Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,596
Mi najua kula,kulala basi mengine fanyeni nyie nimewaachiaHata mpwa wangu mwenyewe umri wa miaka 10 hana akili ndogo kiasi hicho chako. Ukipiga nae stori anakwambia mipango yake ya 2060 huko ikiwa ni pamoja na yeye kuwa raisi.
Sasa wewe hata mipango ya mwakani tu inaonekana huna, nahisi utakuwa na miaka 7 kabisa kiasi kwamba unajua kula tu

