DOKEZO Bado tunapata changamoto ya kupata AVN namba, NACTE wanajibu kwa lugha mbaya

DOKEZO Bado tunapata changamoto ya kupata AVN namba, NACTE wanajibu kwa lugha mbaya

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Last sentinel

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2013
Posts
267
Reaction score
108
Hellw jf,kuna shida bado tunapata.Bado tunapata changamoto ya kupata AVN number na matokeo yametumwa,ukifika nacte kuongea nao wanakujib vibaya wakitumia lugha mbaya.Ni sawa ni taasis ya serikali lakin customer care yao na jinsi wanavyojib wateja sio vizuri.
 
Hellw jf,kuna shida bado tunapata.Bado tunapata changamoto ya kupata AVN number na matokeo yametumwa,ukifika nacte kuongea nao wanakujib vibaya wakitumia lugha mbaya.Ni sawa ni taasis ya serikali lakin customer care yao na jinsi wanavyojib wateja sio vizuri.
AVN hua inachukua muda ila utapata tu wala usiwe na shaka lazima upate
 
tatzo ni majib unayijibiw na nacte lugha chaf
Mkuu wewe kua mpole ila uzalendo ukikushinda gawa dozi mtie mtu ngumi ya pua ili heshima ifuate mkondo wake lakini kwa kua wanaokua kwenye hivyo wengi ni watu walioenda age najua huwezi mrushia ngumi mtu mwenye umri sawa na mama yako au baba yako maana wewe sio Paul Christian Makonda huwezi kumpiga makofi Mzee Warioba
 
Mkuu wewe kua mpole ila uzalendo ukikushinda gawa dozi mtie mtu ngumi ya pua ili heshima ifuate mkondo wake lakini kwa kua wanaokua kwenye hivyo wengi ni watu walioenda age najua huwezi mrushia ngumi mtu mwenye umri sawa na mama yako au baba yako maana wewe sio Paul Christian Makonda huwezi kumpiga makofi Mzee Warioba
siwez mpiga mkuu
 
Hellw jf,kuna shida bado tunapata.Bado tunapata changamoto ya kupata AVN number na matokeo yametumwa,ukifika nacte kuongea nao wanakujib vibaya wakitumia lugha mbaya.Ni sawa ni taasis ya serikali lakin customer care yao na jinsi wanavyojib wateja sio vizuri.
NACTE wanamhujumu SA100 mwaka wa uchaguzi, ili akose kura za wanavyuo!!
 
NACTE wanamhujumu SA100 mwaka wa uchaguzi, ili akose kura za wanavyuo!!
Hio AVN number mtapata tu sio big deal hivyo though ukiwa na haraka nayo unakua na wenge sana ila mtapata tu sio issue kubwa hivyo
 
Hellw jf,kuna shida bado tunapata.Bado tunapata changamoto ya kupata AVN number na matokeo yametumwa,ukifika nacte kuongea nao wanakujib vibaya wakitumia lugha mbaya.Ni sawa ni taasis ya serikali lakin customer care yao na jinsi wanavyojib wateja sio vizuri.
AVN mm nlifatilia miaka 2 nlilipamara2hao jamaa, sio kabisa. Simu zao huwa haziokelewi
 
Back
Top Bottom