Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Sera za CCM kutimiza malengo haraka? sijui!
hospitali ilianza kujengwa 1985 kwa hiyo JD akifanya fund raising jengo linaweza kwisha 2015
baada ya hapo bajeti ya 2015/16 serikali itamwita tena Kingwendu kufanya fund raising ya vifaa na vitanda
ni mipango mizuri ya sera za CCM.
Usiumize kichwa mkuu huyo anajulikana ni king'ang'anizi balaa