Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,133
- 122,587
Hahahaa. Wewe ndio msema ukweli mdogo wangu dada yako ameshakula chumvi.Wewe utakuwa 40-50.
Kigagula kabisa
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hahahaa. Wewe ndio msema ukweli mdogo wangu dada yako ameshakula chumvi.Wewe utakuwa 40-50.
Kigagula kabisa
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hahahaa. Umenipunja bana.
Hahaaa. Kipwate mie rafiki yako Kibibi ujue.Ahaa mkuu wew 24 jok ...happy new year & miss u so much
Tena ya Magadi kabisaHahahaa. Wewe ndio msema ukweli mdogo wangu dada yako ameshakula chumvi.
Hawawezi kutubahatisha kamwe, ushahidi hamna
Mwifwa una miaka 30 uongo kweli?Hawawezi kutubahatisha kamwe, ushahidi hamna![]()
![]()
![]()
Thad mbona unatoboa siri, mimi nilikuwa bado najidogodesha hapa jamaniMwifwa una miaka 30 uongo kweli?
Wewe 27-35 huchomoki hapa.Mwifwa una miaka 30 uongo kweli?
Wewe 27-35 huchomoki hapa.
umekosea kidogo sana, hapo kwenye 35 ongezea 7 utapata umri wangu halisi.Basi nisamehe bure,Thad mbona unatoboa siri, mimi nilikuwa bado najidogodesha hapa jamani![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nishazoea kunidanganya tu, hata kule shuleni unanidanganya kila siku ili nisikupe adhabu![]()
![]()
umekosea kidogo sana, hapo kwenye 35 ongezea 7 utapata umri wangu halisi.
Hapo sawa.Basi nisamehe bure,![]()
![]()
Jamani Mwifwa ana miaka 18
Hahahaa. Umenipunja bana.



Ooh, nimepunja nusu au kila kabisa!? Ukienda mbali saana 30![]()