Bae niongezee hela ninunue S9+

Bae niongezee hela ninunue S9+

Juzi nimetumiwa msg na bae eti nimuongezee hela anunue S9+. Ikabidi nichungulie inauzwa bei gani OMG 2.3m! Yaani 2,300,000! Over a $1000!

Nikafikiria huyu Bae anakaa nyumba ya kupanga, kodi vile vile nanchangia na inawezekana tunachangia wengi, kweli hana cha maana cha kufanyia hio 2.3m!

Nikafikiria haraka haraka nini unnaweza kufanya na 2.3m
1.Unaweza kununua kiwanja. Kuna kampuni zinauza viwanja vilivyopimwa 5000/sqm anaweza kupata 1000sqm kwa 5m(hii kampuni unaweza kulipa nusu halafu iliobaki kidogokidogo kwa miezi sita)
2.Unaweza kununua matofali 2300 ambayo yanamaliza nyumba ya vyumba vitatu au viwili.
3.Unnaweza kununua madirisha zaidi ya 7 ya aluminium ukamalizia nyumba yako
4.Unaweza kununua bodaboda ikakuingizia hata 20,000 kwa siku.
5.Huu ni mtaji tosha kwa biashara ya tigopesa etc
6.Unaweza kununua mabati 100 au zaidi
Kuna vitu kibao vya kufanyia hio hela kuliko kununua simu. Leo nimekamilisha uchunguzi wangu kwake hafai kuwa mke.

NB:Hii haihusu those who CAN AFFORD that phone.
Jana nilizungumzia kuwa roho mtaka mali katutawala na hatuna akili mtugonge mpk tuchanike sababu ni hatuna akili ukajitia kushangaa

Yamekukuta leo!!!

Endelea kumgonga halafu mdampo akili imsogee au mfundishe wewe unataka aweje
 
Jana nilizungumzia kuwa roho mtaka mali katutawala na hatuna akili mtugonge mpk tuchanike sababu ni hatuna akili ukajitia kushangaa

Yamekukuta leo!!!

Endelea kumgonga halafu mdampo akili imsogee au mfundishe wewe unataka aweje
Mm nimemwambia shemej yako nataka kwenda Dubai kasemaa

Ooooh jiandae tu mwezi wa sita uendee kula bata maisha mafupi mama
 
pearsons-300x156.gif

r=-1
Mkuu Tized, naona unarudisha watu darasani. Hayo madude hatari sana yalikuwa.
 
Marhaba mtoto mzuri.
Ukiitwa kwenye hili zoezi pale junction ya Karume
Tafadhali utii wito, Jina lako liko kwa Mh. ''Manene''

Hahahahhahaa Tized..... kweli umenisahau.....

Sasa kwa makonda kwani mie nimetelekeza nani tena?
 
As namna hiyo wala hufumbi macho, wala hupepesi macho. Unamwambia wazi, hiyo pesa sina na hata ningekuwa nayo ina mambo mengi muhimu ya kufanya.

Mkuu, umekubali kuwa danga la mtu hivi hivi.
 
Mi nafikiri ulitakiwa kufirikia cha kufanya juu ya huyo mpenzi wako kwanza, achilia mbali hiyo 2.3 huko ni mbali sana mshenzi mkubwa huyo
 
I wish if I could be.... Kibanda changu chanika Labda kingesimama!!! Just kidding!!Ndyo akili za wadada wa Kileo!!
 
As namna hiyo wala hufumbi macho, wala hupepesi macho. Unamwambia wazi, hiyo pesa sina na hata ningekuwa nayo ina mambo mengi muhimu ya kufanya.

Mkuu, umekubali kuwa danga la mtu hivi hivi.
Ahhahaha kweli asee na kuna mengi amemfanyia ndio maana kapata ujasiri wa kumuomba
 
mi wangu kesha kalili kabisa,sitoi pesa kwa ajili ya starehe zake za kipuuzi...nkimpa hela huyo anaumwa au ana ishi ya msingi na anekalili kbs ishu hii hels napata ishu hii nanyimwa,yeye ana kazi mimi nina kazi..silei mwanamke km mtoto...najua atanisumbua nkija kumuoa
 
Back
Top Bottom