Bae niongezee hela ninunue S9+

Bae niongezee hela ninunue S9+

Kwa maelezo yako inaonekana ni mwanamke wa anasa. Muite pembeni, mpige darasa zito kuhusu matumizi yake, alaf uone reaction yake...
Lakin kwa haraharaka hawa ni wale wale wapenda pesa na anasa. Hawana future mara nyingi, ndio maana wastaafu wa hii fani yao ya kuomba omba wamejazana kwa makonda.
Mkuu huyu mtu anajua misimamo yangu, anajua ninavyosimamia matumizi na kupinga anasa za kijinga lakini still kaweza kuja kunipa hii biashara napata wapi nguvu za kumpa somo?!
 
Jiulize hiyo aliyokusanya so far kaitoa wapi? Hafai huyo. Ni wa kupiga na kutambaa tu, usiwekeze. Wanawake materialistic huwa hawatosheki. Akitokea tu mjanja anajua udhaifu wa huyo bae wake basi lazima amle. Unakuta binti net income haizidi 1m lakini anataka simu ya 2.5m na vikorokoro kibao. Ni headache. Kuwa na msimamo mwambie hutaki kama kulambwa akalambwe huko huko. Mimi nimeshawahi kupigwa mzinga wa "kumuongezea hela anunue gari" nikasepa.
Hahahahahaha mkuu umetisha
 
You people
When we say wife material, they are not a finished product. Neither are we. There thing we all need to unlearn and learn.
Take trouble to mold your partner, take trouble to mold yourself and move forward.

Hakuna mtu aliyezaliwa kama mke au kama Mume bali kuna mchakato wa kuwa Mke au Mume.
Tusaidiane kufanyika Mke au Mume bora. Tusitegeme kumkuta mtu kama mkamilifu there and then.

Inawezekana huyu dada hana shida ila ni wa kusaidia tu kwenye kuweka vipaumbele au kumsaidia kuepuka maisha ya mashindano au ya kupenda vya juu kulingana na hali ya wakati huo. Kikubwa saidianeni ninyi kwa ninyi kuwa bora.

Otherwise kutumia kakigezo kimoja kumhukumu mtu ni sawa na kujilisha upepo.
We are very complicated beings.
Kweli kabisa.
 
Gentleman, Life is not that serious.
What is a basic to you may not always be the same to others.

Kuna vitu vingi sana vinachangia kumfanya mtu jinsi alivyo.
Taka kuangalia vitu kutokea kwenye misingi yake, achana na matokeo.
Ukitaka kubadili matokeo, badili msingi.
Ukishajua msingi wa kitu ni rahisi kujua namna kilivyokuja na namna ya kukishughulikia.

We are always a work on progress. Learning and unlearning daily.
Tabia ulizonazo kama hukuzaliwa nazo, ina maana ulijifunza, kila ulichojifunza unaweza pia kukiondoa au kukibadili
PENYE NIA PANA NJIA.

Kumbadili mtu sio kazi rahisi kama kuandika hapa. Kuna wanaopokea vizuri na wengine mnaishia kugombana. Vile vile sio kila mtu ana muda wa kumfundisha mtu mzima simple basics za life.
 
Gentleman, Life is not that serious.
What is a basic to you may not always be the same to others.

Kuna vitu vingi sana vinachangia kumfanya mtu jinsi alivyo.
Taka kuangalia vitu kutokea kwenye misingi yake, achana na matokeo.
Ukitaka kubadili matokeo, badili msingi.
Ukishajua msingi wa kitu ni rahisi kujua namna kilivyokuja na namna ya kukishughulikia.

We are always a work on progress. Learning and unlearning daily.
Tabia ulivyonazo kama hukuzaliwa navyo, ina maana ulijifunza, kila ulichojifunza unaweza pia kukiondoa
PENYE NIA PANA NJIA.
Will work on your advice next time.
 
Ila wanaume jamani mie naona akili zenu hazitaki tu kuombwa hela
Mbona mimi nimeomba ya kuongezea mtaji naambiwa pambana na hali yako?
Sasa wewe na huyu anayeomba ya simu mko sawa?! Ungeniomba mimi ningekuongezea kama ninayo.
 
Ila wanaume jamani mie naona akili zenu hazitaki tu kuombwa hela
Mbona mimi nimeomba ya kuongezea mtaji naambiwa pambana na hali yako?
 
Back
Top Bottom