizi wanachanganya kati ya harusi na sherehe ya harusi, kama ni sherehe inategemea na wewe mwenyewe ulivyojipanga na unataka ikafanyikie wapi! Huwa sioni umuhimu wa watu kuteketeza mamilioni ya pesa kwa kitu ambacho ni kusherekea tu maharusi wengi huwa na changamoto nyingi na uwezo wa kupata hela nyingi wakati mmoja huwa taabu, watafutieni japo kiwanja.
 
Back
Top Bottom