Mbulu
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 5,619
- 5,518
Mtu hujawahi kulala nje unawaza kujenga kwa sababu gani? Hizi nyumba zinazojengwa nani apange? Vijana wa sasa hawana kazi na hawataki kazi ndo maana hawana hela,usikute kaombwa laki 2 anakuja kulalamika huku,shubaaaaaakengemiiiitt zakeHahaha! mleta mada ana hela za mawazo,mara awaze hiyo hela inaweza kununua bati mara madirisha mara aseme inaweza nunua boda boda, matofali, halafu arudi kusema inaweza nunua sijui kiwanja!

