Pumzika pema GS....
Maisha yanaenda.....na bado unaishi kati yetu..
We miss you Regia.
Bahati mbaya ile chadema uliyoiacha kipindi kile, sio hii iliyopo sasa.
mambo yamebadilika mno.
viongozi wanatimuana, wanatukanana, wanapelekana mahakamani.
Matamko kila kukicha, wasemaji wa chama wamekuwa wengi.
Mwenyekii alikiri kuwa alipewa pesa na Nimrod Mkono yule mbunge tajiri wa CCM.
Chadema ile sio hii Regia. Rest in peace mpiganaji.
Wewe ni f...a..ll.aChadema ni ile ile. Chadema ni moja. Chadema imeimarika zaidi. Regia amefariki hakuacha mgogoro wa madiwani Arusha ulioratibiwa kwa karibu kabisa na Zitto Zubeir Kabwe.
Regia amefariki hakumwacha Zitto Zubeir Kabwe akitumiwa na usalama wa taifa kukiharibu chama ambacho Regia alijitoa kukijenga.
Regia amefariki hakumwacha Zitto Zubeir Kabwe akitukana viongozi wakuu wa chama. Regia alifariki aliacha nidhamu kwa viongozi wake.
Sasa chadema inarudisha misingi yake. Inajenga timu inayowaza mamoja kuelekea kutwaa dola 2015. Inasafisha makapi,makandokando na mapandikizi yote ya CCM.
Chadema ni moja, mwenye kutaka ukombozi wa pili wa Mtanzania na aje!
You nailed itWe miss you Regia.
Bahati mbaya ile chadema uliyoiacha kipindi kile, sio hii iliyopo sasa.
mambo yamebadilika mno.
viongozi wanatimuana, wanatukanana, wanapelekana mahakamani.
Matamko kila kukicha, wasemaji wa chama wamekuwa wengi.
Mwenyekii alikiri kuwa alipewa pesa na Nimrod Mkono yule mbunge tajiri wa CCM.
Chadema ile sio hii Regia. Rest in peace mpiganaji.
Fungua thread uelezee huu ujinga wako, hapo tuko kwenye kumbukumbu ya REGIA, sio mambo ya migogoro yenu!