Bado nafasi mbili wazi Katibu Mkuu CCM na Waziri wa Fedha, hivyo January, Dkt. Nchimbi na Dkt. Mwigulu vuteni subra

Ni katika kuwatia moyo makada wa CCM ndugu zangu January Makamba, Dkt. Nchimbi na Mwigulu Nchemba kwamba wawe na subra nafasi bado zipo.

Bado kuna nafasi ya Katibu Mkuu wa CCM iko wazi.

Kadhalika imejitokeza nafasi nyingine nyeti ya Waziri wa Fedha.

Ila na nyie muachane na hayo makundi yenu ya urais kwa sababu 2030 bado ni mbali sana.

Maendeleo hayana vyama!
Kwanini mbili? Na anapaswa kuvunja baraza lote, aunde lake akihirikiana na pm atakaye mchagua.
 
Ilani ya chama na katiba ya nchi vinahusianaje? Au unajitoa ufahamu tu.
Ila ni aibu kwa chama kinachojitapa ni kikubwa kuliko vyote kukosa watu wenye weledi hadi kianze kuokoteza kutoka nje.
Kikwazo kipo - unatakiwa uikane ilani yako na utekeleze ya wenzako!! Kuikana ilani ni sawa na kukikana chama chako!! Usaliti ni dhambi kubwa!!
 
Ni katika kuwatia moyo makada wa CCM ndugu zangu January Makamba, Dkt. Nchimbi na Mwigulu Nchemba kwamba wawe na subra nafasi bado zipo.

Bado kuna nafasi ya Katibu Mkuu wa CCM iko wazi.

Kadhalika imejitokeza nafasi nyingine nyeti ya Waziri wa Fedha.

Ila na nyie muachane na hayo makundi yenu ya urais kwa sababu 2030 bado ni mbali sana.

Maendeleo hayana vyama!

Kama ambavyo kuna Wapuuzi waliwajaza Upepo ( Waliwajambisha ) hawa Watajwa wako ya Kuula katika Teuzi za Mama ( Rais ) hasa nafasi hii ya Umakamu wa Rais na Wakawaamini ( japo haijawa na imekula Kwako kwa Kuikosa ) ndiyo hivyo hivyo ambavyo katika hizo nafasi tajwa zilizopo wazi.

Hakuna ambaye atachaguliwa na wasipeteze hata muda Wao kuzunguka kwa Waganga Kutwa kwani Mfumo ulishawatupa hivyo wabakie kama Wabunge au Mawaziri inatosha tu.
 
Ukisoma post nyingi na mawazo mengi utagundua kwamba kiko kikundi maalumu ambacho ndicho pekee kinastahili uteuzi na kupewa nafasi zote za juu,na watanzania wengine hawastahili.

Kila wakat utasikia January Makamba, Mwigulu, Nape, Nchimbi nk.

Yaani kuna watu spesho wameumbwa kwa ajili ya vyeo vya juu.
 
Kama anko hayati,magu alivyoondoa dhana ya kupewa nafasi ya juu Kwa kufata kujulikana ,Kama makamba na kundi lake,nape na wengine basi hivyo watanzania wenye sifa za kuongoza hizo nafasi ni wengi zaidi ya hao hivyo hatuki jina kongwe tunataka mchapakazi hodari,sio wa kujisifu kutwa kuchwa mitandaoni Kama January makamba
 
Ukisoma post nyingi na mawazo mengi utagundua kwamba kiko kikundi maalumu ambacho ndicho pekee kinastahili uteuzi na kupewa nafasi zote za juu,na watanzania wengine hawastahili.

Kila wakat utasikia January Makamba, Mwigulu, Nape, Nchimbi nk.

Yaani kuna watu spesho wameumbwa kwa ajili ya vyeo vya juu.
Na hii mentality lazima iondoke. Tanzania ni ya wote na siyo utawala wa kurithishana miongoni mwa familia teule. Eti 3-5 generations wote muwe na nafasi za juu....
 
Kama mnashindwa kumtambua rais aliyeko madarakani na kukubaliana na miradi ya kimkakati mmebaki kupinga nani atawapa ushirikiano.

Badilikeni vinginevyo mtasubiri sana, Wazanzibari wamegundua kuwa siasa zimewachelewesha sasa hawataki tena vurugu za kisiasa.

Umeona jana uchaguzi kule ACT kachukua na bado vyama vyote vimekubali matoke kwa maslahi ya zanzibar, lakini kwa siasa za bara mpaka upinzani ujifunze.
Katiba ingeruhusu,ndio hoja aliyoileta...wewe unazungumza Nini?aisee "mshike Sana elimu usimuache aende zake"
 
In short wote wapitie mafaili yai confidential a wanayo kuanzia utendaji , ufisadi insubirdination , kuunda mitandao,Kutoheshimu katiba ya CCM eg Mwigulu hajafuta maandishi ya Chagua Mwigulu 2015 kwenye mawe nchi nzima wakati chama hata kilikuwa hakijamteua mgombea kachafua mawe nchi nzima barabarani halmashauri ilitakiwa wamdai kodi ya mabango

Hao wengine wanajijua .Nchimbi anajijua na ufisadi wane na Lowasa wake akiwa vijana

Makamba ni mtu wa business as usual sii mbunifu ni mtu tu wa mifaili nayo hata utendaji hawezi .Mifuko ya Plastic alipewa assignment ndogo alishindwa kuimaliza

Wawejezaji walikuwa hadi wakiondona kwa umangi meza wake wa kufanya impact eniroment assesment hadi watoe pesa ndio aidhinishe hana spidi kwenye maaumuzi na ni laizer faire fulani hivi spi ya kazi hana
Umenena vema,chagua mwigulu mawe YAMEKOMA...
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom