johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,025
Makamu mwenyekiti amesema Majina mengi yalitajwa kwa Nafasi ya Katibu Mkuu wa CCM na kwa kweli wengi walikuwa na Sifa.
Lakini Dkt. Nchimbi ana Sifa zinazokidhi Vigezo vya wakati tulionao.
Dkt. Nchimbi siyo Kijana na Siyo Mzee hivyo ana uwezo wa kuwasemea Vijana na pia Kufanya maamuzi kwa Hekima za kiutu Uzima, amesema Kinana.
Dkt. Nchimbi anajua ni Wakati gani awe ngangari na wakati gani atumie Diplomasia kwani ni mzoefu kote kote, amemalizia Kinana
Mungu mbariki Dkt. Nchimbi
Lakini Dkt. Nchimbi ana Sifa zinazokidhi Vigezo vya wakati tulionao.
Dkt. Nchimbi siyo Kijana na Siyo Mzee hivyo ana uwezo wa kuwasemea Vijana na pia Kufanya maamuzi kwa Hekima za kiutu Uzima, amesema Kinana.
Dkt. Nchimbi anajua ni Wakati gani awe ngangari na wakati gani atumie Diplomasia kwani ni mzoefu kote kote, amemalizia Kinana
Mungu mbariki Dkt. Nchimbi