Bae niongezee hela ninunue S9+

Bae niongezee hela ninunue S9+

Kingine kama ukiamua kuwasaidia wakina mama,vijana wanauza matunda,mahindi,biscut&maji na apple, wanaotembeza sambusa na mayai ambayo mitaji yao ni 20000 tu ambao watakuwa watu 115 hakika utaacha alama machoni mwao na thawabu mbinguni kuliko kuipatia papuchi moja ambayo haina akil kichwani
Na papuchi utapata kwa hao wamama?
 
Sio ameenda kusuka tu, mwingine katoa mchango wa harusi, sijui anataka kutoka out na wenzake. Yaaan ni vitu vya ajabu ajabu.

Halaf mara nyingi hawana future, ukianza kumuadisia mipango ya maisha hataki kusikiliza, anataka asikilize tu habari za viwanja.

Pumbav kabisa, mm akishafel mtihani hapo hapo na kibuti juu
Hahahaha kweli kaka. Kuna ex wangu mmoja alikuwa materialistic nikashindwana naye. Yeye alikuwa anapenda sana kula starehe. Ukimwambia twende shamba au site anasema "kwanini unahangaika kujenga mbali kote huko wakati unaweza kukodi nyumba mikocheni ya laki saba". Ukiwa naye barabarani akiona gari nzuri anapagawa kabisa. Anawaza furniture za milioni 15 wakati kipato chake hata milioni haifiki. Kalagabaho! nikamwaga kilaini. Akaja kuwa kama zulia, watoto wa mbwa wanajisevia tu. Kajichokea bure siku hizi.
 
Unakuta mpk birthday mtu anataka achangiwe yani mambo tasiyokuwa ya msingi mtu ndio anahangahika nayo ili aweke picha instagram
Na haka katabia ka kuchangiwa bdei kapo sana siku hizi..me usiniletee huo upuuzi wa michango ya kipumbavu
 
pearsons-300x156.gif

r=-1
Mkuu naona unanirudisha kwenye masuala ya applied hydrology..........
 
Hahahaha kweli kaka. Kuna ex wangu mmoja alikuwa materialistic nikashindwana naye. Yeye alikuwa anapenda sana kula starehe. Ukimwambia twende shamba au site anasema "kwanini unahangaika kujenga mbali kote huko wakati unaweza kukodi nyumba mikocheni ya laki saba". Ukiwa naye barabarani akiona gari nzuri anapagawa kabisa. Anawaza furniture za milioni 15 wakati kipato chake hata milioni haifiki. Kalagabaho! nikamwaga kilaini. Akaja kuwa kama zulia, watoto wa mbwa wanajisevia tu. Kajichokea bure siku hizi.
Hao viumbe akili zao sometimes wanazijua wenyewe
 
Back
Top Bottom