ChawaWaMama
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,716
- 3,177
GTs,
Kwa maoni ya watanzania walio wengi, Dkt Nchimbi hatoshi kwenye nafasi ya KM wa CCM.
Hii inatokana na kuendesha siasa za miaka ya 1990s na za 2000s ambazo zililenga kulinda kundi la watawala badala ya wananchi.
Ukimsikiliza kwa makini utagundua kimawazo Dkt. Nchimbi hayupo miaka hii ya karne ya kizazi kipya, na hii inaonekana kabisa Dkt. Nchimbi hana mvuto kwa wapiga kura vijana.
Kibaya Dkt Nchimbi kawekewa mtego na watawala wa kummaliza kisiasa na huo mkakati unaonekana kufanikiwa.
Akiutambua huo mtego inabidi amuamkie Shikamoo Professor Makonda! Hahahaha ila siasa ni raha mno.
Kwa maoni ya watanzania walio wengi, Dkt Nchimbi hatoshi kwenye nafasi ya KM wa CCM.
Hii inatokana na kuendesha siasa za miaka ya 1990s na za 2000s ambazo zililenga kulinda kundi la watawala badala ya wananchi.
Ukimsikiliza kwa makini utagundua kimawazo Dkt. Nchimbi hayupo miaka hii ya karne ya kizazi kipya, na hii inaonekana kabisa Dkt. Nchimbi hana mvuto kwa wapiga kura vijana.
Kibaya Dkt Nchimbi kawekewa mtego na watawala wa kummaliza kisiasa na huo mkakati unaonekana kufanikiwa.
Akiutambua huo mtego inabidi amuamkie Shikamoo Professor Makonda! Hahahaha ila siasa ni raha mno.