Bae niongezee hela ninunue S9+

Bae niongezee hela ninunue S9+

Ntapata nyingine yenyeakil papuchi nao ni kama soko huria ukiikatalia yako ntapata hata zanzibar or malawi kila siku papuchi zazaliwa kwa mamilioni nihangaikie moja jamani kuna papuchi ukiinunulia luku,sukari,unga, na kakilo ka nyama hadi majirani watakoma
Ni ngumu kupata iliyokamilika...kila mtu anamapungufu yake.
 
pearsons-300x156.gif

r=-1
Tized umenikumbusha mbali mkuu...statistics
 
Hao viumbe akili zao sometimes wanazijua wenyewe
Kabisa mkuu lakini baadae huja kujutia. Huwa wanapewa kiburi na idadi ya wanaume wanaowatongoza wasijue kuwa it is temporal. Baada ya muda sisi wanaume huamia kwa kifaa kipya tukishapata tulichokitaka. Nimeshashuhudia wadada wazuri na wenye ekspozha zao nzuri tu wanaharibu maisha yao kwa tamaa za kipuuzi. Anakuwa na kaka mstaarabu tu mwenye kipato cha kawaida ila anamuona zuzu, anataka badboys ambao hawanaga future. Zuzu akichoka anamwaga anaoa mwingine, dada anabaki analia. Wanaume waoaji na wenye future ndio hao hao mnaowaona washamba. Playboys huwa hawaoi kirahisi. Trust me.
 
Juzi nimetumiwa msg na bae eti nimuongezee hela anunue S9+. Ikabidi nichungulie inauzwa bei gani OMG 2.3m! Yaani 2,300,000! Over a $1000!

Nikafikiria huyu Bae anakaa nyumba ya kupanga, kodi vile vile nanchangia na inawezekana tunachangia wengi, kweli hana cha maana cha kufanyia hio 2.3m!

Nikafikiria haraka haraka nini unnaweza kufanya na 2.3m
1.Unaweza kununua kiwanja. Kuna kampuni zinauza viwanja vilivyopimwa 5000/sqm anaweza kupata 1000sqm kwa 5m(hii kampuni unaweza kulipa nusu halafu iliobaki kidogokidogo kwa miezi sita)
2.Unaweza kununua matofali 2300 ambayo yanamaliza nyumba ya vyumba vitatu au viwili.
3.Unnaweza kununua madirisha zaidi ya 7 ya aluminium ukamalizia nyumba yako
4.Unaweza kununua bodaboda ikakuingizia hata 20,000 kwa siku.
5.Huu ni mtaji tosha kwa biashara ya tigopesa etc
6.Unaweza kununua mabati 100 au zaidi
Kuna vitu kibao vya kufanyia hio hela kuliko kununua simu. Leo nimekamilisha uchunguzi wangu kwake hafai kuwa mke.

NB:Hii haihusu those who CAN AFFORD that phone.
Madem hao bado unao? Atakuwa kakuona zwazwa sana. Hamna madem wenye tabia hizo sikuhizi
 
Kabisa mkuu lakini baadae huja kujutia. Huwa wanapewa kiburi na idadi ya wanaume wanaowatongoza wasijue kuwa it is temporal. Baada ya muda sisi wanaume huamia kwa kifaa kipya tukishapata tulichokitaka. Nimeshashuhudia wadada wazuri na wenye ekspozha zao nzuri tu wanaharibu maisha yao kwa tamaa za kipuuzi. Anakuwa na kaka mstaarabu tu mwenye kipato cha kawaida ila anamuona zuzu, anataka badboys ambao hawanaga future. Zuzu akichoka anamwaga anaoa mwingine, dada anabaki analia. Wanaume waoaji na wenye future ndio hao hao mnaowaona washamba. Playboys huwa hawaoi kirahisi. Trust me.
Kabisa mkuu, hao wakiwaambia nataka gari wanapewa, nataka iPhone wanapewa huku kapanga nyumba ya laki tano kwa mwezi.

Wakistuka wameshavuliwa sana sketi hana hata kiwanja wala maendeleo yeyote Yale zaidi ya kuifoji k yake na mwili wake.
 
Hahahaha kweli kaka. Kuna ex wangu mmoja alikuwa materialistic nikashindwana naye. Yeye alikuwa anapenda sana kula starehe. Ukimwambia twende shamba au site anasema "kwanini unahangaika kujenga mbali kote huko wakati unaweza kukodi nyumba mikocheni ya laki saba". Ukiwa naye barabarani akiona gari nzuri anapagawa kabisa. Anawaza furniture za milioni 15 wakati kipato chake hata milioni haifiki. Kalagabaho! nikamwaga kilaini. Akaja kuwa kama zulia, watoto wa mbwa wanajisevia tu. Kajichokea bure siku hizi.
Wanawake wa aina hiyo wapo mm nilishaishi na mmoja kwa tamaa zake akacheat nikamuacha ssa hiv yupo yupo tu hana analiwa ovyo ovyo mwanamke asipokuwa na akili nywele za kichogoni zitaisha kwa kulalwa ovyo!
 
Wanawake wa aina hiyo wapo mm nilishaishi na mmoja kwa tamaa zake akacheat nikamuacha ssa hiv yupo yupo tu hana analiwa ovyo ovyo mwanamke asipokuwa na akili nywele za kichogoni zitaisha kwa kulalwa ovyo!
Ndugu yangu wanaume wengi tumeshakutana na sampuli hii. Huwa inawadhuru sana wakigutuka inakuwa ntolee. Yaani yule mtoto alikuwa kama kichaa wa materialism. Anakwambia "nataka nihamie kwako na kibegi changu tu". Kaolewa na jamaa mario wanaishi kwenye nyumba ya urithi ya baba mkwe (baba wa mke). Na bado demu analiwa nje kila kona. Anatia huruma.
 
Kuna vitu kibao vya kufanyia hio hela kuliko kununua simu. Leo nimekamilisha uchunguzi wangu kwake hafai kuwa mke.
Dah... Chief...mara nyingi mtu hupambana kutafuta vile vitu ambavyo hana😀😀😀😀
 
Marhaba mtoto mzuri.
Ukiitwa kwenye hili zoezi pale junction ya Karume
Tafadhali utii wito, Jina lako liko kwa Mh. ''Manene''

Wee mtu upoo!!???

Shkamooo kama ikiwa umenisahau.
 
Back
Top Bottom