Last sentinel
JF-Expert Member
- Jan 13, 2013
- 267
- 108
Hellw jf,kuna shida bado tunapata.Bado tunapata changamoto ya kupata AVN number na matokeo yametumwa,ukifika nacte kuongea nao wanakujib vibaya wakitumia lugha mbaya.Ni sawa ni taasis ya serikali lakin customer care yao na jinsi wanavyojib wateja sio vizuri.