Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Kwanini mbili? Na anapaswa kuvunja baraza lote, aunde lake akihirikiana na pm atakaye mchagua.Ni katika kuwatia moyo makada wa CCM ndugu zangu January Makamba, Dkt. Nchimbi na Mwigulu Nchemba kwamba wawe na subra nafasi bado zipo.
Bado kuna nafasi ya Katibu Mkuu wa CCM iko wazi.
Kadhalika imejitokeza nafasi nyingine nyeti ya Waziri wa Fedha.
Ila na nyie muachane na hayo makundi yenu ya urais kwa sababu 2030 bado ni mbali sana.
Maendeleo hayana vyama!
Mwanry kuwa katibu mkuu CCM
YapiTungekuwa na katiba inayoruhusu uundwaji wa Serikali ya pamoja na vyama vya upinzani basi kuna majenbe mazuri mno yapo yametulia tu huko!!
Kikwazo kipo - unatakiwa uikane ilani yako na utekeleze ya wenzako!! Kuikana ilani ni sawa na kukikana chama chako!! Usaliti ni dhambi kubwa!!
Ni katika kuwatia moyo makada wa CCM ndugu zangu January Makamba, Dkt. Nchimbi na Mwigulu Nchemba kwamba wawe na subra nafasi bado zipo.
Bado kuna nafasi ya Katibu Mkuu wa CCM iko wazi.
Kadhalika imejitokeza nafasi nyingine nyeti ya Waziri wa Fedha.
Ila na nyie muachane na hayo makundi yenu ya urais kwa sababu 2030 bado ni mbali sana.
Maendeleo hayana vyama!
Washing machine ni chadema leo hii wanampigia debe Eduward Hosea chadema kwa kupenda majina ya Edu kiboko!Ambao ni wachafu!
Washing machine ni chadema leo hii wanampigia debe Eduward Hosea chadema kwa kupenda majina ya Edu kiboko!
Na hii mentality lazima iondoke. Tanzania ni ya wote na siyo utawala wa kurithishana miongoni mwa familia teule. Eti 3-5 generations wote muwe na nafasi za juu....Ukisoma post nyingi na mawazo mengi utagundua kwamba kiko kikundi maalumu ambacho ndicho pekee kinastahili uteuzi na kupewa nafasi zote za juu,na watanzania wengine hawastahili.
Kila wakat utasikia January Makamba, Mwigulu, Nape, Nchimbi nk.
Yaani kuna watu spesho wameumbwa kwa ajili ya vyeo vya juu.
Katiba ingeruhusu,ndio hoja aliyoileta...wewe unazungumza Nini?aisee "mshike Sana elimu usimuache aende zake"Kama mnashindwa kumtambua rais aliyeko madarakani na kukubaliana na miradi ya kimkakati mmebaki kupinga nani atawapa ushirikiano.
Badilikeni vinginevyo mtasubiri sana, Wazanzibari wamegundua kuwa siasa zimewachelewesha sasa hawataki tena vurugu za kisiasa.
Umeona jana uchaguzi kule ACT kachukua na bado vyama vyote vimekubali matoke kwa maslahi ya zanzibar, lakini kwa siasa za bara mpaka upinzani ujifunze.
Umenena vema,chagua mwigulu mawe YAMEKOMA...In short wote wapitie mafaili yai confidential a wanayo kuanzia utendaji , ufisadi insubirdination , kuunda mitandao,Kutoheshimu katiba ya CCM eg Mwigulu hajafuta maandishi ya Chagua Mwigulu 2015 kwenye mawe nchi nzima wakati chama hata kilikuwa hakijamteua mgombea kachafua mawe nchi nzima barabarani halmashauri ilitakiwa wamdai kodi ya mabango
Hao wengine wanajijua .Nchimbi anajijua na ufisadi wane na Lowasa wake akiwa vijana
Makamba ni mtu wa business as usual sii mbunifu ni mtu tu wa mifaili nayo hata utendaji hawezi .Mifuko ya Plastic alipewa assignment ndogo alishindwa kuimaliza
Wawejezaji walikuwa hadi wakiondona kwa umangi meza wake wa kufanya impact eniroment assesment hadi watoe pesa ndio aidhinishe hana spidi kwenye maaumuzi na ni laizer faire fulani hivi spi ya kazi hana